John Malecela: Sioni Hoja ya Wanaopinga Uwekezaji wa DP World Bandarini

John Malecela: Sioni Hoja ya Wanaopinga Uwekezaji wa DP World Bandarini

Huenda anajua zaidi kuliko sisi (sina uhakika Nadhani Mrs wake yupo kati ya wale waliokwenda Dubai) Hence he might know what we don't....

Issue kubwa huenda ni transparency na kuhusisha watu kila kitu kiwe wazi (ukizingatia tumeumizwa mara ngapi, ukiumwa na nyoka hata unyasi utakutisha)...,
Once Bitten Twice Shy...

Anyway badala ya kushangaa watu wanaopinga angepinga vipengele wanavyopinga kama ni vya kweli au wanapotosha na kama hawapotoshi ni vipi vinafaa au havifai
Offcoz na Yule Bibi huwa nilimweka kwenye kati ya wazarendo niliposikia mchango wake wa kuuma na kupuliza nilimng'oa faster
 
Mzee kasema ukweli! Wengi wanasumbuliwa na chuki, wivu na udini tu. Hawana hoja kabisa wachache makuwadi wa wakenya wanaotaka bandari zetu zisiwe vizuri
Mwana-Dawati la Propaganda la "wa Kijitonyama Makumbusho", hongera zako kwa kazi ngumu uliyopewa ya "kupaka rangi upepo" ili ku-divert attention za raia ili kumlinda sponsor wenu na makombora mazito ya DPW.

Quote Reply
Report Edit Delete
  • Kicheko
Reactions:ChoiceVariable
 
Waziri Mkuu mstaafu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, John Malecela ametoa kauli kuhusu sakata la makubaliano ya uwekezaji wa bandari nchini na Serikali ya Dubai kupitia Kampuni ya Dubai Port World (DPW).


Malecela ametoa kauli hiyo leo Jumapili Juni 25, 2023 baada ya kuulizwa swali kuhusiana na uwekezaji huo unaohusisha Serikali hizo mbili.
Malecela amesema haoni shida ya uwekezaji huo na amewashangaa wanaopinga akisema ndio demokrasia inavyowaruhusu.

"Kwanza wako wachache wanaopinga na sioni hoja yao," amesema Malecela ambaye ni Waziri Mkuu wa saba wa Tanzania akipokea nafasi hiyo kutoka kwa Jaji Joseph Warioba.

Leo, Malecela amekutana na waandishi wa habari nyumbani kwake eneo la Kilimani jijini Dodoma akielezea kuridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo unaotanywa na Rais Samia Suluhu Hassan.

Mwananchi
Achaneni naye huyu mzee na wala asiwaumize vichwa kwa sababu hata wahuni, wajinga na wapumbavu nao huwa wanazeeka.
 
Kuna watu watanuna hapaa, wanatamani waivamie ofisi ya jf na kuivunja vunja. Nia njema hujionyesha tu yenyewe bila hata makelele meeengi. Walinda legacy na mashetani wengine waovu wanaokesha kutukana na kuzusha humu watashindwa tu.
 

DF4A357F-74C6-4059-97BE-7D6DFBA68026.jpeg
 
Huyu Athumani tunamjua mbona.

Its no suprize.

Hata yeye alichukua hela huko huko.
 
Waziri Mkuu mstaafu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, John Malecela ametoa kauli kuhusu sakata la makubaliano ya uwekezaji wa bandari nchini na Serikali ya Dubai kupitia Kampuni ya Dubai Port World (DPW).


Malecela ametoa kauli hiyo leo Jumapili Juni 25, 2023 baada ya kuulizwa swali kuhusiana na uwekezaji huo unaohusisha Serikali hizo mbili.
Malecela amesema haoni shida ya uwekezaji huo na amewashangaa wanaopinga akisema ndio demokrasia inavyowaruhusu.

"Kwanza wako wachache wanaopinga na sioni hoja yao," amesema Malecela ambaye ni Waziri Mkuu wa saba wa Tanzania akipokea nafasi hiyo kutoka kwa Jaji Joseph Warioba.

Leo, Malecela amekutana na waandishi wa habari nyumbani kwake eneo la Kilimani jijini Dodoma akielezea kuridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo unaotanywa na Rais Samia Suluhu Hassan.

Mwananchi
Kama aliweza kuendelea na jina la John huku ameshabadilisha na kuitwa Jumanne kisirisiri ili agombee uraisi ataaminiwa na Nani? Hivi lini akaaminika kama Mzee wa mfano nchi hii? Jambo kubwa alilolifanya baada ya kumaliza Muda wake serikalini ni pale alipotumwa kwenda kumkazimisha Ndugai ajiuzulu.
 
Haya sasa kuna uzi humu kuna mtu alikuwa anamulizia mzee malecela,mbona yuko kimya sakata la
Bandari [emoji1] haya kawajibu!
Any way,huyu mzee nlimshqmangaa
Kwann alitoa kiwanda cha kusindika
Zabibu huko dodoma na akahihamishia mbeya mpaka leo sijapata,majibu

Ova
 
Back
Top Bottom