John Heche vs Dkt. Slaa: Je, ni kweli utekaji, kupotea kwa watu na kupigwa risasi Tundu Lissu Septemba, 2017 ni 'INSIDE JOB' ya CHADEMA wenyewe?

John Heche vs Dkt. Slaa: Je, ni kweli utekaji, kupotea kwa watu na kupigwa risasi Tundu Lissu Septemba, 2017 ni 'INSIDE JOB' ya CHADEMA wenyewe?

Mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kujadili swala la Lisu kupigwa risasi na kukihusisha chama chake.
Ukiona mtu anafanya hivyo basi jua huyo ni MPUMBAVU
Tuseme lisu zilipigwa risasi na wana Chadema wenzake sawa! Wamejificha wapi kwann mpaka leo hawajashitakiwa??
Yaani serikali inavyoichukia na kupambana na chadema kiasi hicho. Rejea issue ya kuitwa kwa PCCB wakina lijua likali mpaka mbowe kuitwa gaidi na wapuuzi wachache kushangili!
Kama serikali ingekuwa inajua kwamba hayo mambo yapo CHADEMA kama asemavyo slaa KINA.MBOWE WANGESHANYONGWA KITAMBO
Mjue Mungu yupo
 
Bro, kuna upofu wa chuki na uvyama umeharibu hili Taifa kwa kiwango cha kutisha. Nina uhakika watakaokusoma na kukuelewa ni wachache mno!

Katika hao wachache ni wale watakaosoma na kukuelewa ili wafanye spinning! Sijui tunatokaje kwenye hii situation!

Toka hizi kambi za vyama kujikita kutengeneza teams za mitandaoni hali ya mijadala ni mbaya kuliko hata mijadala ya vijiwe vya kahawa.

..maelezo ya Dr.Slaa kuhusu shambulizi dhidi ya Lissu hayajawahi kunyooka hata kidogo.

..Dr angekaa kimya tu kuliko kufanya spinning zinazofanana zile za vijana wa Lumumba katika jambo serious kama la Lissu.
 
huku ni kuchafua watu, nimeishi Sweden, kule hawali vitumbua, wanakula mikate tuu, kitendo cha kumsingizia mke wa Dr. Slaa, mama yetu Josephine Mushumbusi kuwa anafanya kazi ya kuuza vitumbua Sweden, ni kutaka kumchafua tuu, and soon tutasikia kuwa daktari kaanza tena kushindia mihogo!.
P
Mkuu Paskali wacha ibaki hivyo hivyo
 
Kumetokea malumbano makali kati ya John Heche [M/Kiti - CHADEMA - kanda ya Serengeti] na Dr W. P. Slaa [Former GS wa CHADEMA] huko club house moja usiku wa kuamkia leo..

Msingi wa malumbano ni hoja ya Dr Slaa aliyowahi kuiibua na kuripotiwa hapa kuhusu UTEKAJI, KUPOTEA KWA WATU na KUPIGWA RISASI 37 kwa Tundu Lissu Septemba, 2017..

Hoja ni kina nani wanahusika?

Dr. SLaa katika maelezo yake, kwa mbaaali [japo jana amekanusha na kudai ameeleweka vibaya] ameonesha kuwa hiyo yaweza kuwa ni INSIDE JOB ya CHADEMA wenyewe kuwa WANAJITEKA, WANAPOTEZA NA na KUJIPIGA RISASI wenyewe kwa wenyewe.

Kwa kujaribu kuthibitisha hili, Dr Slaa anatoa mfano wa M/Kiti wa CHADEMA (W) fulani miaka hiyo kutekwa na kupigwa kisha kutupwa porini akiwa mahututi na watekaji hao wanaamini kubwa amekufa..

Few hours later, victim huyo alipata fahamu na baadaye taarifa kumfukia GS Dr Slaa by then. Kwa maelezo ya Dr Slaa, kitambo kidogo baadaye mmoja wa walinzi wa chama chao [Red Brigade] alijitokeza mbele ya Dr Slaa na kukiri kuwa yeye ni mmoja waliohusika kumteka m/kiti huyo.

Sasa mpaka hapo ndipo John Heche, ame - react na kumpinga vikali Dr Slaa. Na akathubutu kumwita his former Party GS kuwa mwongo. Anamuona Dr Slaa ni kama mtu aliye kwenye confusion ya aina fulani hivi. Anauliza yeye kama GS ikawaje kwa miaka zaidi ya 15 sasa anyamazie jinai hiyo na kuisema leo..?

