John Heche vs Dkt. Slaa: Je, ni kweli utekaji, kupotea kwa watu na kupigwa risasi Tundu Lissu Septemba, 2017 ni 'INSIDE JOB' ya CHADEMA wenyewe?

John Heche vs Dkt. Slaa: Je, ni kweli utekaji, kupotea kwa watu na kupigwa risasi Tundu Lissu Septemba, 2017 ni 'INSIDE JOB' ya CHADEMA wenyewe?

huku ni kuchafua watu, nimeishi Sweden, kule hawali vitumbua, wanakula mikate tuu, kitendo cha kumsingizia mke wa Dr. Slaa, mama yetu Josephine Mushumbusi kuwa anafanya kazi ya kuuza vitumbua Sweden, ni kutaka kumchafua tuu, and soon tutasikia kuwa daktari kaanza tena kushindia mihogo!.
P
Josephine anaweza kuwa mama yako Paschal? si unamzaa kabisa Josephine?

Ama kama wewe ni mjomba wake basi inaeleweka mjomba ni mama vinginevyo acha porojo
 
Slaa anajutia Sana kuingizwa kingi na jiwe akatoka chadema kwa kuonyeshwa karanga, leo jiwe kawaacha wajane chama kimerudi kwa wenyewe, waunga juhudi, wabunge asante magufuli, covid 19 Wana miaka miwili tu ya kula kodi zetu. Ushauri wa bure wasikope mikopo ya mda mrefu kwani ubunge wao unakoma October 2025.
 
Bro, kuna upofu wa chuki na uvyama umeharibu hili Taifa kwa kiwango cha kutisha. Nina uhakika watakaokusoma na kukuelewa ni wachache mno!

Katika hao wachache ni wale watakaosoma na kukuelewa ili wafanye spinning! Sijui tunatokaje kwenye hii situation!

Toka hizi kambi za vyama kujikita kutengeneza teams za mitandaoni hali ya mijadala ni mbaya kuliko hata mijadala ya vijiwe vya kahawa.

Ahaaa ahaaa, acha nicheke tu. Eti watakaosoma na kumuelewa ni wachache?!
 
Pangueni hoja zake!

Kwanini hamtaki kujibu hoja zake badala yake mnashambulia maisha yake binfsi
Kama yeye mwenyewe kakanusha kuwa hakueleweka vizuri kwa maana nyingine alinukuliwa vibaya inamaana kuwa hata hoja zake ni mfilisi.
 
Dr Slaa ana akili sana na anajua anacho kifanya. Katika hayo aliyosema kwenye mjadala ujumbe mkuu ulikuwa unapelekwa kwa TL kwamba mpaka leo USA pamoja na maendeleo makubwa ya technologia na demokrasia kifo cha Kennedy ni kitendawili kisicho pata jibu la moja kwa moja. Hivyo hivyo kwa Sweden na Waziri mkuu wake. TL na waina yake mmeambiwa kiutuuzima mtahangaika sana lakini mtaambulia patupu.

Mimi na mwambia TL achukue muda wake kujiuliza kwa nini Mungu alimuacha aishi hadi hii leo ana kusudi gani na yeye? Pili wale ambao kwa kauli zake na viongozi wa CDM walishawishika kupambana na vyombo vya dola na wakaingia kwenye madhila mbalimbali ikiwemo kufa. Je haki yao itapotea hivi hivi mbele ya TL na viongozi wengine wa CDM? Kwamba Mungu atakaa kimya hatachukua hatua ya kuwalipia kutokana na ulaghai wa viongozi wa CDM? Kusema kweli alishanza kufanya hivyo. Mungu amewalipia na ataendelea kuwalipia kwani TL na viongozi wenzake wakijua fika katika agenda zao ipo pia ya ujasiria siasa ndio ile mfano mmoja wapo ni kubadili gia angani.

