John Mnyika ateuliwa kuwa Katibu Mkuu CHADEMA Taifa, Benson Kigaila-NKM Bara na Salum Mwalimu NKM Zanzibar

CDM ina vijana wengi mno "home grown leaders"; hili si tatizo kwa Mwenyekiti maana ana wider room to make his choice - wote akina Mnyika - Heche ni majembe matupu.
 
Hongera sana kwa ushauri mzuri sana
 
CDM ina vijana wengi mno "home grown leaders"; hili si tatizo kwa Mwenyekiti maana ana wider room to make his choice - wote akina Mnyika - Heche ni majembe matupu.
Hakika umenena vema aana
 
Kati ya hayo majina angalia nikilaza nani anaweza kuendana na mbowe, nionavyo mimi hapo atapewa mashinji tena au heche
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…