John Mnyika ateuliwa kuwa Katibu Mkuu CHADEMA Taifa, Benson Kigaila-NKM Bara na Salum Mwalimu NKM Zanzibar

John Mnyika ateuliwa kuwa Katibu Mkuu CHADEMA Taifa, Benson Kigaila-NKM Bara na Salum Mwalimu NKM Zanzibar

Asante kwa wazo
Mkuu 'Molemo', ngoja nami nichangie mada hii ingawaje huenda nshachelewa.

Kama ni kweli, CHADEMA wameweza kuongeza namba ya wanachama wao hadi milioni sita hivi sasa; na kama juhudi hizo zinatokana na kazi anayofanya Katibu aliyepo sasa, hiyo sio kazi ya kubezwa harakaharaka.

Nakumbuka hata mimi nilishazungumzia ukimya wa katibu aliyepo sasa ngugu Mashinji, kwa sababu sote tumezoea siasa za matukio ya papo kwa hapo. Kama ni mtendaji mzuri, hata kama hasikiki mara kwa mara, sioni sababu ya kumuengua katika nafasi hiyo.

Badala yake, ni kwa chama kufanya utaratibu wa kumpata wa kujibu mapigo, kwa mfano Katibu Mwenezi - hivi CHADEMA hawana nafasi hii?

Jambo la pili ni hili. Inaonekana CHADEMA imebadilika sana na ndio sababu wengi wetu, hasa huku kwenye mitandao tunaona kama imedhoofika. Chama kinachoongeza wanachama hakiwezi kuitwa 'kimedhoofu', na hasa ukichukulia dhoruba zinazoelekezwa kukihujumu.
Wengi wetu bado tunataka damu zichemke kwa kila uchokozi unaofanywa juu ya chama; kwa mfano, zile bendera kushushwa, wengi wetu tungetaka mahali pale pasitoshe!

Ukiangalia jinsi Chama kilivyochukulia tendo lile, hata yule aliyeamrisha bendera zishushwe atakuwa anajisikia vibaya kabisa kwa kutopata alichodhamiria kitokee.
Kwa matendo kama haya, CHADEMA sasa inajipambanua kwa wananchi kuwa imekomaa. Wanaweza kuhimiri michokozo yote na wakaibadilisha kuwa ya faida kwao mbele za wananchi.

Wakati huu atakayefaidika zaidi kwa CHADEMA kufanya vurugu ni CCM, pamoja na kwamba CCM wanafanya hivyo maksudi ili wawamalize CHADEMA.

Kwa hiyo, uwepo wa Katibu mkuu usichukuliwe kuwa ni lazima ajionyeshe hadharani kila mara kujibu mapigo. Ndani ya CHADEMA wapo wengi tu wanaoweza kufanya kazi hiyo ya 'kujibu mapigo' bila ya kumhusisha katibu mkuu.

John wawili, wote wanaweza kuteuliwa kwa nafasi maalum ya kufanya kazi ya 'kujibu mapigo'.
 
Mkuu 'Molemo', ngoja nami nichangie mada hii ingawaje huenda nshachelewa.

Kama ni kweli, CHADEMA wameweza kuongeza namba ya wanachama wao hadi milioni sita hivi sasa; na kama juhudi hizo zinatokana na kazi anayofanya Katibu aliyepo sasa, hiyo sio kazi ya kubezwa harakaharaka.

Nakumbuka hata mimi nilishazungumzia ukimya wa katibu aliyepo sasa ngugu Mashinji, kwa sababu sote tumezoea siasa za matukio ya papo kwa hapo. Kama ni mtendaji mzuri, hata kama hasikiki mara kwa mara, sioni sababu ya kumuengua katika nafasi hiyo.

Badala yake, ni kwa chama kufanya utaratibu wa kumpata wa kujibu mapigo, kwa mfano Katibu Mwenezi - hivi CHADEMA hawana nafasi hii?

