barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Sasa hiki kikaratasi hata mie si naweza nikakiandika tu sasa hivi na kukipost hapa?
Nyie watu vipi..
Alafu ishu kubwa inaandikwa kienyeji namna hii? Kama ndio kamemo hako ni dharau kwa spika ndio maana kakachania mbali..