Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Amewahi kumuita polisi gani akamuhoji kwenye mkutano wa hadhara Ili atoe majibu?Mara ngapi Heche analitaka na kuhoji jeshi la polisi Kawasaki na kuwakamata watuhumiwa!
Hapo Heche anatumia sheria gani?