Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Mnyika ni kijana ni mwanafunzi mzuri wa Dr Slaa. Tunasubiri siasa za hoja na ubunifu. Nasubiri mdahalo kati yake na Dr Bashiru wakati wa kampeni za uchaguzi 2020.
Acha ulofa wewe mnyika ni wa mwanza??? Mnyika ni wa kaskazini mpare huyo.Kanda ya ziwa hakuna jina mnyika iwe kwa kurya,jita,kerewe,zinza,haya,luo wala sukuma
Kwahiyo ndo ulitumwa kuja kupima upepo humu jukwaani. Haya sasa chizi fresh ameshateuliwa msubiri wakati akiwa anakunywa dawa zake aje awavuruge.Hili ni swali tu ndugu zangu ambalo nimelileta kwenu na wala sina lengo lingine zaidi ya kutaka kujua maono na utabiri wenu tu.
Ikumbukwe kwamba hii ni nafasi nyeti sana ndani ya chama, inahitaji mtu mwenye uwezo mkubwa sana anayeweza kuunganisha viongozi na wanachama, mwenye uwezo wa kufuta makundi yaliyojitokeza kwenye uchaguzi huko kwenye kanda na kwenye Mabaraza, mbunifu na asiye muoga.
Baada ya uchaguzi mkuu wa 2020, take it from me, Chadema will be no more!.
P
Naona wamesikia maoni yako mkuu.... Huyu kigaila wamemtendea haki kabisa. Naona chama kimerudi kwa wenyeweKigaila mi namfahamu sana tangu mwaka alowatesa ccm Dodoma ni jembe sana. Nafasi kama ya ukatibu mkuu inahotaji mtu alive na mapenzi mema na CHADEMA full stop masuala ni professor, sijui ni Dr. Na blaa blaa nyingi hazina maana. Ukitaka kuamin hili kuna lichama linaongozwa na madokta lakini wanayoyafanya ni aibu hadi nataman kuhama hii nchi au duniaisimame mi nishuke kabisa. Kwelini aibu sana kukosa hoja hadi unagombana na vitambaa vinavyopepea? Aibu.
Mtakumbuka kipindi ambacho Mnyika alikuwa mwiba mkali kwa Bwana mwenyekiti wa kudumu kwa kuhoji mambo ya siri ambayo wengi wao hawayajui ndani ya chama hicho na kutopata majibu ya kuridhisha kutoka kwa TOP leaders hali iliyompelekea kuonekana yuko kinyume na chama.
Baada ya vurumai kuzidi kuwa kubwa ndani ya chama hicho, hawa jamaa (MNYIKA na wenzake wawili akiwemo HECHE ) walidhamiria kujiengua chamani na kwenda Kuunga mkono juhudi za Rais Magufuli, kitu ambacho kingekuwa mwiba wa utosi kwa Mzee Baba mwenye chama chake. Baada ya mwenye chama kujua hilo aliwaza na kukuna kichwa ni njia gani atumie ili "SIRI" wanazozijua hawa jamaa zisije zikatoka nje ya mipaka yake ndipo alipoamua kuwapa vyeo vya karibu yake kama njia ya kuwaweka karibu nae na awasuuze nafsi zao pamoja na kuwatoa PEPO la kuhama chama.
Fadhila hii pia ilimkuta Bwana LISSU, mtakumbuka hivi karibuni mipango ya snitch ZITTO KABWE kujikomba na kujipendekeza kwenda Ubelgiji kumsabahi jaamaangu wa Singida mashariki haikuwa ya bure. Kulikuwa na mipango na mikakati iliyofanikiwa kumshawishi LISSU kujiunga nae na kulikuwa na kila dalili za LISSU kujiunga na ACT Wazalendo kwa ahadi ya kuteuliwa kuwa mgombea wa Urais 2020 kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Bwana mwenyekiti alivyoona hayo akaamua kumtoa KAFARA bwana PROF SAFARI ili kummezesha ndoano na kumpa fadhila bwana LISSU ili aendelee kusalia chamani. Hii ni njia aliyoitumia Mwenyekiti na kuwafunga midomo kabisa kuhoji mambo ya ndani kabisa ya chama. Kongole kwa Mwenyekiti wa kudumu kwa kuwamezesha ndoano jamaa hawa na lets hope watafunga midomo yao kuhoji mambo mazito ya chama.
Na hii ndio CHADEMA Mpya. Pipooooooo's
Baada ya Mwenyekiti wa Bavicha, 2020 ndio kubwa kuliko Katibu Mkuu!.John Mnyika Ni mzuri, ila amekuwa mtulivu sana sijui shida ni nini. Sitarajii kuiona cdm mpya kwa mtiririko wa viongozi wale wale.
Mkuu Mnyika alishaahidiwa ukatibu mkuu toka enzi za Dr Slaa ndio maana akawekwa katibu. Sasa baada ya kupewa mashinji ni kama alisusa so huenda sasa atarudi Kwenye moto wake maana amepata alichotamani.John Mnyika Ni mzuri, ila amekuwa mtulivu sana sijui shida ni nini. Ilikuwa vyema cdm wamchague mtu kama Marcus Albanie ili kuleta chachu mpya na sio sura zile zile kila siku. Sitarajii kuiona cdm mpya kwa mtiririko wa viongozi wale wale.
Baada ya Mwenyekiti wa Bavicha, 2020 ndio kubwa kuliko Katibu Mkuu!.
P.
John Mnyika Ni mzuri, ila amekuwa mtulivu sana sijui shida ni nini. Ilikuwa vyema cdm wamchague mtu kama Marcus Albanie ili kuleta chachu mpya na sio sura zile zile kila siku. Sitarajii kuiona cdm mpya kwa mtiririko wa viongozi wale wale.
Mkuu Mnyika alishaahidiwa ukatibu mkuu toka enzi za Dr Slaa ndio maana akawekwa katibu. Sasa baada ya kupewa mashinji ni kama alisusa so huenda sasa atarudi Kwenye moto wake maana amepata alichotamani.
Btw mwanzoni alipotea sababu alikua anaugua issue za figo ila sasa naona yupo fiti kukivusha chama.
Yaani nimejisikia amani safu yangu ya uongozi imekamilika. Maana hata Mnyika akilegea Kigaila huwa na udhubutu sana ni jasiri kwa asili sio wa kurithi. Mungu aibariki safu hii. Hasa hawa makatibu ambao ndio watendaji wa chama.Naona wamesikia maoni yako mkuu.... Huyu kigaila wamemtendea haki kabisa. Naona chama kimerudi kwa wenyewe
Alafu kikifa unafaidika na nini? dah nyie watu mna shida sanaBaada ya uchaguzi mkuu wa 2020, take it from me, Chadema will be no more!.
P
Mmeridhika au Mbowe ndio kaamua?Ana experience ya kutosha, tumeridhika nae. Hapo mwanzo alikaimu sasa amekabidhiwa mikoba na ana uhuru wa kufanya maamuzi.
Hatuhitaji PhD holders.
Kama ni kweli mmechemsha vilevile, mnyika alikuwa naibu katibu mkuu muda wote kuna nini hajafanya bado? Hana jipya
Akitoka kaskazini so what??Mnyika ni wa kaskazini acha ulofa,ni mpare yule