Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Siyo jukumu langu kukutafutia PGO.Muone huyu nae..!!
Mwenyewe umeandika "PGO imejaa kila kitu kwa kona zote" hapo ndipo nikapata sababu ya kukwambia tuwekee tupaone wapi pameainisha nani wanatakiwa kuwahoji RPC's.
Hapa sio suala la ku quote neno sahihi toka kwa kile ulichoandika, ukiwa hata unachoandika hujui maana yake!.
Ukiwa na njaa usiwe na argument nami, kwanza kula ushibe.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Nenda kaisome kisha uje kupinga hapa