Lakini kwa kutumia akili za kawaida tu kuna tofauti yeyote kati ya huyo kiongozi wa redibrigedi aliyetoa ushuhuda kwa Dr Slaa kuongoza utekaji na dereva wa TL aliye enda kuegesha gari liwe target ya washambuliaji akamucha TL ndani ya gari wakati yeye kashuka na kujificha chini ya uvungu wa gari na risasi hata moja kati ya more than 30 rounds is kosee njia na kulenga chini kwenye uvungu wa gari?
 
Dr Slaa ana akili sana na anajua anacho kifanya. Katika hayo aliyosema kwenye mjadala ujumbe mkuu ulikuwa unapekwa kwa TL kwamba mpaka leo USA pamoja na maendeleo makubwa ya technologia na demokrasia kifo cha Kennedy ni kitendawili kisicho pata jibu la moja kwa moja. Hivyo hivyo kwa Sweden na Waziri mkuu wake. TL na waina yake mmeambiwa kiutuuzima mtahangaika sana lakini mtaambulia patupu.

Mimi na mwambia TL achukue muda wake kujiuliza kwa nini Mungu alimuacha aishi hadi hii leo ana kusudi gani na yeye? Pili wale ambao kwa kauli zake na viongozi wa CDM walishawishika kupambana na vyombo vya dola na wakaingia kwenye madhila mbalimbali ikiwemo kufa. Je haki yao itapotea hivi hivi mbele ya TL na viongozi wengine wa CDM? Mungu hatachu hatua ya kuwalipia? Kusema kweli alishanza kufanya hivyo. Mungu amewalipia na ataendelea kuwalipia kwani TL na viongozi wenzake wakijua fika katika agenda zao ipo pia ya ujasiria siasa ndio ile mfano mmoja wapo ni kubadili gia angani.

Lakini kwa kutumia akili za kawaida tu kuna tofauti yeyote kati ya huyo kiongozi wa redibrigedi aliyetoa ushuhuda kwa Dr Slaa kuongoza utekaji na dereva wa TL?
Unprofessional rubbish.
 
Pascal wacha hizo mjomba unajua kabisa kuwa kitumbua kinachozungumzwa hapa ni kile katikati ya mapaja,au hujastua kile kinywaji cheru pendwa cha Yohana Mtembezi hivyo bado hujakaa sawa?
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Asiyejua kwamba mchezo wa kujiteka na kuteka watu ulichezwa sana na upinzani ili kumchafua Magu baada ya kushindwa hoja za kisiasa, hawajui kabisa wapinzani.

Kama kesi ya ugaidi ya Mbowe nayo haijawafungua macho, basi kuna shida kubwa.
 
Makada waliotoka CHADEMA walishathibitisha humu humu JF umafia wa CHADEMA. Angalia sifa na kariba ya viongozi wakuu CHADEMA; Lema, Msigwa, Heche, Sugu, Halima Mdee enzi hizo; Alafu unashangaa nini ukiambiwa maovu wanayofanya?
Sasa utaona BAVICHA wataanzisha kampeni maalumu ya kumchafua Slaa kama wanavyofanya kwa Magufuli. Utaona visredi visivyo na idadi na kwenye makundi ya WhatsApp watakavyokuwa busy kumchafua!
 
Kumetokea malumbano makali kati ya John Heche [M/Kiti - CHADEMA - kanda ya Serengeti] na Dr W. P. Slaa [Former GS wa CHADEMA] huko club house moja usiku wa kuamkia leo..

Msingi wa malumbano ni hoja ya Dr Slaa aliyowahi kuiibua na kuripotiwa hapa kuhusu UTEKAJI, KUPOTEA KWA WATU na KUPIGWA RISASI 37 kwa Tundu Lissu Septemba, 2017..

Hoja ni kina nani wanahusika?

