Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Wamuonee huruma wampe teuziUmasikini unamtesa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamuonee huruma wampe teuziUmasikini unamtesa
Si anapension?Wamuonee huruma wampe teuzi
Labda uwe punguani pekee ndio utaamini maneno ya slaa, punguani ujibiwa kipunguani.Pangueni hoja zake!
Kwanini hamtaki kujibu hoja zake badala yake mnashambulia maisha yake binfsi
Angeonekana FONT pages kakaMkuu hivi bado yuko naye
Ova
Hebu pitia link hiyo hapo chini. Ndipo utagundua Slaa kasema uongo au ukwel Joseph Yona Mwenyekiti wa chadema wilaya Temeke na Mjumbe wa Baraza kuu aliyetwkwa ameeleza waliomteka. Halafu wewe unaleta poroja ana assumptions wakati kuna facts!!!Ni malumbano makali kati ya John Heche [M/Kiti - CHADEMA - kanda ya Serengeti] na Dr W. P. Slaa [Former GS wa CHADEMA] huko club house moja usiku wa kuamkia leo Alhamisi trh 28/4/2022..
Msingi wa malumbano hayo ni hoja ya Dr Slaa aliyowahi kuiibua na kuripotiwa hapa hapa JF kuhusu UTEKAJI, KUPOTEA KWA WATU na KUPIGWA RISASI 37 kwa Tundu Lissu Septemba, 2017..
Hoja inayoleta majadala ni kina nani wanahusika na jinai hii ya kupoteza na kuua watu kwa style mbalimbali? Na ni kina nani hasa walihusika na jaribio la kuuwawa kwa risasi Tundu Lissu mwaka 2017? Nini wajibu wa polisi? Kwanini haya yanatokea nao wakiwepo tu?
Dr. SLaa katika maelezo yake, kwa mbaaali [japo jana amekanusha na kudai alieleweka vibaya] ameonesha kuwa hiyo yaweza kuwa ni INSIDE JOB ya CHADEMA, kwamba ni wenyewe WANAJITEKA, KUPOTEZANA na KUJIPIGA RISASI wenyewe kwa wenyewe. Na obviously, ndiyo walimpiga risasi Tundu Lissu mwaka 2017..!
Kuthibitisha hili, Dr Slaa anatoa mfano wa M/Kiti wa CHADEMA (w) fulani miaka hiyo, kwamba, alitekwa na kupigwa kisha kutupwa porini akiwa mahututi na watekaji hao wakaamini kuwa amekufa..
Lakini few hours later, victim huyo alipata fahamu na baadaye taarifa kumfikia yeye Dr Slaa by then akiwa ndiye GS..
Kwa maelezo ya Dr Slaa kwa niaba ya chama, alitoka public na kulaani tukio hilo. Lakini kitambo kidogo baadaye mmoja wa walinzi wa chama chao [Red Brigade] alimwendea Dr Slaa na kukiri kuwa yeye ni mmoja waliohusika kumteka m/kiti huyo..!!
Sasa mpaka hapo ndipo John Heche, aka - react na kumpinga vikali Dr Slaa. Heche akamwita his former Party GS kuwa huo ni uongo na anamuona Dr Slaa ni kama mtu aliye kwenye confusion ya aina fulani hivi..
Heche akamuuliza Dr Slaa, kuwa, kama ni kweli, yeye akiwa kama GS wa chama by then, ikawaje kwa miaka zaidi ya 15 sasa anyamazie jinai hiyo na kuisema leo..?
Dr Slaa akajibu tuhuma hizo za Heche kwa kusema, ni wazi kuwa hajaeleweka na watu wanapotosha kwa makusudi mantiki ya hoja yake kwa sababu hajasema kuwa CHADEMA wanajiteka, kujipoteza. Na hajasema kuwa, kupigwa risasi kwa Tundu Lissu ni INSIDE JOB ya CHADEMA yenyewe..!
Dr Slaa, akarejea tena kwenye tukio la M/Kiti wake wa CHADEMA (W) kutekwa. Akasema yeye kama GS kisheria siyo jukumu lake kushughulikia jinai kama ile. Anasema, yeye alipopata taarifa hiyo kazi yake ilikuwa ni kuipeleka polisi na ndivyo alivyofanya..