Kwa ku - react shutuma za John Heche, Dr Slaa akajibu kuwa, hajaeleweka na watu wanapotosha kwa makusudi na mantiki ya hoja yake kwa sababu hajasema kuwa CHADEMA wanajiteka, kujipoteza na kupigwa risasi kwa TL ni INSIDE JOB ya CHADEMA yenyewe..!

Dr Slaa, akarejea tena kwenye tukio la M/Kiti wake wa CHADEMA (W) kutekwa. Akasema yeye kama GS kisheria siyo jukumu lake kushughulikia jinai kama ile. Anasema, yeye alipopata taarifa hiyo kazi yake ilikuwa ni kuipeleka polisi na ndivyo alivyofanya..

Anaendelea kusema kuwa hadi leo, hajui uchunguzi wa polisi kwa tukio hilo uliishia wapi kwa sababu mpaka anatoka ofisini, hakuwahi kuitwa polisi wala kuitwa kuwa shahidi ktk mahakama yoyote kwa kesi hiyo...!!

MAONI YANGU:

Baada ya kauli hii ya jana ya Dr Slaa, kidogo mimi ilinifungua macho na ufahamu wangu. Nikaanza kumwelewa Dr Slaa. Kumbe ni kweli kabisa kuwa hakuwa na maana ya CHADEMA huwa wanajiteka, kujipoteza wenyewe na kwamba, ndiyo walimpiga risasi TL mwaka 2017..!

KUMBE TUSEMEJE SASA..?

✓ Hii ni vita ya kisiasa ya siku zote kati ya CCM na CHADEMA..

✓ Bahati mbaya sana, baadhi ya maafisa wa UWT na Polisi wamekubali kuzichafua taasisi hizi muhimu kwa amani na utulivu wa taifa hili kwa kushiriki ktk michezo hii michafu ya kisiasa ya wanasiasa. Victim mkuu wa mchezo huu mchafu basically ni CHADEMA huku CCM ikidhani inanufaika..

✓ Hawa UWT na POLISI kwa kuagizwa na kutumwa na wanasiasa walio serikali, hutengeneza matukio ya kijinai kwa jina la CHADEMA ili ku - tarnish image ya chama hiki na baadaye waki - incriminate na kisha wapate sbb ya kukifuta. Tukio la juzi kati hapa la kesi ya M/Kiti wa CHADEMA Taifa ndg Freeman Mbowe iliyojifuta yenyewe kwa kukosekana ushahidi ni mfano halisi na rahisi kabisa wa kesi ya kutengenezwa na baadhi wa maafisa wa UWT na POLISI..

✓ Kwa sababu, hebu tujiulize swali hili la msingi, kwamba, kama hizi ni INSIDE JOB ya CHADEMA, ni sababu gani inayowafanya polisi wasiingie huko CHADEMA, wakachunguza na kuwatambua wahusika na kisha kuwapeleka kwenye vyombo vya sheria iwapo kweli hawa huwa wanajiteka, kujipoteza na ndiyo walihusika kumpiga mwenzao Tundu Lissu risasi mwaka 2017..?

✓ Kwanini tukio la M/Kiti wa CHADEMA (w) anayetolewa kama reference example na Dr Slaa ripoti yake kwa zaidi ya miaka 15 imefichwa, hazitolewi hadharani na polisi ili kuthibitisha kuwa CHADEMA walimteka na kumpiga mtu wao wenyewe?

✓ Je polisi, wanaiogopa CHADEMA? Je, CHADEMA hawachunguziki wala kukamatika?

KAMA MAMBO YAKO HIVI, TATIZO LIKO WAPI SASA..?

✓ Tusimung'unye maneno, "Pandora box ☑️ ", ndiyo inafunguliwa taratibu na akina Dr Slaa. Tatizo liko kwenye serikali kupitia idara za UWT na POLISI. Hawa, baadhi ya maafisa wake wanalipwa na wanasiasa wa chama tawala kuliharibu taifa hili kwa kushiriki siasa chafu za CCM...

✓ SAMAKI mmoja akioza, kikawaida uozo huo huambukizwa box au tenga lote la samaki wote huonekana wameoza. Idara za UWT na POLISI zimeoza na ni lazima mabadiliko ya kimfumo na kisheria ufanyike ili kulinusuru taifa hilikuishia kwenye machafuko...!

