mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Huyo kwenye awamu hii amekua mjinga mjinga tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
John Mnyika anafaa,
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
John Mnyika anafaa,
Uko sawa kabisa.Mkuu..kwa sasa pale anatakiwa mtu jabali kwelikweli type ya John Heche.
1.Mbowe
2.Mbowe
3.Mbowe
.
.
.
n. Mbowe
Hongera sana kwa ushauri mzuri sanaHili ni swali tu ndugu zangu ambalo nimelileta kwenu na wala sina lengo lingine zaidi ya kutaka kujua maono na utabiri wenu tu.
Ikumbukwe kwamba hii ni nafasi nyeti sana ndani ya chama, inahitaji mtu mwenye uwezo mkubwa sana anayeweza kuunganisha viongozi na wanachama, mwenye uwezo wa kufuta makundi yaliyojitokeza kwenye uchaguzi huko kwenye kanda na kwenye Mabaraza, mbunifu na asiye muoga.
Asante kwa kupendekezaEaster Bulaya.........anatosha!
Hakika umenena vema aanaCDM ina vijana wengi mno "home grown leaders"; hili si tatizo kwa Mwenyekiti maana ana wider room to make his choice - wote akina Mnyika - Heche ni majembe matupu.
Ndiyo nini hiki?1.Mbowe
2.Mbowe
3.Mbowe
.
.
.
n. Mbowe
Asante kwa PendekezoMnyika au Heche.
HuelewekiNa ishapita hiyo tuko tunapigana changa la macho muda usogee
Mwenyekiti anafuatilia maoni ya wanachama popote pale na ataamua kwa HekimaMsigwa hapana, jamaa bado sijamuamin mda wowote anaweza akafika bei
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenyekiti anasoma maoni yenu.Asante kwa ushauri
Mwenyekiti atateua kwa Hekima na BusaraMpeni Henche,
Mnyika kapoa Sana ,ila hata nyarandu ingemfaa problem hajawa mwenyeji kivile,
Henche inamfaa hiyo nafasi