Amewahi kumuita polisi gani akamuhoji kwenye mkutano wa hadhara Ili atoe majibu?Mara ngapi Heche analitaka na kuhoji jeshi la polisi Kawasaki na kuwakamata watuhumiwa!
Hapo Heche anatumia sheria gani?
Wewe ndo huelewi! Chama Kinawajibika kuisimamia serkali ili wananchi wapate huduma na maendeleo!Itoshe kusema huelewei hatari ya chama cha siasa kuwa na mamlaka ya kuwahoji au ku influence utendaji kazi wa polisi.
Zero brain!Kwa kweli kuna baadhi ya mambo Rais anatakiwa ayatolee tamko kwa sababu haifai kiongozi wa chama kumhoji na kumkemea mtumishi wa umma tena wakati mwingine kwa kumdhalilisha mbele ya hadhara,viongozi wa chama wadili na viongozi wa kisiasa kama RC na DC.
Wewe unajiona una akili sana kwa sababu unaona sawa anachofanya yule mfuga matako mwenzio!Zero brain!
Unaona sasa ulivyo mpuuzi! Wewe mwenye matako madogo umesaidia nini nchi?.Ndo maana nimeandika humu nyinyi CHADEMA wengine wenu mna chuki na roho mbaya!Wewe unajiona una akili sana kwa sababu unaona sawa anachofanya yule mfuga matako mwenzio!
Kwani nani kawazuia Chadema kuwahoji polisi kama wakiwa na concern inayohitaji maelezo toka kwao?Itoshe kusema huelewei hatari ya chama cha siasa kuwa na mamlaka ya kuwahoji au ku influence utendaji kazi wa polisi.
Mimi sio mtumwa wa chama chochote cha siasa mtu yeyote akiniletea za kuleta na mimi simkawizi,hili ni jukwaa huru kila mtu ana haki ya kutoa maoni kwa jinsi anavyoona inafaa kwahiyo huwezi kunikashfu kwa sababu ya mtazamo wangu ni tofauti na wako halafu mimi nikakuchekea.Unaona sasa ulivyo mpuuzi! Ndo maana nimeandika humu nyinyi CHADEMA wengine wenu mna chuki na roho mbaya!
Hiki ndicho kinachowaongoza kila mkiona Makonda amezungumza jambo, badala ya kutafakari kile alichoongea, nimeona wengi wenu mnaishia kumtukana matusi ya nguoni, mmepwaya sana.Wewe unajiona una akili sana kwa sababu unaona sawa anachofanya yule mfuga matako mwenzio!
Nimemjibu aliyeanza kunitukana kwahiyo sio shida zangu.Hiki ndicho kinachowaongoza kila mkiona Makonda amezungumza jambo, badala ya kutafakari kile alichoongea, nimeona wengi wenu mnaishia kumtukana matusi ya nguoni, mmepwaya sana.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Na alivyo na mihemko na mibange yake kichwani sasa! Ukiingia X ndo Utashangaa wanatukana kila anachofanya Makonda hawa nyumbu!Makonda atawavuruga mno 😄😄. Heche kaongea upuuzi
Sasa kama unajua hilo mbona unaandika lugha chafu humu? Punguza mihemko!Mimi sio mtumwa wa chama chochote cha siasa mtu yeyote akiniletea za kuleta na mimi simkawizi,hili ni jukwaa huru kila mtu ana haki ya kutoa maoni kwa jinsi anavyoona inafaa kwahiyo huwezi kunikashfu kwa sababu ya mtazamo wangu ni tofauti na wako halafu mimi nikakuchekea.
Wewe amini unavyoamini na mimi niache niamini ninachoamini hakuna haja ya kunitukana.
Wewe unaona lugha uliyotumia nzuri? Unamuitaje mtu "Zero brain" kwa sababu tu maoni yake yanakukera! Endelea tu.Sasa kama unajua hilo mbona unaandika lugha chafu humu? Punguza mihemko!
Hivi Bashite kuna tatizo lolote ameshalitatua ktk hizo ziala zake?Unaendelea kuamini ujinga wa Heche! Sasa kama kuna malalamiko RPC asihojiwe? Hivi Nyinyi CHADEMA ni wapuuzi sana! Polisi ipo kwa usalama wa raia na mali zao!
Kwa vile kahoji adui yenu Makonda mnabweka!
CHADEMA mnejaa chuki,unafiki na kutojua mnachotaka!
Wewe huwezi kuona! Na lengo la Makonda si kukufanya wewe ujue na ukikubali anachofanya!Hivi Bashite kuna tatizo lolote ameshalitatua ktk hizo ziala zake?
Mbona mimi naona kama anafanya komedi tu za kujitafutia umaarufu ambao hana
Jibu swali. Kuna tatizo lolote Bashite amelitatua katika hizo ziala zake?Wewe huwezi kuona! Na lengo la Makonda si kukufanya wewe ujue na ukikubali anachofanya!
Wewe endelea na CHADEMA yako bhana,Vipi Logging ratiba inasoma wapi?
Ndio! Na mimi naomba kujua ratiba ya Jogging?Jibu swali. Kuna tatizo lolote Bashite amelitatua katika hizo ziala zake?
Mbona swali ni jipesi sana.
Kwamfano tatizo gani Bashite alilolitatua?Ndio! Na mimi naomba kujua ratiba ya Jogging?