Sasa namwelewa Dr Slaa. Mfano wake ule, alikuwa anajaribu kutuonesha tatizo liko wapi..
Dr huenda kupitia kwa wife wake KWA kujua au kutokujua alikuwa anaganga kaxi ya hujuma ndani ya CDM

Ha ile issue ya rudovic na rwakatare dr na mke wake walihusika
 
huku ni kuchafua watu, nimeishi Sweden, kule hawali vitumbua, wanakula mikate tuu, kitendo cha kumsingizia mke wa Dr. Slaa, mama yetu Josephine Mushumbusi kuwa anafanya kazi ya kuuza vitumbua Sweden, ni kutaka kumchafua tuu, and soon tutasikia kuwa daktari kaanza tena kushindia mihogo!.
P
We mnafiki sana ndio maana huteuliki wala huchaguliki ulishawahi kusema tal kajipiga risasi mwenyewe au dereva wake sasa badala ya kujibu Hiyo mada nzito hapo juu unazungumzia mihogo na demu wake shumbuzi in a jokingly way poor mayala utakufa na umaskini wako.
 
Bro, kuna upofu wa chuki na uvyama umeharibu hili Taifa kwa kiwango cha kutisha. Nina uhakika watakaokusoma na kukuelewa ni wachache mno!

Katika hao wachache ni wale watakaosoma na kukuelewa ili wafanye spinning! Sijui tunatokaje kwenye hii situation!

Toka hizi kambi za vyama kujikita kutengeneza teams za mitandaoni hali ya mijadala ni mbaya kuliko hata mijadala ya vijiwe vya kahawa.
Wewe dr kazingua eti katiba haileti chakula?? Eti katiba siyo kipaumbele??
Etichadema ndo walitaka kumuua lissu??
Eti CAG anapotosha??
Josephine kamuaharibu huyu mzee
 
Huyo Padre Slaa limbwata la kihaya "Inshumata" alilowekewa na Josephine Mushumbushi limemletea madhara hadi kwenye ubongo.

Muda siyo mrefu atapigwa strock nabndio utakuwa mwisho wake ili Josephine auze kitumbuwa chake kwa uhuru Sweden.
Hakuna kitu kinaitwa Nshumata! Sweden hakuna vitumbua, napajua mno na hakuna nhicho wasema Bora ungesema anauza mikate ilo okwa ningekubaliana na wewe!

Tuje kwenye hoja kuna mambo mengi nyuma ya mambo anachosema Dr slaa na kwakuwa wengi hapa mpo kiushabiki you won’t understand me until it is your turn !!

Unajua ya Chacha!! ? Ya Baregu walichokuwa wamepanga dhidi yake na Kitila?

Anyway ya CHADEMA hayanihusu ila I was crosschecking facts ….


SIKU UKIJUA KWANINI DEREVA AKUTAKA KUJITOKEZA NDO UTAELEWA

Britanicca
 
Dr Slaa ana akili sana na anajua anacho kifanya. Katika hayo aliyosema kwenye mjadala ujumbe mkuu ulikuwa unapelekwa kwa TL kwamba mpaka leo USA pamoja na maendeleo makubwa ya technologia na demokrasia kifo cha Kennedy ni kitendawili kisicho pata jibu la moja kwa moja. Hivyo hivyo kwa Sweden na Waziri mkuu wake. TL na waina yake mmeambiwa kiutuuzima mtahangaika sana lakini mtaambulia patupu.

Mimi na mwambia TL achukue muda wake kujiuliza kwa nini Mungu alimuacha aishi hadi hii leo ana kusudi gani na yeye? Pili wale ambao kwa kauli zake na viongozi wa CDM walishawishika kupambana na vyombo vya dola na wakaingia kwenye madhila mbalimbali ikiwemo kufa. Je haki yao itapotea hivi hivi mbele ya TL na viongozi wengine wa CDM? Kwamba Mungu atakaa kimya hatachukua hatua ya kuwalipia kutokana na ulaghai wa viongozi wa CDM? Kusema kweli alishanza kufanya hivyo. Mungu amewalipia na ataendelea kuwalipia kwani TL na viongozi wenzake wakijua fika katika agenda zao ipo pia ya ujasiria siasa ndio ile mfano mmoja wapo ni kubadili gia angani.