Dr. SLaa katika maelezo yake, kwa mbaaali [japo jana amekanusha na kudai ameeleweka vibaya] ameonesha kuwa hiyo yaweza kuwa ni INSIDE JOB ya CHADEMA wenyewe kuwa WANAJITEKA, WANAPOTEZA NA na KUJIPIGA RISASI wenyewe kwa wenyewe.

Kwa kujaribu kuthibitisha hili, Dr Slaa anatoa mfano wa M/Kiti wa CHADEMA (W) fulani miaka hiyo kutekwa na kupigwa kisha kutupwa porini akiwa mahututi na watekaji hao wanaamini kubwa amekufa..

Few hours later, victim huyo alipata fahamu na baadaye taarifa kumfukia GS Dr Slaa by then. Kwa maelezo ya Dr Slaa, kitambo kidogo baadaye mmoja wa walinzi wa chama chao [Red Brigade] alijitokeza mbele ya Dr Slaa na kukiri kuwa yeye ni mmoja waliohusika kumteka m/kiti huyo.

Sasa mpaka hapo ndipo John Heche, ame - react na kumpinga vikali Dr Slaa. Na akathubutu kumwita his former Party GS kuwa mwongo. Anamuona Dr Slaa ni kama mtu aliye kwenye confusion ya aina fulani hivi. Anauliza yeye kama GS ikawaje kwa miaka zaidi ya 15 sasa anyamazie jinai hiyo na kuisema leo..?

Kwa ku - react shutuma za John Heche, Dr Slaa akajibu kuwa, hajaeleweka na watu wanapotosha kwa makusudi na mantiki ya hoja yake kwa sababu hajasema kuwa CHADEMA wanajiteka, kujipoteza na kupigwa risasi kwa TL ni INSIDE JOB ya CHADEMA yenyewe..!

Dr Slaa, akarejea tena kwenye tukio la M/Kiti wake wa CHADEMA (W) kutekwa. Akasema yeye kama GS kisheria siyo jukumu lake kushughulikia jinai kama ile. Anasema, yeye alipopata taarifa hiyo kazi yake ilikuwa ni kuipeleka polisi na ndivyo alivyofanya..

Anaendelea kusema kuwa hadi leo, hajui uchunguzi wa polisi kwa tukio hilo uliishia wapi kwa sababu mpaka anatoka ofisini, hakuwahi kuitwa polisi wala kuitwa kuwa shahidi ktk mahakama yoyote kwa kesi hiyo...!!

MAONI YANGU:

Baada ya kauli hii ya jana ya Dr Slaa, kidogo mimi ilinifungua macho na ufahamu wangu. Nikaanza kumwelewa Dr Slaa. Kumbe ni kweli kabisa kuwa hakuwa na maana ya CHADEMA huwa wanajiteka, kujipoteza wenyewe na kwamba, ndiyo walimpiga risasi TL mwaka 2017..!

KUMBE TUSEMEJE SASA..?

✓ Hii ni vita ya kisiasa ya siku zote kati ya CCM na CHADEMA..

✓ Bahati mbaya sana, baadhi ya maafisa wa UWT na Polisi wamekubali kuzichafua taasisi hizi muhimu kwa amani na utulivu wa taifa hili kwa kushiriki ktk michezo hii michafu ya kisiasa ya wanasiasa. Victim mkuu wa mchezo huu mchafu basically ni CHADEMA huku CCM ikidhani inanufaika..

✓ Hawa UWT na POLISI kwa kuagizwa na kutumwa na wanasiasa walio serikali, hutengeneza matukio ya kijinai kwa jina la CHADEMA ili ku - tarnish image ya chama hiki na baadaye waki - incriminate na kisha wapate sbb ya kukifuta. Tukio la juzi kati hapa la kesi ya M/Kiti wa CHADEMA Taifa ndg Freeman Mbowe iliyojifuta yenyewe kwa kukosekana ushahidi ni mfano halisi na rahisi kabisa wa kesi ya kutengenezwa na baadhi wa maafisa wa UWT na POLISI..

