John Heche vs Dkt. Slaa: Je, ni kweli utekaji, kupotea kwa watu na kupigwa risasi Tundu Lissu Septemba, 2017 ni 'INSIDE JOB' ya CHADEMA wenyewe?

John Heche vs Dkt. Slaa: Je, ni kweli utekaji, kupotea kwa watu na kupigwa risasi Tundu Lissu Septemba, 2017 ni 'INSIDE JOB' ya CHADEMA wenyewe?

Mimi siyo Mwanasheria, lakini kama nimevamiwa na Majambazi na kushambuliwa kwa risasi anayeshitaki shambulizi langu ni DPP au mimi mwenyewe ?
Wewe unaripoti tukio, polisi wanachunguza na kuandaa ushahidi. Then wanasukuma kwa DPP kufungua shauri baada ya kuona kuna kesi ya kujibu. Wewe unabaki shahidi tu.
 
Mimi siyo Mwanasheria, lakini kama nimevamiwa na Majambazi na kushambuliwa kwa risasi anayeshitaki shambulizi langu ni DPP au mimi mwenyewe ?
Tunakusaidia kuficha upumbavu

Majukumu ya Mkurugenzi wa Mashtaka yatakuwa ni:

  • (i)Kuamua kushtaki au kutoshtaki kwenye makosa ya jinai;
  • (ii)Kuanzisha, kuendesha na kusimamia mashtaka ya makosa ya jinai katika mahakama zote isipokuwa mahakama za kijeshi;
  • (iii)Kutwaa na kuendelea na mashtaka ya kesi yoyote ya jinai iliyofunguliwa na mtu au taasisi nyingine;
  • (iv)Kufuta mahakamani mashtaka yoyote ya jinai yaliyofunguliwa na mtu au taasisi nyingine katika hatua yoyote kabla hukumu kutolewa;
  • (v)Kutoa maagizo kwa jeshi la polisi au vyombo chunguzi vyoyote kuchunguza taarifa yoyote ya kijinai na kutoa taarifa kwake haraka inavyowezekana;
  • (vi)Kuchukua hatua muhimu kwa jambo lolote lenyetija katika mashtaka ya jinai;
  • (vii)Kutoa miongozo inayohusu uratibu wa upelelezi na uendeshaji mashtaka;
  • (viii)Kuteua na kutenguamamlaka ya waendesha mashtaka wa umma;
  • (ix)Kumshauri waziri mwenye dhamana katika masualaya mashtaka yanayohitaji sera au hatua za kibunge;
  • (x)Kuteuwa maafisa maalum ndani ya taasisi za serikali kusimamia mali zilizozuiliwa au kutaifishwa na mahakama katika mazingira ambayo ni vigumu kuteua wasii;
  • (xi)Kufanya kazi nyingine ambayo zinahusiana na mashtaka ya umma;
  • (xii)Kuwasimamia maafisa sheria, mawakili wa serikali na watumishi wengine walioteuliwa au kuajiriwa na ofisi ya taifa ya mashtaka;
  • (xiii)Kusimamia shughuli zote zinazofanywa na maafisa sheria, mawakili wa serikali na watumishi wengine ndani ya ofisi ya taifa ya mashtaka;
  • (xiv)Kuita afisa yoyote wa umma kutoa maelezo au taarifa kuhusiana na jambo lolote ambalo linahusu mashtaka ya umma;
  • (xv)Kuandaa na kuwasilishakwa waziri taarifa ya nusu mwaka na nakala kwa mwanasheria mkuu wa serikali kuhusu utekelezaji wa majukumu ya ofisi ya taifa ya mashtaka; na
  • (xvi)Kuteua au kuajiri na kuwajibisha maafisa sheria, mawakili wa serikali na watumishi wengine ndani ya ofisi ya taifa ya mashtaka.
 
Tunakusaidia kuficha upumbavu

Majukumu ya Mkurugenzi wa Mashtaka yatakuwa ni:

  • (i)Kuamua kushtaki au kutoshtaki kwenye makosa ya jinai;
  • (ii)Kuanzisha, kuendesha na kusimamia mashtaka ya makosa ya jinai katika mahakama zote isipokuwa mahakama za kijeshi;
  • (iii)Kutwaa na kuendelea na mashtaka ya kesi yoyote ya jinai iliyofunguliwa na mtu au taasisi nyingine;
  • (iv)Kufuta mahakamani mashtaka yoyote ya jinai yaliyofunguliwa na mtu au taasisi nyingine katika hatua yoyote kabla hukumu kutolewa;
  • (v)Kutoa maagizo kwa jeshi la polisi au vyombo chunguzi vyoyote kuchunguza taarifa yoyote ya kijinai na kutoa taarifa kwake haraka inavyowezekana;
  • (vi)Kuchukua hatua muhimu kwa jambo lolote lenyetija katika mashtaka ya jinai;
  • (vii)Kutoa miongozo inayohusu uratibu wa upelelezi na uendeshaji mashtaka;
  • (viii)Kuteua na kutenguamamlaka ya waendesha mashtaka wa umma;
  • (ix)Kumshauri waziri mwenye dhamana katika masualaya mashtaka yanayohitaji sera au hatua za kibunge;
  • (x)Kuteuwa maafisa maalum ndani ya taasisi za serikali kusimamia mali zilizozuiliwa au kutaifishwa na mahakama katika mazingira ambayo ni vigumu kuteua wasii;
  • (xi)Kufanya kazi nyingine ambayo zinahusiana na mashtaka ya umma;
  • (xii)Kuwasimamia maafisa sheria, mawakili wa serikali na watumishi wengine walioteuliwa au kuajiriwa na ofisi ya taifa ya mashtaka;
  • (xiii)Kusimamia shughuli zote zinazofanywa na maafisa sheria, mawakili wa serikali na watumishi wengine ndani ya ofisi ya taifa ya mashtaka;
  • (xiv)Kuita afisa yoyote wa umma kutoa maelezo au taarifa kuhusiana na jambo lolote ambalo linahusu mashtaka ya umma;
  • (xv)Kuandaa na kuwasilishakwa waziri taarifa ya nusu mwaka na nakala kwa mwanasheria mkuu wa serikali kuhusu utekelezaji wa majukumu ya ofisi ya taifa ya mashtaka; na
  • (xvi)Kuteua au kuajiri na kuwajibisha maafisa sheria, mawakili wa serikali na watumishi wengine ndani ya ofisi ya taifa ya mashtaka.
Asipoelewa akatwe masikio au atandikwe bakora salasini na tisa shingoni.
 
Wewe unaripoti tukio, polisi wanachunguza na kuandaa ushahidi. Then wanasukuma kwa DPP kufungua shauri baada ya kuona kuna kesi ya kujibu. Wewe unabaki shahidi tu.

Na chadema/Tundu Lisu wameshafanya yepi mpaka sasa hivi kwenye hayo ulioyataja kwa maana Polisi wamesema chadema/Tundu Lisu hawatoi ushirikiano wowote kwa mfano aliyekuwepo kwenye tukio wamemficha na hawataki kuruhusu aje Polisi kuhojiwa sasa Polisi wafanye nini ?

Nimevamiwa na majambazi Polisi wanataka kunihoji nakataa na kukimbia kijificha, Polisi wafanyeje sasa ?
 
Na chadema/Tundu Lisu wameshafanya yepi mpaka sasa hivi kwenye hayo ulioyataja kwa maana Polisi wamesema chadema/Tundu Lisu hawatoi ushirikiano wowote kwa mfano aliyekiwepo kwenye tukio wamemficha na hawataki kuruhusu agile Polisi kuhojiwa sasa Polisi wafanye nini ?

Nimevamiwa na majambazi Polisi wanataka kunihoji nakataa na kukimbia kijificha, Polisi wafanyeje sasa ?
Hao polisi wamefanya jitihada gani za kuonana naye?Au wanatoa maneno tu kama utoavyo weye?
 
Mimi naamini kabisa Tundu Lisu alipigwa risasi na chadema na yeye Tundu Lisu mwenyewe ni sehemu ya huo mpango, nia yao ilikuwa washambulie gari halafu wapeleke kwa Mzungu kusema ni assasination attempt lkn Mungu akawalaani mipango yao haikwenda vizuri hawakupanga vizuri hivyo waliofwatua risasi walijua Tundu Lisu hayumo lkn alikuwemo na risasi kummiminikia na ndio maana dereva wanamficha kwa kila hali kwani wanajua akibanwa atasema yote.

Slaa siyo mjinga alikuwa Katibu Mkuu chadema anajua kila kitu, waambieni chadema wamshutaki Mahakamani halafu afunguke.

Tundu Lisu ana laana na alipanga huu mpango wote yeye na chadema ili wamsingizie Magufuli sema ukamrudia na marisasi kuishia mwilini mwake.

Isitoshe kama Tundu alipigwa risasi na Serikali ya Magufuli kama ambavyo Tundu Lisu anasema kwa nini hawawachukulii hatua zozote wahusika kwani Tundu Lisu ameshawataja na Tundu Lisu na Samia wote Bosi wao mmoja na wanaelewana ni swala la Action tu, kwa nini hawafanyi ?
Haya matapishi yapeleke Facebook. Humu watu wenye IQ ndogo kama yako hawatakiwi.
 
Na chadema/Tundu Lisu wameshafanya yepi mpaka sasa hivi kwenye hayo ulioyataja kwa maana Polisi wamesema chadema/Tundu Lisu hawatoi ushirikiano wowote kwa mfano aliyekuwepo kwenye tukio wamemficha na hawataki kuruhusu aje Polisi kuhojiwa sasa Polisi wafanye nini ?

Nimevamiwa na majambazi Polisi wanataka kunihoji nakataa na kukimbia kijificha, Polisi wafanyeje sasa ?
Mara hii umehamisha magoli,hoja yako ilikuwa kwa nini chadema haiwashitaki
 
Kuna clip inazunguka Dkt. Wilbrod Slaa akitngaza kuwa Chadema ni watesaji, wanatesa watu na Lissu ndio walimpiga risasi. Hii ni jinai, msikalie kimya mpelekeni Mahakamai athibishe anayo yasema.

