John Heche vs Dkt. Slaa: Je, ni kweli utekaji, kupotea kwa watu na kupigwa risasi Tundu Lissu Septemba, 2017 ni 'INSIDE JOB' ya CHADEMA wenyewe?

John Heche vs Dkt. Slaa: Je, ni kweli utekaji, kupotea kwa watu na kupigwa risasi Tundu Lissu Septemba, 2017 ni 'INSIDE JOB' ya CHADEMA wenyewe?

Bro, kuna upofu wa chuki na uvyama umeharibu hili Taifa kwa kiwango cha kutisha. Nina uhakika watakaokusoma na kukuelewa ni wachache mno!

Katika hao wachache ni wale watakaosoma na kukuelewa ili wafanye spinning! Sijui tunatokaje kwenye hii situation!

Toka hizi kambi za vyama kujikita kutengeneza teams za mitandaoni hali ya mijadala ni mbaya kuliko hata mijadala ya vijiwe vya kahawa.
Hakika..

Kiini cha haya yote, ni vita ya kisiasa ya vyama vikuu viwili CHADEMA vs CCM..

Kutengeneza team za kivyama mitandaoni kwangu mimi is 🚫 not a problem..

Nilicho na uhakika nacho ni kimoja, kwamba, timu isiyo na hoja itajifia yenyewe maana itakosa wafuatiliaji..

Timu za ki CCM siku zote huwa hazifiki popote maana hawana jipya la kutuambia..!!
 
Huyu mzee atafika mbinguni amechoka Sana, huwezi leta mzaa kwenye maisha ya watu/ watz ukabaki salama Mungu yupo ,
Swali
Kama Slaa anajua Chadema hupoteza watu wake au Wanachama wake toka mwanzo vipi asubili mgongano ndani ya Chama na kukimbia na kupewa ubalozi?

Asipokua makini Dunia itamuumbua, mfano uyo Slaa anafikilia umri alionao ataweza kuzidisha Mara mbili chini ya uso wa dunia?
Jibu
Anaweza ila mifano ipo wazi ,ni KWa wachache tu,kufa ni lazima na haikwepeki

Slaa namfutia utukufu wake anaodhani anao kupitia Mungu wake anaemwabudu na imekua
Labda ni sehemu ya makubaliano yao mara alipoamua kuingia serikali kushirikiana na watesaji, kuwa, afanye kila awezalo kuharibu image ya CHADEMA..

Lakini lililo la uhakika ni hili, ameshindwa na atashindwa spectacularly. Kama CHADEMA imeshindwa kuangushwa na "kesi ya ugaidi wa Mbowe", what else will make this party fall 👎👎👎?

Absolutely, NOTHING...!
 
Mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kujadili swala la Lisu kupigwa risasi na kukihusisha chama chake.
Ukiona mtu anafanya hivyo basi jua huyo ni MPUMBAVU
Tuseme lisu zilipigwa risasi na wana Chadema wenzake sawa! Wamejificha wapi kwann mpaka leo hawajashitakiwa??

Hili swali CCM na polisi hawajiulizi..

Kwa kauli za Polisi na serikali kwa ujumla, ni kana kwamba, CHADEMA haichunguziki. Yaani polisi wamebaki wakibweka tu kama mbwa 🐶🐶 koko wakifuatisha kila propaganda za CCM na kuzigeuza kuwa ndiyo kauli ya kipolisi..!
Yaani serikali inavyoichukia na kupambana na chadema kiasi hicho. Rejea issue ya kuitwa kwa PCCB wakina lijua likali mpaka mbowe kuitwa gaidi na wapuuzi wachache kushangili!
Kama serikali ingekuwa inajua kwamba hayo mambo yapo CHADEMA kama asemavyo slaa KINA.MBOWE WANGESHANYONGWA KITAMBO
Absolutely, Yes...

But, the good thing is that, their stupid games is well known to all great thinkers. People can't be easily wiped away by their cheap propaganda..!
 
Babu anajichanganya au hawezi kufikiri kama zamani. Umri.

Kama kweli kuna mtu alitekwa (inside job) na akatoa taarifa police na issue haikufanyiwa kazi mpaka leo.... Hapo yeye hawezi kufanya mahesabu yake na kupata majibu....!!?

