barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Sasa hiki kikaratasi hata mie si naweza nikakiandika tu sasa hivi na kukipost hapa?
Kinachomata ni maandishi yaliyomo katika hiyo karatasi na si quality ya karatasi husika.Sasa hiki kikaratasi hata mie si naweza nikakiandika tu sasa hivi na kukipost hapa?
Nyie watu vipi..
Alafu ishu kubwa inaandikwa kienyeji namna hii? Kama ndio kamemo hako ni dharau kwa spika ndio maana kakachania mbali..
Hata tundu lisu anaweza iandika sasa hivi na akaipost.. haina legitimacy yoyote...Kinachomata ni maandishi yaliyomo katika hiyo karatasi na si quality ya karatasi husika.
acha ujinga wewe zuzu kwani ulilazimishwa kusoma? ficha ujinga wako wa wizi wa mitihani hukoAupeleke mahakamani. Anauleta hapa ili iweje?
Thibitisha kuwa mbowe hakulewaNa ndio hawa wanaotuambia kuwa Mbowe alilewa kuanguka na kwamba hiyo ndio sababu ya Mbowe kuvunjika Mguu!!
Mods kwenye heading naomba mnisaidie isomeke kuwavua uanachama na si ubunge.
Muogope Mungu ukiwa unakandamiza haki ya wanyongeSasa hiki kikaratasi hata mie si naweza nikakiandika tu sasa hivi na kukipost hapa?
Nyie watu vipi..
Alafu ishu kubwa inaandikwa kienyeji namna hii? Kama ndio kamemo hako ni dharau kwa spika ndio maana kakachania mbali..
Bado hapo haija onesha uhalali au ukweli wowote kwamba hiyo picha ya dispatch ilikuwa dispatch halisi siyo ya kughushi.Naona hujui maana ya dispatch. Anaepokea barua ndio anasaini kwenye dispatch ya yule aliyeleta barua kama uthibitisho kuwa amepokea. Kwa sababu hiyo ni sahihi kabisa kama hicho kitabu ni cha mbunge wa Kibamba. Dispatch ya Bunge inatumika kwa barua zilizotoka Bunge.
Amandla...
Nadhani huwa tuna matatizo ya kutoelewa au kutotaka kuelewa. Sababu muandikiwa anakiri kuandikiwa, lakini uhalali kisheria wa kilichoandikwa ndicho anapinga uhalali wake.Tanzania kuna mambo ya ajabu sana.
Aliyeandika amesema ameandika na kufikisha.
Aliyeandikiwa anasema hajaandikiwa.
A lot of Nonsense!!! [emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa akili zako fupi, hiyo dispatch mtu hawezi kufoji? Yaani kitu gani kimekuthibitishia kwamba hiyo barua ilipokelewa Bunge? Mbona hajasema nani kasaini kupokea, aone kama hakuburuzwa mahakamani.Na ndio hawa wanaotuambia kuwa Mbowe alilewa kuanguka na kwamba hiyo ndio sababu ya Mbowe kuvunjika Mguu!!
Mods kwenye heading naomba mnisaidie isomeke kuwavua uanachama na si ubunge.
Hicho ki despatch hakina muhuri mtu yoyote anaweza kupokea