Dr Slaa akaendelea kujitetea kwa kusema kuwa hadi leo, hajui uchunguzi wa polisi kuhusu tukio hilo uliishia wapi kwa sababu mpaka anatoka CHADEMA, hakuwahi kuitwa polisi wala kuitwa kuwa shahidi ktk mahakama yoyote kwa kesi hiyo...!!
MAONI YANGU:
Baada ya kauli hii ya jana ya Dr Slaa, kidogo mimi ilinifungua macho na ufahamu wangu. Nikaanza kumwelewa Dr Slaa. Kumbe ni kweli kabisa kuwa hakuwa na maana ya CHADEMA huwa wanajiteka, kujipoteza wenyewe na kwamba, ndiyo walimpiga risasi TL mwaka 2017..!
Ni wazi kuwa kumbe Dr Slaa alikuwa anatufungua ufahamu na akili zetu ili kujua tatizo la haya mambo liko wapi. Kwamba, kiini cha tatizo la kupotea, kutekwa watu liko ndani ya serikali kupitia TANPOL na UWT wakichezeshwa mchezo mchafu wa kisiasa na wanasiasa watawala wa CCM kwa maslahi ya kisiasa..!!
KUMBE TUSEMEJE SASA..?
✓ Hii ni vita ya kisiasa ya siku zote kati ya CCM na CHADEMA..
✓ Bahati mbaya sana, baadhi ya maafisa wa UWT na Polisi wamekubali kuzichafua taasisi hizi muhimu kwa gharama ya amani na utulivu wa taifa hili kwa kushiriki ktk michezo hii michafu ya kisiasa ya wanasiasa. Victim mkuu wa mchezo huu mchafu basically ni CHADEMA huku CCM ikidhani inanufaika..
✓ Hawa UWT na POLISI kwa kuagizwa na kutumwa na wanasiasa walio serikalini, hutengeneza matukio ya kijinai kwa jina la CHADEMA ili ku - tarnish image ya chama hiki na baadaye waki - incriminate na kisha wapate sbb ya kukifuta. Tukio la juzi kati hapa la kesi ya M/Kiti wa CHADEMA Taifa ndg Freeman Mbowe iliyojifuta yenyewe kwa kukosekana ushahidi ni mfano halisi na rahisi kabisa wa kesi ya kutengenezwa na baadhi wa maafisa wa UWT na POLISI..
✓ Kwa sababu, hebu tujiulize swali hili la msingi, kwamba, kama hizi ni INSIDE JOB ya CHADEMA, ni sababu gani inayowafanya polisi wasiingie huko CHADEMA, wakachunguza na kuwatambua wahusika na kisha kuwapeleka kwenye vyombo vya sheria iwapo kweli hawa huwa wanajiteka, kujipoteza na ndiyo walihusika kumpiga mwenzao Tundu Lissu risasi mwaka 2017..?
✓ Kwanini tukio la M/Kiti wa CHADEMA (w) anayetolewa kama reference na Dr Slaa ripoti yake kwa zaidi ya miaka 15 imefichwa, hazitolewi hadharani na polisi ili kuthibitisha kuwa CHADEMA walimteka na kumpiga mtu wao wenyewe?
✓ Je polisi, wanaiogopa CHADEMA? Je, CHADEMA hawachunguziki wala kukamatika?
KAMA MAMBO YAKO HIVI, TATIZO LIKO WAPI SASA..?
✓ Tusimung'unye maneno, "Pandora box ☑️ ", ndiyo inafunguliwa taratibu na akina Dr Slaa. Tatizo liko kwenye serikali kupitia idara za UWT na POLISI. Hawa, baadhi ya maafisa wake wanalipwa na wanasiasa wa chama tawala kuliharibu taifa hili kwa kushiriki siasa chafu za CCM...
✓ SAMAKI mmoja akioza, kikawaida uozo huo huambukiza box au tenga lote na samaki wote huonekana wameoza. Idara za UWT na POLISI zimeoza na ni lazima mabadiliko ya kimfumo na kisheria ufanyike ili kulinusuru taifa hili kuishia kwenye machafuko...!
Sasa namwelewa Dr Slaa na mfano wake ule. Kumbe alikuwa anajaribu kutuonesha tatizo liko wapi. Yeye siyo tatizo kwa kusema haya. Na wala CHADEMA siyo tatizo hata kidogo.
