Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 7,093
- 10,469
Mimi naamini kabisa Tundu Lisu alipigwa risasi na chadema na yeye Tundu Lisu mwenyewe ni sehemu ya huo mpango, nia yao ilikuwa washambulie gari halafu wapeleke kwa Mzungu kusema ni assasination attempt lkn Mungu akawalaani mipango yao haikwenda vizuri hawakupanga vizuri hivyo waliofwatua risasi walijua Tundu Lisu hayumo lkn alikuwemo na risasi kummiminikia na ndio maana dereva wanamficha kwa kila hali kwani wanajua akibanwa atasema yote.
Slaa siyo mjinga alikuwa Katibu Mkuu chadema anajua kila kitu, waambieni chadema wamshutaki Mahakamani halafu afunguke.
Tundu Lisu ana laana na alipanga huu mpango wote yeye na chadema ili wamsingizie Magufuli sema ukamrudia na marisasi kuishia mwilini mwake.
Isitoshe kama Tundu alipigwa risasi na Serikali ya Magufuli kama ambavyo Tundu Lisu anasema kwa nini hawawachukulii hatua zozote wahusika kwani Tundu Lisu ameshawataja na Tundu Lisu na Samia wote Bosi wao mmoja na wanaelewana ni swala la Action tu, kwa nini hawafanyi ?
Slaa siyo mjinga alikuwa Katibu Mkuu chadema anajua kila kitu, waambieni chadema wamshutaki Mahakamani halafu afunguke.
Tundu Lisu ana laana na alipanga huu mpango wote yeye na chadema ili wamsingizie Magufuli sema ukamrudia na marisasi kuishia mwilini mwake.
Isitoshe kama Tundu alipigwa risasi na Serikali ya Magufuli kama ambavyo Tundu Lisu anasema kwa nini hawawachukulii hatua zozote wahusika kwani Tundu Lisu ameshawataja na Tundu Lisu na Samia wote Bosi wao mmoja na wanaelewana ni swala la Action tu, kwa nini hawafanyi ?