✓ Kwa sababu, hebu tujiulize swali hili la msingi, kwamba, kama hizi ni INSIDE JOB ya CHADEMA, ni sababu gani inayowafanya polisi wasiingie huko CHADEMA, wakachunguza na kuwatambua wahusika na kisha kuwapeleka kwenye vyombo vya sheria iwapo kweli hawa huwa wanajiteka, kujipoteza na ndiyo walihusika kumpiga mwenzao Tundu Lissu risasi mwaka 2017..?

✓ Kwanini tukio la M/Kiti wa CHADEMA (w) anayetolewa kama reference example na Dr Slaa ripoti yake kwa zaidi ya miaka 15 imefichwa, hazitolewi hadharani na polisi ili kuthibitisha kuwa CHADEMA walimteka na kumpiga mtu wao wenyewe?

✓ Je polisi, wanaiogopa CHADEMA? Je, CHADEMA hawachunguziki wala kukamatika?

KAMA MAMBO YAKO HIVI, TATIZO LIKO WAPI SASA..?

✓ Tusimung'unye maneno, "Pandora box ☑️ ", ndiyo inafunguliwa taratibu na akina Dr Slaa. Tatizo liko kwenye serikali kupitia idara za UWT na POLISI. Hawa, baadhi ya maafisa wake wanalipwa na wanasiasa wa chama tawala kuliharibu taifa hili kwa kushiriki siasa chafu za CCM...

✓ SAMAKI mmoja akioza, kikawaida uozo huo huambukizwa box au tenga lote la samaki wote huonekana wameoza. Idara za UWT na POLISI zimeoza na ni lazima mabadiliko ya kimfumo na kisheria ufanyike ili kulinusuru taifa hilikuishia kwenye machafuko...!

Sasa namwelewa Dr Slaa. Mfano wake ule, alikuwa anajaribu kutuonesha tatizo liko wapi..
Huyu mzee atafika mbinguni amechoka Sana, huwezi leta mzaa kwenye maisha ya watu/ watz ukabaki salama Mungu yupo ,
Swali
Kama Slaa anajua Chadema hupoteza watu wake au Wanachama wake toka mwanzo vipi asubili mgongano ndani ya Chama na kukimbia na kupewa ubalozi?

Asipokua makini Dunia itamuumbua, mfano uyo Slaa anafikilia umri alionao ataweza kuzidisha Mara mbili chini ya uso wa dunia?
Jibu
Anaweza ila mifano ipo wazi ,ni KWa wachache tu,kufa ni lazima na haikwepeki

Slaa namfutia utukufu wake anaodhani anao kupitia Mungu wake anaemwabudu na imekua
 
Babu anajichanganya au hawezi kufikiri kama zamani. Umri.

Kama kweli kuna mtu alitekwa (inside job) na akatoa taarifa police na issue haikufanyiwa kazi mpaka leo.... Hapo yeye hawezi kufanya mahesabu yake na kupata majibu....!!?

Kama hayo anayoyasema ni kweli mbona hakuyapeleka kwenye vikao vya chama kujua ukweli. Kwa nini alianini hiyo story ya mtu moja?

Kama anavyodai ni ya kweli kwa nini mtekwaji aliamua kukaa kimya wakati akijua hayuko salama ndani ya Chadema. Kukaa kimya au kutoa ripoti police kipi kilikuwa salama kwake!?

