John Malecela: Sioni Hoja ya Wanaopinga Uwekezaji wa DP World Bandarini

John Malecela: Sioni Hoja ya Wanaopinga Uwekezaji wa DP World Bandarini

kwamba wanounga mkataba wa kipumbavu wao hawako katika dini au sijakuelewa. Tuambie msukuma ni dini gani?
Hili jambo halina dini.
Muhimu ni kujua kwamba asilimia kubwa ya wanasiasa kwenye nchi masikini ni watu wanaopenda dezo, wasioweza kuishi bila kutegemea jasho la walalahoi.
Kwa maneno mengine, wanasiasa wengi, siyo wote, hawana tofauti na malaya (machangudoa), hivyo siyo watu wa kutegemea sana kwenye mambo ya msingi ya nchi.
Kwa bahati mbaya, siasa zetu siku hizi zimeelekea zaidi kwa watu wa aina za kujikomba zaidi, waigizaji ambao kiasili hawana integrity.
Hata hivyo, maoni haya ni ya jumla kwa kizazi hiki na hayamjamlenga Mheshimiwa Mzee Malecela.
 
"Kwanza wako wachache wanaopinga na sioni hoja yao," amesema Malecela ambaye ni Waziri Mkuu wa saba wa Tanzania akipokea nafasi hiyo kutoka kwa Jaji Joseph Warioba.
Ninyi waandishi wa habari mmempelekea huo mkataba mkamsomea?
 
Waziri Mkuu mstaafu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, John Malecela ametoa kauli kuhusu sakata la makubaliano ya uwekezaji wa bandari nchini na Serikali ya Dubai kupitia Kampuni ya Dubai Port World (DPW).


Malecela ametoa kauli hiyo leo Jumapili Juni 25, 2023 baada ya kuulizwa swali kuhusiana na uwekezaji huo unaohusisha Serikali hizo mbili.
Malecela amesema haoni shida ya uwekezaji huo na amewashangaa wanaopinga akisema ndio demokrasia inavyowaruhusu.

"Kwanza wako wachache wanaopinga na sioni hoja yao," amesema Malecela ambaye ni Waziri Mkuu wa saba wa Tanzania akipokea nafasi hiyo kutoka kwa Jaji Joseph Warioba.

Leo, Malecela amekutana na waandishi wa habari nyumbani kwake eneo la Kilimani jijini Dodoma akielezea kuridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo unaotanywa na Rais Samia Suluhu Hassan.

Mwananchi

Hoja hizi hapa mzee, nawe siku chache zijazo mungu atamaliza ugomvi wetu na wewe
 

Attachments

  • IMG_0899.MP4
    17.4 MB
Out of concept ❌
Unafikiri kelele zinatoka wapi mkuu na sababu ni nini!?..tumekua tukiwakwepa waarabu muda Sasa tangu 'yule mzee' akiwa hai hata Kama mwarabu Hana agenda ya kututia umasikini na kututawala kiasa dini tu ya mwarabu... mission yetu mojawapo ni dini yake,Sasa uwepo wake ni kuleta ushawishi wake,hakuna mkataba wa TPA na dpw,Ila watu wanajitia akili kupinga kisa mwarabu
 
Waziri Mkuu mstaafu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, John Malecela ametoa kauli kuhusu sakata la makubaliano ya uwekezaji wa bandari nchini na Serikali ya Dubai kupitia Kampuni ya Dubai Port World (DPW).


Malecela ametoa kauli hiyo leo Jumapili Juni 25, 2023 baada ya kuulizwa swali kuhusiana na uwekezaji huo unaohusisha Serikali hizo mbili.
Malecela amesema haoni shida ya uwekezaji huo na amewashangaa wanaopinga akisema ndio demokrasia inavyowaruhusu.

"Kwanza wako wachache wanaopinga na sioni hoja yao," amesema Malecela ambaye ni Waziri Mkuu wa saba wa Tanzania akipokea nafasi hiyo kutoka kwa Jaji Joseph Warioba.

Leo, Malecela amekutana na waandishi wa habari nyumbani kwake eneo la Kilimani jijini Dodoma akielezea kuridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo unaotanywa na Rais Samia Suluhu Hassan.

Mwananchi
Bwana Jumanne
 
Hili 👆ni tango pori!! Fuatilia wanaopinga kuna facts wametoa kimkataba na baadhi ya vifungu wakitaka virekebishwe kabla ya mkataba kua activated!!
Mkataba umesainiwa lini!?..hakuna mkataba Bali Kuna makubaliano baina ya serikali mbili, mkataba wa kitendaji utaingiwa baina ya TPA na DP world
 
Back
Top Bottom