Lakini kwa kutumia akili za kawaida tu kuna tofauti yeyote kati ya huyo kiongozi wa redibrigedi aliyetoa ushuhuda kwa Dr Slaa kuongoza utekaji na dereva wa TL aliye enda kuegesha gari liwe target ya washambuliaji akamucha TL ndani ya gari wakati yeye kashuka na kujificha chini ya uvungu wa gari na risasi hata moja kati ya more than 30 rounds is kosee njia na kulenga chini kwenye uvungu wa gari?
Utumbo Gani huu??
 
Pangueni hoja zake!

Kwanini hamtaki kujibu hoja zake badala yake mnashambulia maisha yake binfsi
Slaa aliondoka chadema, chadema hawajawahi kumfuatilia success zake huko ccm alikokwenda. inashangaza anaishambulia chadema ilhali wenye ccm wenyewe wanajua hiyo era imeshapita.
 
We mnafiki sana ndio maana huteuliki wala huchaguliki ulishawahi kusema tal kajipiga risasi mwenyewe au dereva wake sasa badala ya kujibu Hiyo mada nzito hapo juu unazungumzia mihogo na demu wake shumbuzi in a jokingly way poor mayala utakufa na umaskini wako.
Umeumizwa na ukweli kuwa j ame u turn anauza vitumbua na mikate,

Unataka pasco anipendekeze Ili speed vyeo??
 
Hakuna kitu kinaitwa Nshumata! Sweden hakuna vitumbua, napajua mno na hakuna nhicho wasema Bora ungesema anauza mikate ilo okwa ningekubaliana na wewe!

Tuje kwenye hoja kuna mambo mengi nyuma ya mambo anachosema Dr slaa na kwakuwa wengi hapa mpo kiushabiki you won’t understand me until it is your turn !!

Unajua ya Chacha!! ? Ya Baregu walichokuwa wamepanga dhidi yake na Kitila?

Anyway ya CHADEMA hayanihusu ila I was crosschecking facts ….


SIKU UKIJUA KWANINI DEREVA AKUTAKA KUJITOKEZA NDO UTAELEWA

Britanicca
Vipi waliomyima lisu matibabu ni dereva au chadema?
 
Kumetokea malumbano makali kati ya John Heche [M/Kiti - CHADEMA - kanda ya Serengeti] na Dr W. P. Slaa [Former GS wa CHADEMA] huko club house moja usiku wa kuamkia leo..

Msingi wa malumbano ni hoja ya Dr Slaa aliyowahi kuiibua na kuripotiwa hapa kuhusu UTEKAJI, KUPOTEA KWA WATU na KUPIGWA RISASI 37 kwa Tundu Lissu Septemba, 2017..

Hoja ni kina nani wanahusika?

Dr. SLaa katika maelezo yake, kwa mbaaali [japo jana amekanusha na kudai ameeleweka vibaya] ameonesha kuwa hiyo yaweza kuwa ni INSIDE JOB ya CHADEMA wenyewe kuwa WANAJITEKA, WANAPOTEZA NA na KUJIPIGA RISASI wenyewe kwa wenyewe.

Kwa kujaribu kuthibitisha hili, Dr Slaa anatoa mfano wa M/Kiti wa CHADEMA (W) fulani miaka hiyo kutekwa na kupigwa kisha kutupwa porini akiwa mahututi na watekaji hao wanaamini kubwa amekufa..

Few hours later, victim huyo alipata fahamu na baadaye taarifa kumfukia GS Dr Slaa by then. Kwa maelezo ya Dr Slaa, kitambo kidogo baadaye mmoja wa walinzi wa chama chao [Red Brigade] alijitokeza mbele ya Dr Slaa na kukiri kuwa yeye ni mmoja waliohusika kumteka m/kiti huyo.

Sasa mpaka hapo ndipo John Heche, ame - react na kumpinga vikali Dr Slaa. Na akathubutu kumwita his former Party GS kuwa mwongo. Anamuona Dr Slaa ni kama mtu aliye kwenye confusion ya aina fulani hivi. Anauliza yeye kama GS ikawaje kwa miaka zaidi ya 15 sasa anyamazie jinai hiyo na kuisema leo..?

Kwa ku - react shutuma za John Heche, Dr Slaa akajibu kuwa, hajaeleweka na watu wanapotosha kwa makusudi na mantiki ya hoja yake kwa sababu hajasema kuwa CHADEMA wanajiteka, kujipoteza na kupigwa risasi kwa TL ni INSIDE JOB ya CHADEMA yenyewe..!