Slaa asituletee story za vijiweni. Anajidhalilisha.
Laana za viapo zinaanza mtafuna, namanisha siku ya kupata upadirisho vipo viapo vingi tu ,ila wengi hukengeuka Sana badala ya kutimiza viapo hivyo
 
huku ni kuchafua watu, nimeishi Sweden, kule hawali vitumbua, wanakula mikate tuu, kitendo cha kumsingizia mke wa Dr. Slaa, mama yetu Josephine Mushumbusi kuwa anafanya kazi ya kuuza vitumbua Sweden, ni kutaka kumchafua tuu, and soon tutasikia kuwa daktari kaanza tena kushindia mihogo!.
P

Mkuu sipingi utetezi wako, Dr. Slaa aliongea lugha tunayoifahamu wote, na uwezo wa kuelewa pia tunao. Kama ni kukanusha alichoongea au kueleweka vibaya anasawazisha tu baada ya kuona hoja yake imezua hasira kwa upande wa pili. Na ww sio kwamba umemuelewa vizuri alichokuwa anamaanisha, bali unajaribu kupunguza hasira iliyopo dhidi yake.
Hakuna wabongo huko wa kula vitambua?
 
Huyu mzee atafika mbinguni amechoka Sana, huwezi leta mzaa kwenye maisha ya watu/ watz ukabaki salama Mungu yupo ,
Swali
Kama Slaa anajua Chadema hupoteza watu wake au Wanachama wake toka mwanzo vipi asubili mgongano ndani ya Chama na kukimbia na kupewa ubalozi?

Asipokua makini Dunia itamuumbua, mfano uyo Slaa anafikilia umri alionao ataweza kuzidisha Mara mbili chini ya uso wa dunia?
Jibu
Anaweza ila mifano ipo wazi ,ni KWa wachache tu,kufa ni lazima na haikwepeki

Slaa namfutia utukufu wake anaodhani anao kupitia Mungu wake anaemwabudu na imekua
Huyu mzee ana matatizo ya akili tumsamehe bure
 
Huyo Padre Slaa limbwata la kihaya "Inshumata" alilowekewa na Josephine Mushumbushi limemletea madhara hadi kwenye ubongo.

Muda siyo mrefu atapigwa strock nabndio utakuwa mwisho wake ili Josephine auze kitumbuwa chake kwa uhuru Sweden.
Shuntama ndo limbwata la kihaya
 
Kumetokea malumbano makali kati ya John Heche [M/Kiti - CHADEMA - kanda ya Serengeti] na Dr W. P. Slaa [Former GS wa CHADEMA] huko club house moja usiku wa kuamkia leo..

Msingi wa malumbano ni hoja ya Dr Slaa aliyowahi kuiibua na kuripotiwa hapa kuhusu UTEKAJI, KUPOTEA KWA WATU na KUPIGWA RISASI 37 kwa Tundu Lissu Septemba, 2017..

Hoja ni kina nani wanahusika?

Dr. SLaa katika maelezo yake, kwa mbaaali [japo jana amekanusha na kudai ameeleweka vibaya] ameonesha kuwa hiyo yaweza kuwa ni INSIDE JOB ya CHADEMA wenyewe kuwa WANAJITEKA, WANAPOTEZA NA na KUJIPIGA RISASI wenyewe kwa wenyewe.

Kwa kujaribu kuthibitisha hili, Dr Slaa anatoa mfano wa M/Kiti wa CHADEMA (W) fulani miaka hiyo kutekwa na kupigwa kisha kutupwa porini akiwa mahututi na watekaji hao wanaamini kubwa amekufa..

Few hours later, victim huyo alipata fahamu na baadaye taarifa kumfukia GS Dr Slaa by then. Kwa maelezo ya Dr Slaa, kitambo kidogo baadaye mmoja wa walinzi wa chama chao [Red Brigade] alijitokeza mbele ya Dr Slaa na kukiri kuwa yeye ni mmoja waliohusika kumteka m/kiti huyo.

Sasa mpaka hapo ndipo John Heche, ame - react na kumpinga vikali Dr Slaa. Na akathubutu kumwita his former Party GS kuwa mwongo. Anamuona Dr Slaa ni kama mtu aliye kwenye confusion ya aina fulani hivi. Anauliza yeye kama GS ikawaje kwa miaka zaidi ya 15 sasa anyamazie jinai hiyo na kuisema leo..?