Kama hayo anayoyasema ni kweli mbona hakuyapeleka kwenye vikao vya chama kujua ukweli. Kwa nini alianini hiyo story ya mtu moja?

Kama anavyodai ni ya kweli kwa nini mtekwaji aliamua kukaa kimya wakati akijua hayuko salama ndani ya Chadema. Kukaa kimya au kutoa ripoti police kipi kilikuwa salama kwake!?

Slaa asituletee story za vijiweni. Anajidhalilisha.
Hakika..

Kiuhalisia na kimsingi, Dr Slaa hana hoja. Hajafanikiwa na hatafanikisha lengo lake na waliomtuma..

Na kiukweli, hapa anajaribu kuwaanika na kuanika udhaifu wa waliomtuma huku yeye akifikiri otherwise..

Haingii akilini kwa sababu, kama kwa miaka 15 au zaidi aliripoti tukio polisi lakini polisi wakanyanazia, maana yake nini..?

Maana yake ni moja tu, kuwa; "...we Dr Slaa vipi? Kwanini ulete kesi hii kwetu? Sisi kwa maelekezo ya "bwana zetu" ndiyo engeneers wa mpango mzima. Hatuwezi kujichunguza wenyewe..!!!!"

Ndiyo maana mpaka leo polisi kimyaaa...

Tukio hili ni similar na la Tundu Lissu, mpaka leo hii, polisi kimyaaa kwa sababu wao na mabwana zao NDIYO WAHUSIKA wa mpango mzima...!!
 
Babu anajichanganya au hawezi kufikiri kama zamani. Umri.

Kama kweli kuna mtu alitekwa (inside job) na akatoa taarifa police na issue haikufanyiwa kazi mpaka leo.... Hapo yeye hawezi kufanya mahesabu yake na kupata majibu....!!?

Kama hayo anayoyasema ni kweli mbona hakuyapeleka kwenye vikao vya chama kujua ukweli. Kwa nini alianini hiyo story ya mtu moja?

Kama anavyodai ni ya kweli kwa nini mtekwaji aliamua kukaa kimya wakati akijua hayuko salama ndani ya Chadema. Kukaa kimya au kutoa ripoti police kipi kilikuwa salama kwake!?

Slaa asituletee story za vijiweni. Anajidhalilisha.
Hakika..

Kiuhalisia na kimsingi, Dr Slaa hana hoja. Hajafanikiwa na hatafanikisha lengo lake na waliomtuma..

Na kiukweli, hapa anajaribu kuwaanika na kuanika udhaifu wa waliomtuma huku yeye akifikiri otherwise..

Haingii akilini kwa sababu, kama kwa miaka 15 au zaidi aliripoti tukio polisi lakini polisi wakanyanazia, maana yake nini..?

Maana yake ni moja tu, kuwa; "...we Dr Slaa vipi? Kwanini ulete kesi hii kwetu? Sisi ndiyo engeneers wa mpango mzima...!!!!"

Ndiyo maana mpaka leo polisi kimyaaa..

Cha ajabu na kwa ujasiri kabisa, Dr Slaa anatoka na kubwabwaja mitandaoni kana kwamba wanaosikiliza hawana akili wala ufahamu...!

Tukio hili ni similar na la Tundu Lissu, mpaka leo hii, polisi kimyaaa kwa sababu wao na mabwana zao NDIYO WAHUSIKA wa mpango mzima...
 
Makada waliotoka CHADEMA walishathibitisha humu humu JF umafia wa CHADEMA. Angalia sifa na kariba ya viongozi wakuu CHADEMA; Lema, Msigwa, Heche, Sugu, Halima Mdee enzi hizo; Alafu unashangaa nini ukiambiwa maovu wanayofanya?
Sasa utaona BAVICHA wataanzisha kampeni maalumu ya kumchafua Slaa kama wanavyofanya kwa Magufuli. Utaona visredi visivyo na idadi na kwenye makundi ya WhatsApp watakavyokuwa busy kumchafua!
.......cha ajabu, POLISI wenu walishashindwa kuuona umafia wa hao watu!

.......cha ajabu POLISI wenu walishashindwa kuyaona hayo "maovu" yanayofanywa na hao mafia wa CHADEMA!

....kuna kila kila ishara kuwa ufahamu na uelewa wako wa kuchakata mambo ni mdogo sana kiasi cha kulingana na ule wa panya..!