Dr Slaa, akarejea tena kwenye tukio la M/Kiti wake wa CHADEMA (W) kutekwa. Akasema yeye kama GS kisheria siyo jukumu lake kushughulikia jinai kama ile. Anasema, yeye alipopata taarifa hiyo kazi yake ilikuwa ni kuipeleka polisi na ndivyo alivyofanya..

Anaendelea kusema kuwa hadi leo, hajui uchunguzi wa polisi kwa tukio hilo uliishia wapi kwa sababu mpaka anatoka ofisini, hakuwahi kuitwa polisi wala kuitwa kuwa shahidi ktk mahakama yoyote kwa kesi hiyo...!!

MAONI YANGU:

Baada ya kauli hii ya jana ya Dr Slaa, kidogo mimi ilinifungua macho na ufahamu wangu. Nikaanza kumwelewa Dr Slaa. Kumbe ni kweli kabisa kuwa hakuwa na maana ya CHADEMA huwa wanajiteka, kujipoteza wenyewe na kwamba, ndiyo walimpiga risasi TL mwaka 2017..!

KUMBE TUSEMEJE SASA..?

✓ Hii ni vita ya kisiasa ya siku zote kati ya CCM na CHADEMA..

✓ Bahati mbaya sana, baadhi ya maafisa wa UWT na Polisi wamekubali kuzichafua taasisi hizi muhimu kwa amani na utulivu wa taifa hili kwa kushiriki ktk michezo hii michafu ya kisiasa ya wanasiasa. Victim mkuu wa mchezo huu mchafu basically ni CHADEMA huku CCM ikidhani inanufaika..

✓ Hawa UWT na POLISI kwa kuagizwa na kutumwa na wanasiasa walio serikali, hutengeneza matukio ya kijinai kwa jina la CHADEMA ili ku - tarnish image ya chama hiki na baadaye waki - incriminate na kisha wapate sbb ya kukifuta. Tukio la juzi kati hapa la kesi ya M/Kiti wa CHADEMA Taifa ndg Freeman Mbowe iliyojifuta yenyewe kwa kukosekana ushahidi ni mfano halisi na rahisi kabisa wa kesi ya kutengenezwa na baadhi wa maafisa wa UWT na POLISI..

✓ Kwa sababu, hebu tujiulize swali hili la msingi, kwamba, kama hizi ni INSIDE JOB ya CHADEMA, ni sababu gani inayowafanya polisi wasiingie huko CHADEMA, wakachunguza na kuwatambua wahusika na kisha kuwapeleka kwenye vyombo vya sheria iwapo kweli hawa huwa wanajiteka, kujipoteza na ndiyo walihusika kumpiga mwenzao Tundu Lissu risasi mwaka 2017..?

✓ Kwanini tukio la M/Kiti wa CHADEMA (w) anayetolewa kama reference example na Dr Slaa ripoti yake kwa zaidi ya miaka 15 imefichwa, hazitolewi hadharani na polisi ili kuthibitisha kuwa CHADEMA walimteka na kumpiga mtu wao wenyewe?

✓ Je polisi, wanaiogopa CHADEMA? Je, CHADEMA hawachunguziki wala kukamatika?

KAMA MAMBO YAKO HIVI, TATIZO LIKO WAPI SASA..?

✓ Tusimung'unye maneno, "Pandora box ☑️ ", ndiyo inafunguliwa taratibu na akina Dr Slaa. Tatizo liko kwenye serikali kupitia idara za UWT na POLISI. Hawa, baadhi ya maafisa wake wanalipwa na wanasiasa wa chama tawala kuliharibu taifa hili kwa kushiriki siasa chafu za CCM...

✓ SAMAKI mmoja akioza, kikawaida uozo huo huambukizwa box au tenga lote la samaki wote huonekana wameoza. Idara za UWT na POLISI zimeoza na ni lazima mabadiliko ya kimfumo na kisheria ufanyike ili kulinusuru taifa hilikuishia kwenye machafuko...!

Sasa namwelewa Dr Slaa. Mfano wake ule, alikuwa anajaribu kutuonesha tatizo liko wapi..
Yaani mnataka kutuambia Chadema ina idara yenye uwezo wa kuendesha intelijensia operations za kuteka watu na kuisingizia serikali harafu serikali inashindwa kutambua hili,kwa vile intelijensia ya Chadema na mashushu wake wamebobea sana!!jamani sie ni watu wazima kuambiana huu utumbo ni matusi makubwa,
Hizi story tunaita "disinformation "zinaendeshwa na idara za usalama za Taifa.
 