Kwa ku - react shutuma za John Heche, Dr Slaa akajibu kuwa, hajaeleweka na watu wanapotosha kwa makusudi na mantiki ya hoja yake kwa sababu hajasema kuwa CHADEMA wanajiteka, kujipoteza na kupigwa risasi kwa TL ni INSIDE JOB ya CHADEMA yenyewe..!

Dr Slaa, akarejea tena kwenye tukio la M/Kiti wake wa CHADEMA (W) kutekwa. Akasema yeye kama GS kisheria siyo jukumu lake kushughulikia jinai kama ile. Anasema, yeye alipopata taarifa hiyo kazi yake ilikuwa ni kuipeleka polisi na ndivyo alivyofanya..

Anaendelea kusema kuwa hadi leo, hajui uchunguzi wa polisi kwa tukio hilo uliishia wapi kwa sababu mpaka anatoka ofisini, hakuwahi kuitwa polisi wala kuitwa kuwa shahidi ktk mahakama yoyote kwa kesi hiyo...!!

MAONI YANGU:

Baada ya kauli hii ya jana ya Dr Slaa, kidogo mimi ilinifungua macho na ufahamu wangu. Nikaanza kumwelewa Dr Slaa. Kumbe ni kweli kabisa kuwa hakuwa na maana ya CHADEMA huwa wanajiteka, kujipoteza wenyewe na kwamba, ndiyo walimpiga risasi TL mwaka 2017..!

KUMBE TUSEMEJE SASA..?

✓ Hii ni vita ya kisiasa ya siku zote kati ya CCM na CHADEMA..

✓ Bahati mbaya sana, baadhi ya maafisa wa UWT na Polisi wamekubali kuzichafua taasisi hizi muhimu kwa amani na utulivu wa taifa hili kwa kushiriki ktk michezo hii michafu ya kisiasa ya wanasiasa. Victim mkuu wa mchezo huu mchafu basically ni CHADEMA huku CCM ikidhani inanufaika..

✓ Hawa UWT na POLISI kwa kuagizwa na kutumwa na wanasiasa walio serikali, hutengeneza matukio ya kijinai kwa jina la CHADEMA ili ku - tarnish image ya chama hiki na baadaye waki - incriminate na kisha wapate sbb ya kukifuta. Tukio la juzi kati hapa la kesi ya M/Kiti wa CHADEMA Taifa ndg Freeman Mbowe iliyojifuta yenyewe kwa kukosekana ushahidi ni mfano halisi na rahisi kabisa wa kesi ya kutengenezwa na baadhi wa maafisa wa UWT na POLISI..

✓ Kwa sababu, hebu tujiulize swali hili la msingi, kwamba, kama hizi ni INSIDE JOB ya CHADEMA, ni sababu gani inayowafanya polisi wasiingie huko CHADEMA, wakachunguza na kuwatambua wahusika na kisha kuwapeleka kwenye vyombo vya sheria iwapo kweli hawa huwa wanajiteka, kujipoteza na ndiyo walihusika kumpiga mwenzao Tundu Lissu risasi mwaka 2017..?

✓ Kwanini tukio la M/Kiti wa CHADEMA (w) anayetolewa kama reference example na Dr Slaa ripoti yake kwa zaidi ya miaka 15 imefichwa, hazitolewi hadharani na polisi ili kuthibitisha kuwa CHADEMA walimteka na kumpiga mtu wao wenyewe?

✓ Je polisi, wanaiogopa CHADEMA? Je, CHADEMA hawachunguziki wala kukamatika?

KAMA MAMBO YAKO HIVI, TATIZO LIKO WAPI SASA..?

✓ Tusimung'unye maneno, "Pandora box ☑️ ", ndiyo inafunguliwa taratibu na akina Dr Slaa. Tatizo liko kwenye serikali kupitia idara za UWT na POLISI. Hawa, baadhi ya maafisa wake wanalipwa na wanasiasa wa chama tawala kuliharibu taifa hili kwa kushiriki siasa chafu za CCM...