Weiterleitungshinweis
www.google.com
Ni kwa nini Slaa anafurahia Lissu kuuwawa? Why anapenda mauaji?Ni malumbano makali kati ya John Heche [M/Kiti - CHADEMA - kanda ya Serengeti] na Dr W. P. Slaa [Former GS wa CHADEMA] huko club house moja usiku wa kuamkia leo Alhamisi trh 28/4/2022..
Msingi wa malumbano hayo ni hoja ya Dr Slaa aliyowahi kuiibua na kuripotiwa hapa hapa JF kuhusu UTEKAJI, KUPOTEA KWA WATU na KUPIGWA RISASI 37 kwa Tundu Lissu Septemba, 2017..
Hoja inayoleta majadala ni kina nani wanahusika na jinai hii ya kupoteza na kuua watu kwa style mbalimbali? Na ni kina nani hasa walihusika na jaribio la kuuwawa kwa risasi Tundu Lissu mwaka 2017? Nini wajibu wa polisi? Kwanini haya yanatokea nao wakiwepo tu?
Dr. SLaa katika maelezo yake, kwa mbaaali [japo jana amekanusha na kudai alieleweka vibaya] ameonesha kuwa hiyo yaweza kuwa ni INSIDE JOB ya CHADEMA, kwamba ni wenyewe WANAJITEKA, KUPOTEZANA na KUJIPIGA RISASI wenyewe kwa wenyewe. Na obviously, ndiyo walimpiga risasi Tundu Lissu mwaka 2017..!
Kuthibitisha hili, Dr Slaa anatoa mfano wa M/Kiti wa CHADEMA (w) fulani miaka hiyo, kwamba, alitekwa na kupigwa kisha kutupwa porini akiwa mahututi na watekaji hao wakaamini kuwa amekufa..
Lakini few hours later, victim huyo alipata fahamu na baadaye taarifa kumfikia yeye Dr Slaa by then akiwa ndiye GS..
Kwa maelezo ya Dr Slaa kwa niaba ya chama, alitoka public na kulaani tukio hilo. Lakini kitambo kidogo baadaye mmoja wa walinzi wa chama chao [Red Brigade] alimwendea Dr Slaa na kukiri kuwa yeye ni mmoja waliohusika kumteka m/kiti huyo..!!
Sasa mpaka hapo ndipo John Heche, aka - react na kumpinga vikali Dr Slaa. Heche akamwita his former Party GS kuwa huo ni uongo na anamuona Dr Slaa ni kama mtu aliye kwenye confusion ya aina fulani hivi..
Heche akamuuliza Dr Slaa, kuwa, kama ni kweli, yeye akiwa kama GS wa chama by then, ikawaje kwa miaka zaidi ya 15 sasa anyamazie jinai hiyo na kuisema leo..?
Dr Slaa akajibu tuhuma hizo za Heche kwa kusema, ni wazi kuwa hajaeleweka na watu wanapotosha kwa makusudi mantiki ya hoja yake kwa sababu hajasema kuwa CHADEMA wanajiteka, kujipoteza. Na hajasema kuwa, kupigwa risasi kwa Tundu Lissu ni INSIDE JOB ya CHADEMA yenyewe..!
Dr Slaa, akarejea tena kwenye tukio la M/Kiti wake wa CHADEMA (W) kutekwa. Akasema yeye kama GS kisheria siyo jukumu lake kushughulikia jinai kama ile. Anasema, yeye alipopata taarifa hiyo kazi yake ilikuwa ni kuipeleka polisi na ndivyo alivyofanya..
Dr Slaa akaendelea kujitetea kwa kusema kuwa hadi leo, hajui uchunguzi wa polisi kuhusu tukio hilo uliishia wapi kwa sababu mpaka anatoka CHADEMA, hakuwahi kuitwa polisi wala kuitwa kuwa shahidi ktk mahakama yoyote kwa kesi hiyo...!!
MAONI YANGU:
Baada ya kauli hii ya jana ya Dr Slaa, kidogo mimi ilinifungua macho na ufahamu wangu. Nikaanza kumwelewa Dr Slaa. Kumbe ni kweli kabisa kuwa hakuwa na maana ya CHADEMA huwa wanajiteka, kujipoteza wenyewe na kwamba, ndiyo walimpiga risasi TL mwaka 2017..!