...pole sana!
 
Labda ni sehemu ya makubaliano yao mara alipoamua kuingia serikali kushirikiana na watesaji, kuwa, afanye kila awezalo kuharibu image ya CHADEMA..

Lakini lililo la uhakika ni hili, ameshindwa na atashindwa spectacularly. Kama CHADEMA imeshindwa kuangushwa na "kesi ya ugaidi wa Mbowe", what else will make this party fall 👎👎👎?

Absolutely, NOTHING...!
Umeongea vizuri sana mkuu, huyu mzee lipo Jambo alikua ameandaliwa kuja fanya Mbowe akiwa ndani, ila Ndo ivyo upepo umeisha geuka

Anajifanya ana misimamo ,Kama kweli ndio misimamo yake mbona ataki sema dili lake kuanzia TOKA nchini mpaka kua BALOZI ilokuaje ,
Huyu wa kuzalau Sana Hana lolote ,na Kama alisaliti kanisa lake katoriki vipi ashindwe wasaliti watanzania wenzake ?

Yani miaka inaenda alafu eti anajifanya miaka imesimama
 
Tatizo analazimisha nguvu ya ushawishi aliokua nayo miaka flan ambayo imeyeyuka Kama balafu, amekua debe yup Sasa ,huwezi ongea ujinga KWa fikra kwamba watz ni wajinga , SLAA sio mda atajua hajui,ufalme wa Mungu wake umekataliwa ,very shame
Amelaaniwa toka amefika toka Sweden hajawahi kufika kwao Karatu
 
huku ni kuchafua watu, nimeishi Sweden, kule hawali vitumbua, wanakula mikate tuu, kitendo cha kumsingizia mke wa Dr. Slaa, mama yetu Josephine Mushumbusi kuwa anafanya kazi ya kuuza vitumbua Sweden, ni kutaka kumchafua tuu, and soon tutasikia kuwa daktari kaanza tena kushindia mihogo!.
P
Kaka Pascal, neno VITUMBUA umeliona wapi kwa uliyemnukuu bhana? Kasema KITUMBUA bwn, sio VITUMBUA; hu mtindo wa kulishana maneno sio mzuri. Joke
 
Ni malumbano makali kati ya John Heche [M/Kiti - CHADEMA - kanda ya Serengeti] na Dr W. P. Slaa [Former GS wa CHADEMA] huko club house moja usiku wa kuamkia leo Alhamisi trh 28/4/2022..

Msingi wa malumbano hayo ni hoja ya Dr Slaa aliyowahi kuiibua na kuripotiwa hapa hapa JF kuhusu UTEKAJI, KUPOTEA KWA WATU na KUPIGWA RISASI 37 kwa Tundu Lissu Septemba, 2017..

Hoja inayoleta majadala ni kina nani wanahusika na jinai hii ya kupoteza na kuua watu kwa style mbalimbali? Na ni kina nani hasa walihusika na jaribio la kuuwawa kwa risasi Tundu Lissu mwaka 2017? Nini wajibu wa polisi? Kwanini haya yanatokea nao wakiwepo tu?

Dr. SLaa katika maelezo yake, kwa mbaaali [japo jana amekanusha na kudai alieleweka vibaya] ameonesha kuwa hiyo yaweza kuwa ni INSIDE JOB ya CHADEMA, kwamba ni wenyewe WANAJITEKA, KUPOTEZANA na KUJIPIGA RISASI wenyewe kwa wenyewe. Na obviously, ndiyo walimpiga risasi Tundu Lissu mwaka 2017..!

Kuthibitisha hili, Dr Slaa anatoa mfano wa M/Kiti wa CHADEMA (w) fulani miaka hiyo, kwamba, alitekwa na kupigwa kisha kutupwa porini akiwa mahututi na watekaji hao wakaamini kuwa amekufa..

Lakini few hours later, victim huyo alipata fahamu na baadaye taarifa kumfikia yeye Dr Slaa by then akiwa ndiye GS..

Kwa maelezo ya Dr Slaa kwa niaba ya chama, alitoka public na kulaani tukio hilo. Lakini kitambo kidogo baadaye mmoja wa walinzi wa chama chao [Red Brigade] alimwendea Dr Slaa na kukiri kuwa yeye ni mmoja waliohusika kumteka m/kiti huyo..!!