Yaezekana na vyombo vya ulinz wanashirikiana na CHADEMA juu ya uhalifu huo?

Kama ni hivyo kwann wasikamatwe hao wahalifu wa CHADEMA?

Yes, niliuliza swali hili. Kuna tatizo kwani? Na mbona hujibu, badala yake unalileta hapa kama lilivyo?
leo..

Msingi wa malumbano ni hoja ya Dr Slaa aliyowahi kuiibua na kuripotiwa hapa kuhusu UTEKAJI, KUPOTEA KWA WATU na KUPIGWA RISASI 37 kwa Tundu Lissu Septemba, 2017..

Hoja ni kina nani wanahusika?

Dr. SLaa ktk maelezo yake, kwa mbaaali [japo jana amekanusha na kudai ameeleweka vibaya] ameonesha kuwa hiyo yaweza kuwa ni INSIDE JOB ya CHADEMA wenyewe kuwa WANAJITEKA, WANAPOTEZA NA na KUJIPIGA RISASI wenyewe kwa wenyewe..!!

Kwa kujaribu kuthibitisha hili, Dr Slaa anatoa mfano wa M/Kiti wa CHADEMA (W) fulani miaka hiyo kutekwa na kupigwa kisha kutupwa porini akiwa mahututi na watekaji hao wanaamini kubwa amekufa..

Few hours later, victim huyo alipata fahamu na baadaye taarifa kumfukia GS Dr Slaa by then. Kwa maelezo ya Dr Slaa, kitambo kidogo baadaye mmoja wa walinzi wa chama chao [Red Brigade] alijitokeza mbele ya Dr Slaa na kukiri kuwa yeye ni mmoja waliohusika kumteka m/kiti huyo..!

Sasa mpaka hapo ndipo John Heche, ame - react na kumpinga vikali Dr Slaa. Na akathubutu kumwita his former Party GS kuwa mwongo. Anamuona Dr Slaa ni kama mtu aliye kwenye confusion ya aina fulani hivi. Anauliza yeye kama GS ikawaje kwa miaka zaidi ya 15 sasa anyamazie jinai hiyo na kuisema leo..?

Kwa ku - react shutuma za John Heche, Dr Slaa akajibu kuwa, hajaeleweka na watu wanapotosha kwa makusudi na mantiki ya hoja yake kwa sababu hajasema kuwa CHADEMA wanajiteka, kujipoteza na kupigwa risasi kwa TL ni INSIDE JOB ya CHADEMA yenyewe..!

Dr Slaa, akarejea tena kwenye tukio la M/Kiti wake wa CHADEMA (W) kutekwa. Akasema yeye kama GS kisheria siyo jukumu lake kushughulikia jinai kama ile. Anasema, yeye alipopata taarifa hiyo kazi yake ilikuwa ni kuipeleka polisi na ndivyo alivyofanya..

Anaendelea kusema kuwa hadi leo, hajui uchunguzi wa polisi kwa tukio hilo uliishia wapi kwa sababu mpaka anatoka ofisini, hakuwahi kuitwa polisi wala kuitwa kuwa shahidi ktk mahakama yoyote kwa kesi hiyo...!!

MAONI YANGU:

Baada ya kauli hii ya jana ya Dr Slaa, kidogo mimi ilinifungua macho na ufahamu wangu. Nikaanza kumwelewa Dr Slaa. Kumbe ni kweli kabisa kuwa hakuwa na maana ya CHADEMA huwa wanajiteka, kujipoteza wenyewe na kwamba, ndiyo walimpiga risasi TL mwaka 2017..!

KUMBE TUSEMEJE SASA..?

✓ Hii ni vita ya kisiasa ya siku zote kati ya CCM na CHADEMA..

✓ Bahati mbaya sana, baadhi ya maafisa wa UWT na Polisi wamekubali kuzichafua taasisi hizi muhimu kwa amani na utulivu wa taifa hili kwa kushiriki ktk michezo hii michafu ya kisiasa ya wanasiasa. Victim mkuu wa mchezo huu mchafu basically ni CHADEMA huku CCM ikidhani inanufaika..

