John Mnyika ateuliwa kuwa Katibu Mkuu CHADEMA Taifa, Benson Kigaila-NKM Bara na Salum Mwalimu NKM Zanzibar

John Mnyika ateuliwa kuwa Katibu Mkuu CHADEMA Taifa, Benson Kigaila-NKM Bara na Salum Mwalimu NKM Zanzibar

Kati ya hayo majina angalia nikilaza nani anaweza kuendana na mbowe, nionavyo mimi hapo atapewa mashinji tena au heche
Mbowe amefanya kazi kubwa.Tunaamini atatuteulia jina sahihi na linaloendana na kasi yake
 
Kuna changamoto naiona CHADEMA hasa wabunge kuwa na overlapping roles sio nzuri kwa kukuza chama. Natamani mtu akiwa mbunge aachie nafasi zingine zote ili kutoa fursa kwa vijana chipukizi kutoa mchango wao kwenye kujenga chama.

Nakumbuka Mnyika alipokuwa NKM alipotea kabisa jimboni akawa anakesha mikoani kujenga chama ikawa changamoto mno kujigawa majukumu na hta kukosa vikao vya bunge.

Ningependekeza apatikane katibu mkuu ambaye atakuwa yupo ofisini full time iwe Mwalimu/Nyalandu au Dr Marcus n.k ili ajikite kujenga chama sio kuwaza atateteaje jimbo mwakani.

NB: David Silinde ni mmoja kati ya viongozi naowakubali sana CHADEMA ila sielewi kwanini hamumuweki front page. Ana siasa za ki-maturity sana kama sio ubunge angefaa NKM bara.
 
Kuna changamoto naiona CHADEMA hasa wabunge kuwa na overlapping roles sio nzuri kwa kukuza chama. Natamani mtu akiwa mbunge aachie nafasi zingine zote ili kutoa fursa kwa vijana chipukizi kutoa mchango wao kwenye kujenga chama.

Nakumbuka Mnyika alipokuwa NKM alipotea kabisa jimboni akawa anakesha mikoani kujenga chama ikawa changamoto mno kujigawa majukumu na hta kukosa vikao vya bunge.

Ningependekeza apatikane katibu mkuu ambaye atakuwa yupo ofisini full time iwe Mwalimu/Nyalandu au Dr Marcus n.k ili ajikite kujenga chama sio kuwaza atateteaje jimbo mwakani.

NB: David Silinde ni mmoja kati ya viongozi naowakubali sana CHADEMA ila sielewi kwanini hamumuweki front page. Ana siasa za ki-maturity sana kama sio ubunge angefaa NKM bara.

Silinde bado kidogo kwa nafasi kubwa kiasi hicho. Pale inamfaa Marcus
 
Kuna changamoto naiona CHADEMA hasa wabunge kuwa na overlapping roles sio nzuri kwa kukuza chama. Natamani mtu akiwa mbunge aachie nafasi zingine zote ili kutoa fursa kwa vijana chipukizi kutoa mchango wao kwenye kujenga chama.

Nakumbuka Mnyika alipokuwa NKM alipotea kabisa jimboni akawa anakesha mikoani kujenga chama ikawa changamoto mno kujigawa majukumu na hta kukosa vikao vya bunge.

Ningependekeza apatikane katibu mkuu ambaye atakuwa yupo ofisini full time iwe Mwalimu/Nyalandu au Dr Marcus n.k ili ajikite kujenga chama sio kuwaza atateteaje jimbo mwakani.

NB: David Silinde ni mmoja kati ya viongozi naowakubali sana CHADEMA ila sielewi kwanini hamumuweki front page. Ana siasa za ki-maturity sana kama sio ubunge angefaa NKM bara.
Wazo zuri sana mkuu
 
Kosa kubwa wanaweza kulifanya ni kuendelea na Mashinji au hata kuteua tena mtu kama yeye. Mashinji kazi zinazomfaa Mashinji ni udaktari, uuguzi, ufamasia, mshauri nasaha, mhubiri, nk. Anafaa kwenye kazi zinazohitaji lugha laini, kazi za kutumwa, sio kujituma, kazi za upole na diplomasia, nk. Weka Heche, weka Mnyika, na machachari wengine. Sio mtu anachezewa rafu anaanza kukaa chini kuangalia alipoumia na kulia.
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo tumejipanga tuko tayari kuivusha Tanzania
Kwa miaka 58 CCM imeshindwa kabisa hata kumletea Maji safi kila Mtanzania
shulembuyuuuuu.jpg
shule-za-kata.jpg

Haya mengine picha zinajeleza japokuwa wanaccm wanajaribu kwa kila hali kuzi delete

Magufulu yeye kang'ang'ania Ndege wakati wananchi waliowengi wanaogea tope.
 
Kosa kubwa wanaweza kulifanya ni kuendelea na Mashinji au hata kuteua tena mtu kama yeye. Mashinji kazi zinazomfaa Mashinji ni udaktari, uuguzi, ufamasia, mshauri nasaha, mhubiri, nk. Anafaa kwenye kazi zinazohitaji lugha laini, kazi za kutumwa, sio kujituma, kazi za upole na diplomasia, nk. Weka Heche, weka Mnyika, na machachari wengine. Sio mtu anachezewa rafu anaanza kukaa chini kuangalia alipoumia na kulia.
Hao wanaweza kutunza siri za upigaji wa ruzuku?
 
Wee jamaa nimependa ulivyoandika kwa kuzingatia kanuni za hesabu. Bila shaka wewe ni mwalimu wa hesabu. Ulichoandika hapo hakinihusu ila nimependa tu ulivyozingatia kanuni.
Labda
 
Back
Top Bottom