Ni wazi kuwa kumbe Dr Slaa alikuwa anatufungua ufahamu na akili zetu ili kujua tatizo la haya mambo liko wapi. Kwamba, kiini cha tatizo la kupotea, kutekwa watu liko ndani ya serikali kupitia TANPOL na UWT wakichezeshwa mchezo mchafu wa kisiasa na wanasiasa watawala wa CCM kwa maslahi ya kisiasa..!!
KUMBE TUSEMEJE SASA..?
✓ Hii ni vita ya kisiasa ya siku zote kati ya CCM na CHADEMA..
✓ Bahati mbaya sana, baadhi ya maafisa wa UWT na Polisi wamekubali kuzichafua taasisi hizi muhimu kwa gharama ya amani na utulivu wa taifa hili kwa kushiriki ktk michezo hii michafu ya kisiasa ya wanasiasa. Victim mkuu wa mchezo huu mchafu basically ni CHADEMA huku CCM ikidhani inanufaika..
✓ Hawa UWT na POLISI kwa kuagizwa na kutumwa na wanasiasa walio serikalini, hutengeneza matukio ya kijinai kwa jina la CHADEMA ili ku - tarnish image ya chama hiki na baadaye waki - incriminate na kisha wapate sbb ya kukifuta. Tukio la juzi kati hapa la kesi ya M/Kiti wa CHADEMA Taifa ndg Freeman Mbowe iliyojifuta yenyewe kwa kukosekana ushahidi ni mfano halisi na rahisi kabisa wa kesi ya kutengenezwa na baadhi wa maafisa wa UWT na POLISI..
✓ Kwa sababu, hebu tujiulize swali hili la msingi, kwamba, kama hizi ni INSIDE JOB ya CHADEMA, ni sababu gani inayowafanya polisi wasiingie huko CHADEMA, wakachunguza na kuwatambua wahusika na kisha kuwapeleka kwenye vyombo vya sheria iwapo kweli hawa huwa wanajiteka, kujipoteza na ndiyo walihusika kumpiga mwenzao Tundu Lissu risasi mwaka 2017..?
✓ Kwanini tukio la M/Kiti wa CHADEMA (w) anayetolewa kama reference na Dr Slaa ripoti yake kwa zaidi ya miaka 15 imefichwa, hazitolewi hadharani na polisi ili kuthibitisha kuwa CHADEMA walimteka na kumpiga mtu wao wenyewe?
✓ Je polisi, wanaiogopa CHADEMA? Je, CHADEMA hawachunguziki wala kukamatika?
KAMA MAMBO YAKO HIVI, TATIZO LIKO WAPI SASA..?
✓ Tusimung'unye maneno, "Pandora box ☑️ ", ndiyo inafunguliwa taratibu na akina Dr Slaa. Tatizo liko kwenye serikali kupitia idara za UWT na POLISI. Hawa, baadhi ya maafisa wake wanalipwa na wanasiasa wa chama tawala kuliharibu taifa hili kwa kushiriki siasa chafu za CCM...
✓ SAMAKI mmoja akioza, kikawaida uozo huo huambukiza box au tenga lote na samaki wote huonekana wameoza. Idara za UWT na POLISI zimeoza na ni lazima mabadiliko ya kimfumo na kisheria ufanyike ili kulinusuru taifa hili kuishia kwenye machafuko...!
Sasa namwelewa Dr Slaa na mfano wake ule. Kumbe alikuwa anajaribu kutuonesha tatizo liko wapi. Yeye siyo tatizo kwa kusema haya. Na wala CHADEMA siyo tatizo hata kidogo..
Kwann alikaa kimya miaka 20Hebu pitia link hiyo hapo chini. Ndipo utagundua Slaa kasema uongo au ukwel Joseph Yona Mwenyekiti wa chadema wilaya Temeke na Mjumbe wa Baraza kuu aliyetwkwa ameeleza waliomteka. Halafu wewe unaleta poroja ana assumptions wakati kuna facts!!!
Nawashauri vijana mkae kimya msimbagaze huyo Slaa.