Sasa mpaka hapo ndipo John Heche, aka - react na kumpinga vikali Dr Slaa. Heche akamwita his former Party GS kuwa huo ni uongo na anamuona Dr Slaa ni kama mtu aliye kwenye confusion ya aina fulani hivi..

Heche akamuuliza Dr Slaa, kuwa, kama ni kweli, yeye akiwa kama GS wa chama by then, ikawaje kwa miaka zaidi ya 15 sasa anyamazie jinai hiyo na kuisema leo..?

Dr Slaa akajibu tuhuma hizo za Heche kwa kusema, ni wazi kuwa hajaeleweka na watu wanapotosha kwa makusudi mantiki ya hoja yake kwa sababu hajasema kuwa CHADEMA wanajiteka, kujipoteza. Na hajasema kuwa, kupigwa risasi kwa Tundu Lissu ni INSIDE JOB ya CHADEMA yenyewe..!

Dr Slaa, akarejea tena kwenye tukio la M/Kiti wake wa CHADEMA (W) kutekwa. Akasema yeye kama GS kisheria siyo jukumu lake kushughulikia jinai kama ile. Anasema, yeye alipopata taarifa hiyo kazi yake ilikuwa ni kuipeleka polisi na ndivyo alivyofanya..

Dr Slaa akaendelea kujitetea kwa kusema kuwa hadi leo, hajui uchunguzi wa polisi kuhusu tukio hilo uliishia wapi kwa sababu mpaka anatoka CHADEMA, hakuwahi kuitwa polisi wala kuitwa kuwa shahidi ktk mahakama yoyote kwa kesi hiyo...!!

MAONI YANGU:

Baada ya kauli hii ya jana ya Dr Slaa, kidogo mimi ilinifungua macho na ufahamu wangu. Nikaanza kumwelewa Dr Slaa. Kumbe ni kweli kabisa kuwa hakuwa na maana ya CHADEMA huwa wanajiteka, kujipoteza wenyewe na kwamba, ndiyo walimpiga risasi TL mwaka 2017..!

Ni wazi kuwa kumbe Dr Slaa alikuwa anatufungua ufahamu na akili zetu ili kujua tatizo la haya mambo liko wapi. Kwamba, kiini cha tatizo la kupotea, kutekwa watu liko ndani ya serikali kupitia TANPOL na UWT wakichezeshwa mchezo mchafu wa kisiasa na wanasiasa watawala wa CCM kwa maslahi ya kisiasa..!!

KUMBE TUSEMEJE SASA..?

✓ Hii ni vita ya kisiasa ya siku zote kati ya CCM na CHADEMA..

✓ Bahati mbaya sana, baadhi ya maafisa wa UWT na Polisi wamekubali kuzichafua taasisi hizi muhimu kwa gharama ya amani na utulivu wa taifa hili kwa kushiriki ktk michezo hii michafu ya kisiasa ya wanasiasa. Victim mkuu wa mchezo huu mchafu basically ni CHADEMA huku CCM ikidhani inanufaika..

✓ Hawa UWT na POLISI kwa kuagizwa na kutumwa na wanasiasa walio serikalini, hutengeneza matukio ya kijinai kwa jina la CHADEMA ili ku - tarnish image ya chama hiki na baadaye waki - incriminate na kisha wapate sbb ya kukifuta. Tukio la juzi kati hapa la kesi ya M/Kiti wa CHADEMA Taifa ndg Freeman Mbowe iliyojifuta yenyewe kwa kukosekana ushahidi ni mfano halisi na rahisi kabisa wa kesi ya kutengenezwa na baadhi wa maafisa wa UWT na POLISI..

✓ Kwa sababu, hebu tujiulize swali hili la msingi, kwamba, kama hizi ni INSIDE JOB ya CHADEMA, ni sababu gani inayowafanya polisi wasiingie huko CHADEMA, wakachunguza na kuwatambua wahusika na kisha kuwapeleka kwenye vyombo vya sheria iwapo kweli hawa huwa wanajiteka, kujipoteza na ndiyo walihusika kumpiga mwenzao Tundu Lissu risasi mwaka 2017..?

✓ Kwanini tukio la M/Kiti wa CHADEMA (w) anayetolewa kama reference na Dr Slaa ripoti yake kwa zaidi ya miaka 15 imefichwa, hazitolewi hadharani na polisi ili kuthibitisha kuwa CHADEMA walimteka na kumpiga mtu wao wenyewe?