✓ Hawa UWT na POLISI kwa kuagizwa na kutumwa na wanasiasa walio serikali, hutengeneza matukio ya kijinai kwa jina la CHADEMA ili ku - tarnish image ya chama hiki na baadaye waki - incriminate na kisha wapate sbb ya kukifuta. Tukio la juzi kati hapa la kesi ya M/Kiti wa CHADEMA Taifa ndg Freeman Mbowe iliyojifuta yenyewe kwa kukosekana ushahidi ni mfano halisi na rahisi kabisa wa kesi ya kutengenezwa na baadhi wa maafisa wa UWT na POLISI..

✓ Kwa sababu, hebu tujiulize swali hili la msingi, kwamba, kama hizi ni INSIDE JOB ya CHADEMA, ni sababu gani inayowafanya polisi wasiingie huko CHADEMA, wakachunguza na kuwatambua wahusika na kisha kuwapeleka kwenye vyombo vya sheria iwapo kweli hawa huwa wanajiteka, kujipoteza na ndiyo walihusika kumpiga mwenzao Tundu Lissu risasi mwaka 2017..?

✓ Kwanini tukio la Nadhani NCHI yetu inataratib zake na Jeshi la polisi lina taratibu zake, hivyo ni vyema slaa akaenda toa taarifa polisi na uzuri ni kwamba yeye pia atakua shahidi!!

Logic ni ile ile kama ilivyo ktk swali hapo juu..

Na ofcoz, kwa hili, culprits kwa maana ya UWT na TanPol wamewekwa wazi na Dr Slaa maana ndo aliingia huko serikalini na ametoka. Ni wazi kaona mengi na taratibu anafungua Pandora ☑️
 
Yaani mnataka kutuambia Chadema ina idara yenye uwezo wa kuendesha intelijensia operations za kuteka watu na kuisingizia serikali harafu serikali inashindwa kutambua hili
Polisi wajibu swali lako. Kwanini wanashindwa kufanyia uchunguzi matukio ya kijinai yanayoripotiwa kwao especially mwathirika anapokuwa ni mwanachama au mfuasi wa CHADEMA. Rejea kesi ya Tundu Lissu kupigwa risasi na sasa hii current kabisa ya m/kiti CHADEMA (w) iliyoripotiwa na Dr Slaa 15yrs ago. Mpaka leo, hakuna uchunguzi..!
kwa vile intelijensia ya Chadema na mashushu wake wamebobea sana!!jamani sie ni watu wazima kuambiana huu utumbo ni matusi makubwa,

Ni "utumbo" kwako, lakini hadithi ya Dr Slaa inafikirisha sana na kulimulika Jeshi la Polisi na Idara ya UWT kama wako serious kweli na kazi yao..
Hizi story tunaita "disinformation "zinaendeshwa na idara za usalama za Taifa.
Hii ndiyo mantiki ya hoja yangu katika mada hizi..!

Sasa kama unaamini hili, unabishia nini toka kilichowasilishwa ktk mada hii?
 
Mkuu sipingi utetezi wako, Dr. Slaa aliongea lugha tunayoifahamu wote, na uwezo wa kuelewa pia tunao. Kama ni kukanusha alichoongea au kueleweka vibaya anasawazisha tu baada ya kuona hoja yake imezua hasira kwa upande wa pili. Na ww sio kwamba umemuelewa vizuri alichokuwa anamaanisha, bali unajaribu kupunguza hasira iliyopo dhidi yake.
Inawezekana lakini mimi ndivyo nilivyomwelewa. Na hupaswi kunipinga kwa lolote kwa sababu mimi nime narrate kilichojiri na kuweka mtazamo wangu..

Na wewe unaweza kueleza kwa kadiri ulivyowelewa na kuweka mtazamo wako..
 
..maelezo ya Dr.Slaa kuhusu shambulizi dhidi ya Lissu hayajawahi kunyooka hata kidogo.

..Dr angekaa kimya tu kuliko kufanya spinning zinazofanana zile za vijana wa Lumumba katika jambo serious kama la Lissu.
Hapana tumwache aendelee kusema na kupitia huko kusema, atajikwaa tu na kufunua mambo..

Kwa kesi hii, ameshambuliwa kidogo mwisho wake mwenyewe karudi na kunyoosha maelezo na kusema;

"..... ooh!, mmenielewa vibaya. Sikuwa na maana hiyo..."

Bahati nzuri, ktk mjadala huo Dr Kitila Mkumbo alikuwepo na yeye na John Heche kwa pamoja walimfanya Dr Slaa arekebishe kauli yake..!
 
Back
Top Bottom