Alikuwa SG CHADEMA
Anajua mengi ya chadema enzi zake kuliko yeyote humu jukwaani msimfanye akalazimika kujitetea ataropoka sana
Kumtumia Yona Joseph ni matumizi mabaya ya akili na muda. Hata hivyo, itoshe kusema kwamba Dk Slaa mwenyewe ameanza kuyakana anayonukuliwa kuyasema kuhusu Chadema. It is wasting of time kumwamini mtu mwenye njaa anayeamini njaa yake inaweza kuondoka kwa kuchafua wenzake!Hebu pitia link hiyo hapo chini. Ndipo utagundua Slaa kasema uongo au ukwel Joseph Yona Mwenyekiti wa chadema wilaya Temeke na Mjumbe wa Baraza kuu aliyetwkwa ameeleza waliomteka. Halafu wewe unaleta poroja ana assumptions wakati kuna facts!!!
Nawashauri vijana mkae kimya msimbagaze huyo Slaa.
Alikuwa SG CHADEMA
Anajua mengi ya chadema enzi zake kuliko yeyote humu jukwaani msimfanye akalazimika kujitetea ataropoka sana
Kumbe unamjua Joseph Yona..Kumtumia Yona Joseph ni matumizi mabaya ya akili na muda. Hata hivyo, itoshe kusema kwamba Dk Slaa mwenyewe ameanza kuyakana anayonukuliwa kuyasema kuhusu Chadema. It is wasting of time kumwamini mtu mwenye njaa anayeamini njaa yake inaweza kuondoka kwa kuchafua wenzake!
Kumbe unamjua Joseph Yona..
Kwanini wastage of time?
Hakutekwa?
Hakupigwa?
Hakuwataja chadema?
Maelezo yake ni uongo?
Why
Muelewe pascal sio kama hajaelewa ni technic ya kuchokoza mjadala uwe mpana , sarcasmPascal wacha hizo mjomba unajua kabisa kuwa kitumbua kinachozungumzwa hapa ni kile katikati ya mapaja,au hujastua kile kinywaji cheru pendwa cha Yohana Mtembezi hivyo bado hujakaa sawa?
Pasco acha ujanja bwana! Nani kasema anauza vitumbua? Jamaa kasema "kitumbua" sasa nini huelewi? Au unatilia mkazo hoja kisayansi nini?huku ni kuchafua watu, nimeishi Sweden, kule hawali vitumbua, wanakula mikate tuu, kitendo cha kumsingizia mke wa Dr. Slaa, mama yetu Josephine Mushumbusi kuwa anafanya kazi ya kuuza vitumbua Sweden, ni kutaka kumchafua tuu, and soon tutasikia kuwa daktari kaanza tena kushindia mihogo!.
P
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Matola hiyo sio "Inshumata" bali inaitwa Shuntama, nasikia ni kiboko sana. Babu kama Slaa lazima imtoe akili na kubwabwaja kama chizi.
Sawa wewe mfuasi wa GAIDI MBOWETunajua ndo maana akatuondolea lile dubwasha pale ikulu. 17.3.2021 akalifyekelea mbaali.
DEREVA ALIKATAZWA NA GAIDI MBOWEHakuna kitu kinaitwa Nshumata! Sweden hakuna vitumbua, napajua mno na hakuna nhicho wasema Bora ungesema anauza mikate ilo okwa ningekubaliana na wewe!
Tuje kwenye hoja kuna mambo mengi nyuma ya mambo anachosema Dr slaa na kwakuwa wengi hapa mpo kiushabiki you won’t understand me until it is your turn !!
Unajua ya Chacha!! ? Ya Baregu walichokuwa wamepanga dhidi yake na Kitila?
Anyway ya CHADEMA hayanihusu ila I was crosschecking facts ….
SIKU UKIJUA KWANINI DEREVA AKUTAKA KUJITOKEZA NDO UTAELEWA
Britanicca
1. Huo hauwezi kuwa ukweli iwapo wahusika wa tendo hilo wako huru..Hebu pitia link hiyo hapo chini. Ndipo utagundua Slaa kasema uongo au ukwel Joseph Yona Mwenyekiti wa chadema wilaya Temeke na Mjumbe wa Baraza kuu aliyetwkwa ameeleza waliomteka. Halafu wewe unaleta poroja ana assumptions wakati kuna facts!!!
Nawashauri vijana mkae kimya msimbagaze huyo Slaa.
Alikuwa SG CHADEMA
Anajua mengi ya chadema enzi zake kuliko yeyote humu jukwaani msimfanye akalazimika kujitetea ataropoka sana