✓ Je polisi, wanaiogopa CHADEMA? Je, CHADEMA hawachunguziki wala kukamatika?

KAMA MAMBO YAKO HIVI, TATIZO LIKO WAPI SASA..?

✓ Tusimung'unye maneno, "Pandora box ☑️ ", ndiyo inafunguliwa taratibu na akina Dr Slaa. Tatizo liko kwenye serikali kupitia idara za UWT na POLISI. Hawa, baadhi ya maafisa wake wanalipwa na wanasiasa wa chama tawala kuliharibu taifa hili kwa kushiriki siasa chafu za CCM...

✓ SAMAKI mmoja akioza, kikawaida uozo huo huambukiza box au tenga lote na samaki wote huonekana wameoza. Idara za UWT na POLISI zimeoza na ni lazima mabadiliko ya kimfumo na kisheria ufanyike ili kulinusuru taifa hili kuishia kwenye machafuko...!

Sasa namwelewa Dr Slaa na mfano wake ule. Kumbe alikuwa anajaribu kutuonesha tatizo liko wapi. Yeye siyo tatizo kwa kusema haya. Na wala CHADEMA siyo tatizo hata kidogo..
Ni malumbano makali kati ya John Heche [M/Kiti - CHADEMA - kanda ya Serengeti] na Dr W. P. Slaa [Former GS wa CHADEMA] huko club house moja usiku wa kuamkia leo Alhamisi trh 28/4/2022..

Msingi wa malumbano hayo ni hoja ya Dr Slaa aliyowahi kuiibua na kuripotiwa hapa hapa JF kuhusu UTEKAJI, KUPOTEA KWA WATU na KUPIGWA RISASI 37 kwa Tundu Lissu Septemba, 2017..

Hoja inayoleta majadala ni kina nani wanahusika na jinai hii ya kupoteza na kuua watu kwa style mbalimbali? Na ni kina nani hasa walihusika na jaribio la kuuwawa kwa risasi Tundu Lissu mwaka 2017? Nini wajibu wa polisi? Kwanini haya yanatokea nao wakiwepo tu?

Dr. SLaa katika maelezo yake, kwa mbaaali [japo jana amekanusha na kudai alieleweka vibaya] ameonesha kuwa hiyo yaweza kuwa ni INSIDE JOB ya CHADEMA, kwamba ni wenyewe WANAJITEKA, KUPOTEZANA na KUJIPIGA RISASI wenyewe kwa wenyewe. Na obviously, ndiyo walimpiga risasi Tundu Lissu mwaka 2017..!

Kuthibitisha hili, Dr Slaa anatoa mfano wa M/Kiti wa CHADEMA (w) fulani miaka hiyo, kwamba, alitekwa na kupigwa kisha kutupwa porini akiwa mahututi na watekaji hao wakaamini kuwa amekufa..

Lakini few hours later, victim huyo alipata fahamu na baadaye taarifa kumfikia yeye Dr Slaa by then akiwa ndiye GS..

Kwa maelezo ya Dr Slaa kwa niaba ya chama, alitoka public na kulaani tukio hilo. Lakini kitambo kidogo baadaye mmoja wa walinzi wa chama chao [Red Brigade] alimwendea Dr Slaa na kukiri kuwa yeye ni mmoja waliohusika kumteka m/kiti huyo..!!

Sasa mpaka hapo ndipo John Heche, aka - react na kumpinga vikali Dr Slaa. Heche akamwita his former Party GS kuwa huo ni uongo na anamuona Dr Slaa ni kama mtu aliye kwenye confusion ya aina fulani hivi..

Heche akamuuliza Dr Slaa, kuwa, kama ni kweli, yeye akiwa kama GS wa chama by then, ikawaje kwa miaka zaidi ya 15 sasa anyamazie jinai hiyo na kuisema leo..?

Dr Slaa akajibu tuhuma hizo za Heche kwa kusema, ni wazi kuwa hajaeleweka na watu wanapotosha kwa makusudi mantiki ya hoja yake kwa sababu hajasema kuwa CHADEMA wanajiteka, kujipoteza. Na hajasema kuwa, kupigwa risasi kwa Tundu Lissu ni INSIDE JOB ya CHADEMA yenyewe..!