✓ SAMAKI mmoja akioza, kikawaida uozo huo huambukizwa box au tenga lote la samaki wote huonekana wameoza. Idara za UWT na POLISI zimeoza na ni lazima mabadiliko ya kimfumo na kisheria ufanyike ili kulinusuru taifa hilikuishia kwenye machafuko...!

Sasa namwelewa Dr Slaa. Mfano wake ule, alikuwa anajaribu kutuonesha tatizo liko wapi..
Mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kujadili swala la Lisu kupigwa risasi na kukihusisha chama chake.
Ukiona mtu anafanya hivyo basi jua huyo ni MPUMBAVU
Tuseme lisu zilipigwa risasi na wana Chadema wenzake sawa! Wamejificha wapi kwann mpaka leo hawajashitakiwa??
Yaani serikali inavyoichukia na kupambana na chadema kiasi hicho. Rejea issue ya kuitwa kwa PCCB wakina lijua likali mpaka mbowe kuitwa gaidi na wapuuzi wachache kushangili!
Kama serikali ingekuwa inajua kwamba hayo mambo yapo CHADEMA kama asemavyo slaa KINA.MBOWE WANGESHANYONGWA KITAMBO
 
Kumetokea malumbano makali kati ya John Heche [M/Kiti - CHADEMA - kanda ya Serengeti] na Dr W. P. Slaa [Former GS wa CHADEMA] huko club house moja usiku wa kuamkia leo..

Msingi wa malumbano ni hoja ya Dr Slaa aliyowahi kuiibua na kuripotiwa hapa kuhusu UTEKAJI, KUPOTEA KWA WATU na KUPIGWA RISASI 37 kwa Tundu Lissu Septemba, 2017..

Hoja ni kina nani wanahusika?

Dr. SLaa katika maelezo yake, kwa mbaaali [japo jana amekanusha na kudai ameeleweka vibaya] ameonesha kuwa hiyo yaweza kuwa ni INSIDE JOB ya CHADEMA wenyewe kuwa WANAJITEKA, WANAPOTEZA NA na KUJIPIGA RISASI wenyewe kwa wenyewe.

Kwa kujaribu kuthibitisha hili, Dr Slaa anatoa mfano wa M/Kiti wa CHADEMA (W) fulani miaka hiyo kutekwa na kupigwa kisha kutupwa porini akiwa mahututi na watekaji hao wanaamini kubwa amekufa..

Few hours later, victim huyo alipata fahamu na baadaye taarifa kumfukia GS Dr Slaa by then. Kwa maelezo ya Dr Slaa, kitambo kidogo baadaye mmoja wa walinzi wa chama chao [Red Brigade] alijitokeza mbele ya Dr Slaa na kukiri kuwa yeye ni mmoja waliohusika kumteka m/kiti huyo.

Sasa mpaka hapo ndipo John Heche, ame - react na kumpinga vikali Dr Slaa. Na akathubutu kumwita his former Party GS kuwa mwongo. Anamuona Dr Slaa ni kama mtu aliye kwenye confusion ya aina fulani hivi. Anauliza yeye kama GS ikawaje kwa miaka zaidi ya 15 sasa anyamazie jinai hiyo na kuisema leo..?

Kwa ku - react shutuma za John Heche, Dr Slaa akajibu kuwa, hajaeleweka na watu wanapotosha kwa makusudi na mantiki ya hoja yake kwa sababu hajasema kuwa CHADEMA wanajiteka, kujipoteza na kupigwa risasi kwa TL ni INSIDE JOB ya CHADEMA yenyewe..!

Dr Slaa, akarejea tena kwenye tukio la M/Kiti wake wa CHADEMA (W) kutekwa. Akasema yeye kama GS kisheria siyo jukumu lake kushughulikia jinai kama ile. Anasema, yeye alipopata taarifa hiyo kazi yake ilikuwa ni kuipeleka polisi na ndivyo alivyofanya..