Jambo la pili ni hili. Inaonekana CHADEMA imebadilika sana na ndio sababu wengi wetu, hasa huku kwenye mitandao tunaona kama imedhoofika. Chama kinachoongeza wanachama hakiwezi kuitwa 'kimedhoofu', na hasa ukichukulia dhoruba zinazoelekezwa kukihujumu.
Wengi wetu bado tunataka damu zichemke kwa kila uchokozi unaofanywa juu ya chama; kwa mfano, zile bendera kushushwa, wengi wetu tungetaka mahali pale pasitoshe!

Ukiangalia jinsi Chama kilivyochukulia tendo lile, hata yule aliyeamrisha bendera zishushwe atakuwa anajisikia vibaya kabisa kwa kutopata alichodhamiria kitokee.
Kwa matendo kama haya, CHADEMA sasa inajipambanua kwa wananchi kuwa imekomaa. Wanaweza kuhimiri michokozo yote na wakaibadilisha kuwa ya faida kwao mbele za wananchi.

Wakati huu atakayefaidika zaidi kwa CHADEMA kufanya vurugu ni CCM, pamoja na kwamba CCM wanafanya hivyo maksudi ili wawamalize CHADEMA.

Kwa hiyo, uwepo wa Katibu mkuu usichukuliwe kuwa ni lazima ajionyeshe hadharani kila mara kujibu mapigo. Ndani ya CHADEMA wapo wengi tu wanaoweza kufanya kazi hiyo ya 'kujibu mapigo' bila ya kumhusisha katibu mkuu.

John wawili, wote wanaweza kuteuliwa kwa nafasi maalum ya kufanya kazi ya 'kujibu mapigo'.
Umeandika vema sana mkuu tena kwa Hisia.Naamini Mwenyekiti atafanya chaguo sahihi
 
Habari za Chadema zinachosha sisi tunajiandaa na majilio

Ndio ianayokubalika kwa ushawishi bila kutumia vyombo vya dola. Ukiona habari ya ccm au serikali inajadiliwa huku mitandaoni ni habari hasi, lakini nyingine zote hazina wachangiaji maana hamna mvuto, na mko madarakani bila ridhaa ya wananchi wengi.
 
WanaJF Salaam

Ni siku nyingine muhimu kabisa katika historia ya chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA.

Baraza Kuu jipya la Chadema linakutana leo maalum kuichagua sekretariati mpya ya chama hicho itakayokivusha katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.

Kwa mujibu wa Katiba ya chama hicho Mwenyekiti wa Taifa atapaswa kupendekeza majina kwa nafasi tatu za Katibu Mkuu na Manaibu wake wawili wa Tanganyika na Zanzibar.Kisha Baraza Kuu litapigia kura mapendekezo ya Mwenyekiti na kuwachagua rasmi watendaji hao.

Kwa sasa habari kuu hapa katika viwanja vya Mlimani City ni kuhusu jina la Katibu Mkuu mpya.Huku majina kadhaa yakitajwa na wajumbe kwa kubashiri.

Majina yaliyoko vinywani vya wajumbe na kuonekana kutajwa sana ni John Mnyika,John Heche,Salum Mwalim,Lazaro Nyalandu na Vicent Mashinji ambaye ni Katibu Mkuu anayemaliza muda wake.

Tunatarajia kuwaletea taarifa kamili ya uteuzi utakaofanywa na Mwenyekiti na tunawaahidi wasomaji wetu wa Jamii Forum kuwa wa kwanza kupata taarifa.

Asanteni sana
Wasalaam
Molemo wa JF
Silinde is the right person

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna changamoto naiona CHADEMA hasa wabunge kuwa na overlapping roles sio nzuri kwa kukuza chama. Natamani mtu akiwa mbunge aachie nafasi zingine zote ili kutoa fursa kwa vijana chipukizi kutoa mchango wao kwenye kujenga chama.

Nakumbuka Mnyika alipokuwa NKM alipotea kabisa jimboni akawa anakesha mikoani kujenga chama ikawa changamoto mno kujigawa majukumu na hta kukosa vikao vya bunge.

Ningependekeza apatikane katibu mkuu ambaye atakuwa yupo ofisini full time iwe Mwalimu/Nyalandu au Dr Marcus n.k ili ajikite kujenga chama sio kuwaza atateteaje jimbo mwakani.