Dr Slaa, akarejea tena kwenye tukio la M/Kiti wake wa CHADEMA (W) kutekwa. Akasema yeye kama GS kisheria siyo jukumu lake kushughulikia jinai kama ile. Anasema, yeye alipopata taarifa hiyo kazi yake ilikuwa ni kuipeleka polisi na ndivyo alivyofanya..

Dr Slaa akaendelea kujitetea kwa kusema kuwa hadi leo, hajui uchunguzi wa polisi kuhusu tukio hilo uliishia wapi kwa sababu mpaka anatoka CHADEMA, hakuwahi kuitwa polisi wala kuitwa kuwa shahidi ktk mahakama yoyote kwa kesi hiyo...!!

MAONI YANGU:

Baada ya kauli hii ya jana ya Dr Slaa, kidogo mimi ilinifungua macho na ufahamu wangu. Nikaanza kumwelewa Dr Slaa. Kumbe ni kweli kabisa kuwa hakuwa na maana ya CHADEMA huwa wanajiteka, kujipoteza wenyewe na kwamba, ndiyo walimpiga risasi TL mwaka 2017..!

Ni wazi kuwa kumbe Dr Slaa alikuwa anatufungua ufahamu na akili zetu ili kujua tatizo la haya mambo liko wapi. Kwamba, kiini cha tatizo la kupotea, kutekwa watu liko ndani ya serikali kupitia TANPOL na UWT wakichezeshwa mchezo mchafu wa kisiasa na wanasiasa watawala wa CCM kwa maslahi ya kisiasa..!!

KUMBE TUSEMEJE SASA..?

✓ Hii ni vita ya kisiasa ya siku zote kati ya CCM na CHADEMA..

✓ Bahati mbaya sana, baadhi ya maafisa wa UWT na Polisi wamekubali kuzichafua taasisi hizi muhimu kwa gharama ya amani na utulivu wa taifa hili kwa kushiriki ktk michezo hii michafu ya kisiasa ya wanasiasa. Victim mkuu wa mchezo huu mchafu basically ni CHADEMA huku CCM ikidhani inanufaika..

✓ Hawa UWT na POLISI kwa kuagizwa na kutumwa na wanasiasa walio serikalini, hutengeneza matukio ya kijinai kwa jina la CHADEMA ili ku - tarnish image ya chama hiki na baadaye waki - incriminate na kisha wapate sbb ya kukifuta. Tukio la juzi kati hapa la kesi ya M/Kiti wa CHADEMA Taifa ndg Freeman Mbowe iliyojifuta yenyewe kwa kukosekana ushahidi ni mfano halisi na rahisi kabisa wa kesi ya kutengenezwa na baadhi wa maafisa wa UWT na POLISI..

✓ Kwa sababu, hebu tujiulize swali hili la msingi, kwamba, kama hizi ni INSIDE JOB ya CHADEMA, ni sababu gani inayowafanya polisi wasiingie huko CHADEMA, wakachunguza na kuwatambua wahusika na kisha kuwapeleka kwenye vyombo vya sheria iwapo kweli hawa huwa wanajiteka, kujipoteza na ndiyo walihusika kumpiga mwenzao Tundu Lissu risasi mwaka 2017..?

✓ Kwanini tukio la M/Kiti wa CHADEMA (w) anayetolewa kama reference na Dr Slaa ripoti yake kwa zaidi ya miaka 15 imefichwa, hazitolewi hadharani na polisi ili kuthibitisha kuwa CHADEMA walimteka na kumpiga mtu wao wenyewe?

✓ Je polisi, wanaiogopa CHADEMA? Je, CHADEMA hawachunguziki wala kukamatika?

KAMA MAMBO YAKO HIVI, TATIZO LIKO WAPI SASA..?

✓ Tusimung'unye maneno, "Pandora box ☑️ ", ndiyo inafunguliwa taratibu na akina Dr Slaa. Tatizo liko kwenye serikali kupitia idara za UWT na POLISI. Hawa, baadhi ya maafisa wake wanalipwa na wanasiasa wa chama tawala kuliharibu taifa hili kwa kushiriki siasa chafu za CCM...