Anaendelea kusema kuwa hadi leo, hajui uchunguzi wa polisi kwa tukio hilo uliishia wapi kwa sababu mpaka anatoka ofisini, hakuwahi kuitwa polisi wala kuitwa kuwa shahidi ktk mahakama yoyote kwa kesi hiyo...!!

MAONI YANGU:

Baada ya kauli hii ya jana ya Dr Slaa, kidogo mimi ilinifungua macho na ufahamu wangu. Nikaanza kumwelewa Dr Slaa. Kumbe ni kweli kabisa kuwa hakuwa na maana ya CHADEMA huwa wanajiteka, kujipoteza wenyewe na kwamba, ndiyo walimpiga risasi TL mwaka 2017..!

KUMBE TUSEMEJE SASA..?

✓ Hii ni vita ya kisiasa ya siku zote kati ya CCM na CHADEMA..

✓ Bahati mbaya sana, baadhi ya maafisa wa UWT na Polisi wamekubali kuzichafua taasisi hizi muhimu kwa amani na utulivu wa taifa hili kwa kushiriki ktk michezo hii michafu ya kisiasa ya wanasiasa. Victim mkuu wa mchezo huu mchafu basically ni CHADEMA huku CCM ikidhani inanufaika..

✓ Hawa UWT na POLISI kwa kuagizwa na kutumwa na wanasiasa walio serikali, hutengeneza matukio ya kijinai kwa jina la CHADEMA ili ku - tarnish image ya chama hiki na baadaye waki - incriminate na kisha wapate sbb ya kukifuta. Tukio la juzi kati hapa la kesi ya M/Kiti wa CHADEMA Taifa ndg Freeman Mbowe iliyojifuta yenyewe kwa kukosekana ushahidi ni mfano halisi na rahisi kabisa wa kesi ya kutengenezwa na baadhi wa maafisa wa UWT na POLISI..

✓ Kwa sababu, hebu tujiulize swali hili la msingi, kwamba, kama hizi ni INSIDE JOB ya CHADEMA, ni sababu gani inayowafanya polisi wasiingie huko CHADEMA, wakachunguza na kuwatambua wahusika na kisha kuwapeleka kwenye vyombo vya sheria iwapo kweli hawa huwa wanajiteka, kujipoteza na ndiyo walihusika kumpiga mwenzao Tundu Lissu risasi mwaka 2017..?

✓ Kwanini tukio la M/Kiti wa CHADEMA (w) anayetolewa kama reference example na Dr Slaa ripoti yake kwa zaidi ya miaka 15 imefichwa, hazitolewi hadharani na polisi ili kuthibitisha kuwa CHADEMA walimteka na kumpiga mtu wao wenyewe?

✓ Je polisi, wanaiogopa CHADEMA? Je, CHADEMA hawachunguziki wala kukamatika?

KAMA MAMBO YAKO HIVI, TATIZO LIKO WAPI SASA..?

✓ Tusimung'unye maneno, "Pandora box ☑️ ", ndiyo inafunguliwa taratibu na akina Dr Slaa. Tatizo liko kwenye serikali kupitia idara za UWT na POLISI. Hawa, baadhi ya maafisa wake wanalipwa na wanasiasa wa chama tawala kuliharibu taifa hili kwa kushiriki siasa chafu za CCM...

✓ SAMAKI mmoja akioza, kikawaida uozo huo huambukizwa box au tenga lote la samaki wote huonekana wameoza. Idara za UWT na POLISI zimeoza na ni lazima mabadiliko ya kimfumo na kisheria ufanyike ili kulinusuru taifa hilikuishia kwenye machafuko...!

Sasa namwelewa Dr Slaa. Mfano wake ule, alikuwa anajaribu kutuonesha tatizo liko wapi..
Acha kubadirisha maneno- INSIDE JOB ni character ya CHABEMA
 
Back
Top Bottom