Kila mtanzania atalipokea kivyake, wengine wataamini hivyo, hivyo siyo la kunyamazia. Ingelikuwa maneno ambayo hayahusishi jinai, ningelishauri kumpuuza.

Hili la Jinai msilikalie kimya!

Erythrocyte Mwanahabari Huru
Msaliti aliyezoea usaliti ni ngumu kuuacha Hadi atambue kama ni kosa,kama hajaweza tambua bado ataendelea.
 
Hao polisi wamefanya jitihada gani za kuonana naye?Au wanatoa maneno tu kama utoavyo weye?

Tundu Lisu/chadema wamemchukuwa kwenda naye kwanza Nairobi halafu Ubelgiji kwa hiyo ulitaka Polisi waende Ubelgiji kumfwata wakati muhusika mwenyewe Tundu Lisu ndiyo anayemficha ? Polisi wana kazi nyingi za kufanya kama anayeshitaki hataki kutoa ushirikiano for whatever reason wanaendelea na mambo mengine ambayo ni mengi sana tu hata yanawazidia!
 
Na chadema/Tundu Lisu wameshafanya yepi mpaka sasa hivi kwenye hayo ulioyataja kwa maana Polisi wamesema chadema/Tundu Lisu hawatoi ushirikiano wowote kwa mfano aliyekuwepo kwenye tukio wamemficha na hawataki kuruhusu aje Polisi kuhojiwa sasa Polisi wafanye nini ?

Nimevamiwa na majambazi Polisi wanataka kunihoji nakataa na kukimbia kijificha, Polisi wafanyeje sasa ?
Nimekwambia hata zile empty heads za risasi waliokota CDM na kuondoka nazo? Kazi ya police forensic bureau ni nini kama siyo kuchunguza matukio complex kama yale? Footage za CCTV zingewaelekeza polisi kama walikuwa ba nia yoyote ya kujua undani wa like tukio. Kwa mfano Lissu angekufa wangemhoji nani? Uchunguzi usingefanyika kwa sababu victim kafa?
 
Tundu Lisu amemchukuwa kaenda naye kwanza Nairobi halafu Ubelgiji kwa ulitaka Polisi waende Ubelgiji kumfwata wakati muhusika mwenyewe Tundu Lisu ndiyo anayemficha ? Polisi wana kazi nyingi za kufanya kama anayeshitaki hataki kutoa ushurikiano for whatever reason wanaendelea na mambo mengi ambayo ni mengi sana tu!
Alimchukua akaondoka naye?Hali yake uliifahamu ilikuwaje huyo Lissu?Angewezaje kufanya hayo?Kama polisi wana kazi nyingi basi ni vema waendelee nazo na waache kuulizauliza shauri hilo.Kama ni kweli na si kwamba unawasemea kama vile wao hawana ubongo.
 
Alimchukua akaondoka naye?Hali yake uliifahamu ilikuwaje huyo Lissu?Angewezaje kufanya hayo?Kama polisi wana kazi nyingi basi ni vema waendelee nazo na waache kuulizauliza shauri hilo.Kama ni kweli na si kwamba unawasemea kama vile wao hawana ubongo.

Chadema/Tundu Lisu walimchukuwa dereva kwenda naye kwanza Nairobi halafu Ubelgiji haya siyo maneno yangu nimesikia kupitia Tundu lisu mwenyewe!
 
Nimekwambia hata zile empty heads za risasi waliokota CDM na kuondoka nazo? Kazi ya police forensic bureau ni nini kama siyo kuchunguza matukio complex kama yale? Footage za CCTV zingewaelekeza polisi kama walikuwa ba nia yoyote ya kujua undani wa like tukio. Kwa mfano Lissu angekufa wangemhoji nani? Uchunguzi usingefanyika kwa sababu victim kafa?

Lakini dereva yupo hai na alikwepo kwenye tukio!
 
Kuna ugumu gani kumhoji sasa? Tuna interpol, tuna ubalozi kule kucoordinate hilo suala kama wangetaka.

Utamuhoji mtu usiyemuona ? Na kwa nini Polisi wapitie yote hayo kwani hawana kazi nyingine za kufanya ? Kama anayeshitaki hataki kutoa ushirikiano wanaendelea na kesi nyingine ambazo ni nyingi hata zimewazidia!
 
Utamuhoji mtu usiyemuona ? Na kwa nini Polisi wapitie yote hayo kwani hawana kazi nyingine za kufanya ? Kama anayeshitaki hataki kutoa ushirikiano wanaendelea na kesi nyingine ambazo ni nyingi hata zimewazidia!
Kazi ya polisi ni kutafuta ukweli kwenye tukio lolote na kuchukua hatua. Suppose kama CDM ilihusika polisi watapate ukweli bila kufanya uchunguzi kivyao? Kwamba polisi inaweza kunyamazia uhalifu simply because mhusika amekaa kimya?! Haipo namna hiyo. Katika kutafuta ushahidi wa tukio lolote la kihalifu polisi huwa hawabembelezi ikibidi hutumia nguvu.
 
Back
Top Bottom