✓ SAMAKI mmoja akioza, kikawaida uozo huo huambukiza box au tenga lote na samaki wote huonekana wameoza. Idara za UWT na POLISI zimeoza na ni lazima mabadiliko ya kimfumo na kisheria ufanyike ili kulinusuru taifa hili kuishia kwenye machafuko...!

Sasa namwelewa Dr Slaa na mfano wake ule. Kumbe alikuwa anajaribu kutuonesha tatizo liko wapi. Yeye siyo tatizo kwa kusema haya. Na wala CHADEMA siyo tatizo hata kidogo..

Slaa kachananyikiwa. Haiwezekani jeshi la polisi, usalama wa taifa na nchi kwa ujumla uchafuliwe na wahuni wa chadema nao wakaka kimya. Mambo yote ya mauwaji na kulotea kwa watu lawama zote zilipelekwa kwa usalama wa taifa na jeahi la polisi. Kama Slaa anatoa hizo tuhuma ndio nafasi ya kujisafisha kwa vyombo vyetu vya usalama. Inakuwaje hawa hukuhi hatua yoyote ile na dr. Slaa anao ushaidi wa kutosha
 
Kaka Pascal, neno VITUMBUA umeliona wapi kwa uliyemnukuu bhana? Kasema KITUMBUA bwn, sio VITUMBUA; hu mtindo wa kulishana maneno sio mzuri. Joke
Kitumbua ni kimoja, vitumbua ni vingi, nimeita vitumbua kwasababu muuza vitumbua hawezi kupika kitumbua kimoja ni lazima viwe vitumbua, chapati au andazi ndio unaweza kupika chapati moja lakini huwezi kupika kitumbua kimoja bali ni vitumbua!
P
 
Sijawahi kufika Sweden lakini kuna ndugu zangu walienda 2019 walibeba unga na dagaa wakawa wanapika vyakula vya asili
Sio Sweden tuu, Watanzania popote walipo wanapenda vyakula vya asili, Mimi nikiwa jijini New York sikai hotelini, huwa nakaa Mt. Vernon kwa Mama T. unapikiwa vyakula vya asili vya Kibongo na nsenene kutoka Bukoba pale hawakauki!.

Mimi mwenyewe wife anaishi Maryland, kila watu wakienda anaagiza unga, kahawa korosho kutoka Bongo, hivyo mtu kupika vitumbua yes lakini hakuna mtu wa kumuuzia na mtu wa kununua kitumbua Sweden, hata agawe bure, hakuna wa kupokea!.
P.
 
Sio Sweden tuu, Watanzania popote walipo wanapenda vyakula vya asili, Mimi nikiwa jijini New York sikai hotelini, huwa nakaa Mt. Vernon kwa Mama T. unapikiwa vyakula vya asili vya Kibongo na nsenene kutoka Bukoba pale hawakauki!.

Mimi mwenyewe wife anaishi Maryland, kila watu wakienda anaagiza unga, kahawa korosho kutoka Bongo, hivyo mtu kupika vitumbua yes lakini hakuna mtu wa kumuuzia na mtu wa kununua kitumbua Sweden, hata agawe bure, hakuna wa kupokea!.
P.
Wabongo wamezoea ugali mgumu kama jiwe, mkuu kama shem yupo majuu wewe unafanya nini hapa Tanganyika?
 
""Wasiojulikana wanajulikana mchana""Failure is the fabric that discovery is made from.""
 
huku ni kuchafua watu, nimeishi Sweden, kule hawali vitumbua, wanakula mikate tuu, kitendo cha kumsingizia mke wa Dr. Slaa, mama yetu Josephine Mushumbusi kuwa anafanya kazi ya kuuza vitumbua Sweden, ni kutaka kumchafua tuu, and soon tutasikia kuwa daktari kaanza tena kushindia mihogo!.
P
Ni mwanasheria, ni mwanahabari halafu unakuja na utetezi hafifu hivi kwa Josephine Mushumbusi? Unataka kutuambia Watanzania na wala vitumbua wengine wanapohamishia makazi Sweden wanazuiwa kula vitumbua?
 
Dr slaa ni SAwa na mtu aliemuacha mpenzi wake kisha kapata Bwana mwenye pesa zaidi katumiwa kaachwa sasa anaumia kuona mpenzi wake aliemuacha akiwa na pesa zaidi
 
Huyu mzee kadri anavyotopoka ndivyo anavyozidi didimia shimoni.
 
Back
Top Bottom