Mwalimu alimwambia nzi huenda pale penye mzoga. 😆😆Mwenye kumbukumbu huyu Mzee mwalimu alimganyaje alipomletea ngonjera za namna hii jamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwalimu alimwambia nzi huenda pale penye mzoga. 😆😆Mwenye kumbukumbu huyu Mzee mwalimu alimganyaje alipomletea ngonjera za namna hii jamani
Mtasubiri sana.Tunzeni kumbukumbu wadau. Tunasubiri kusikia msoga na wengineo na wengineo wanasemaje.
Offcoz na Yule Bibi huwa nilimweka kwenye kati ya wazarendo niliposikia mchango wake wa kuuma na kupuliza nilimng'oa fasterHuenda anajua zaidi kuliko sisi (sina uhakika Nadhani Mrs wake yupo kati ya wale waliokwenda Dubai) Hence he might know what we don't....
Issue kubwa huenda ni transparency na kuhusisha watu kila kitu kiwe wazi (ukizingatia tumeumizwa mara ngapi, ukiumwa na nyoka hata unyasi utakutisha)...,
Once Bitten Twice Shy...
Anyway badala ya kushangaa watu wanaopinga angepinga vipengele wanavyopinga kama ni vya kweli au wanapotosha na kama hawapotoshi ni vipi vinafaa au havifai
Mwana-Dawati la Propaganda la "wa Kijitonyama Makumbusho", hongera zako kwa kazi ngumu uliyopewa ya "kupaka rangi upepo" ili ku-divert attention za raia ili kumlinda sponsor wenu na makombora mazito ya DPW.Mzee kasema ukweli! Wengi wanasumbuliwa na chuki, wivu na udini tu. Hawana hoja kabisa wachache makuwadi wa wakenya wanaotaka bandari zetu zisiwe vizuri
Wagogo ndiyo maana ni masikini wakutupwaAnasema anasema kirahisi tu, wanaopinga niwachache utadhani amewahesabu.
Achaneni naye huyu mzee na wala asiwaumize vichwa kwa sababu hata wahuni, wajinga na wapumbavu nao huwa wanazeeka.Waziri Mkuu mstaafu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, John Malecela ametoa kauli kuhusu sakata la makubaliano ya uwekezaji wa bandari nchini na Serikali ya Dubai kupitia Kampuni ya Dubai Port World (DPW).
Malecela ametoa kauli hiyo leo Jumapili Juni 25, 2023 baada ya kuulizwa swali kuhusiana na uwekezaji huo unaohusisha Serikali hizo mbili.
Malecela amesema haoni shida ya uwekezaji huo na amewashangaa wanaopinga akisema ndio demokrasia inavyowaruhusu.
"Kwanza wako wachache wanaopinga na sioni hoja yao," amesema Malecela ambaye ni Waziri Mkuu wa saba wa Tanzania akipokea nafasi hiyo kutoka kwa Jaji Joseph Warioba.
Leo, Malecela amekutana na waandishi wa habari nyumbani kwake eneo la Kilimani jijini Dodoma akielezea kuridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo unaotanywa na Rais Samia Suluhu Hassan.
Mwananchi
Baada ya kwenda uarabuni[emoji1787][emoji1787]Mzee Jumanne [emoji38][emoji38]
Mamamaeee, lazima wake zenu wazae watoto wzliofanana ja jkHuyo Mzee anaoneka ni tatizo toka zamani Hana jipya.... Mtu yeyote aliyekataliwa na Nyerere ni wa kuogopa kama ukoma. Si mnamwoma Kikwete anavotuyumbisha.
Kama aliweza kuendelea na jina la John huku ameshabadilisha na kuitwa Jumanne kisirisiri ili agombee uraisi ataaminiwa na Nani? Hivi lini akaaminika kama Mzee wa mfano nchi hii? Jambo kubwa alilolifanya baada ya kumaliza Muda wake serikalini ni pale alipotumwa kwenda kumkazimisha Ndugai ajiuzulu.Waziri Mkuu mstaafu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, John Malecela ametoa kauli kuhusu sakata la makubaliano ya uwekezaji wa bandari nchini na Serikali ya Dubai kupitia Kampuni ya Dubai Port World (DPW).
Malecela ametoa kauli hiyo leo Jumapili Juni 25, 2023 baada ya kuulizwa swali kuhusiana na uwekezaji huo unaohusisha Serikali hizo mbili.
Malecela amesema haoni shida ya uwekezaji huo na amewashangaa wanaopinga akisema ndio demokrasia inavyowaruhusu.
"Kwanza wako wachache wanaopinga na sioni hoja yao," amesema Malecela ambaye ni Waziri Mkuu wa saba wa Tanzania akipokea nafasi hiyo kutoka kwa Jaji Joseph Warioba.
Leo, Malecela amekutana na waandishi wa habari nyumbani kwake eneo la Kilimani jijini Dodoma akielezea kuridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo unaotanywa na Rais Samia Suluhu Hassan.
Mwananchi
Chukua kilainishi dukani Kwa mangiMamamaeee, lazima wake zenu wazae watoto wzliofanana ja jk