NB: David Silinde ni mmoja kati ya viongozi naowakubali sana CHADEMA ila sielewi kwanini hamumuweki front page. Ana siasa za ki-maturity sana kama sio ubunge angefaa NKM bara.
Hii hoja niliwahi itoa katika nyuz moja huko nyuma ...kuwa ni vema Katibu Mkuu au watendaji ndani ya vyama wasiwe wabunge ili uwajibikaji uonekane ...Kwangu Mimi Silinde n mzuri sana ...siasa anaijua vizuri na amekua kiongozi anafaa kuwa Katibu Mkuu..(A and I level alipiga division one ).
 
Kuna profesa mmoja anadai katokea jalalani ndio kabisaa
Kigaila mi namfahamu sana tangu mwaka alowatesa ccm Dodoma ni jembe sana. Nafasi kama ya ukatibu mkuu inahotaji mtu alive na mapenzi mema na CHADEMA full stop masuala ni professor, sijui ni Dr. Na blaa blaa nyingi hazina maana. Ukitaka kuamin hili kuna lichama linaongozwa na madokta lakini wanayoyafanya ni aibu hadi nataman kuhama hii nchi au duniaisimame mi nishuke kabisa. Kwelini aibu sana kukosa hoja hadi unagombana na vitambaa vinavyopepea? Aibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katibu mkuu lazima awe na umri mkubwa kuwapita wote hao, ili ukiachana na cheo, ata kiumri aweze kupata uhalali wa kuwapangia majukumu, na pia siyo mbaya akalingana kiumri ama akamzidi mbowe. So Mashinji should be the first choice. Pia anawakilisha kanda pendwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Si lzima ila sema inafaa kuwa hivyo umri na uzoefu na ujengaji wa hoja nafikiri itakuwa sawa lakini vyovyote najua mwenyekiti ni mtu mwenye busara atakuwa amefanya mashuriano na Kamati kuu kabla maana pia unezateuwa mtu kamati kuu ikamltaa itakuwa fedheha.
 
Hii ni komenti ya mtu mzima kichwani, nimeipenda
Mkuu 'Molemo', ngoja nami nichangie mada hii ingawaje huenda nshachelewa.

Kama ni kweli, CHADEMA wameweza kuongeza namba ya wanachama wao hadi milioni sita hivi sasa; na kama juhudi hizo zinatokana na kazi anayofanya Katibu aliyepo sasa, hiyo sio kazi ya kubezwa harakaharaka.

Nakumbuka hata mimi nilishazungumzia ukimya wa katibu aliyepo sasa ngugu Mashinji, kwa sababu sote tumezoea siasa za matukio ya papo kwa hapo. Kama ni mtendaji mzuri, hata kama hasikiki mara kwa mara, sioni sababu ya kumuengua katika nafasi hiyo.

Badala yake, ni kwa chama kufanya utaratibu wa kumpata wa kujibu mapigo, kwa mfano Katibu Mwenezi - hivi CHADEMA hawana nafasi hii?

Jambo la pili ni hili. Inaonekana CHADEMA imebadilika sana na ndio sababu wengi wetu, hasa huku kwenye mitandao tunaona kama imedhoofika. Chama kinachoongeza wanachama hakiwezi kuitwa 'kimedhoofu', na hasa ukichukulia dhoruba zinazoelekezwa kukihujumu.
Wengi wetu bado tunataka damu zichemke kwa kila uchokozi unaofanywa juu ya chama; kwa mfano, zile bendera kushushwa, wengi wetu tungetaka mahali pale pasitoshe!

Ukiangalia jinsi Chama kilivyochukulia tendo lile, hata yule aliyeamrisha bendera zishushwe atakuwa anajisikia vibaya kabisa kwa kutopata alichodhamiria kitokee.
Kwa matendo kama haya, CHADEMA sasa inajipambanua kwa wananchi kuwa imekomaa. Wanaweza kuhimiri michokozo yote na wakaibadilisha kuwa ya faida kwao mbele za wananchi.

Wakati huu atakayefaidika zaidi kwa CHADEMA kufanya vurugu ni CCM, pamoja na kwamba CCM wanafanya hivyo maksudi ili wawamalize CHADEMA.

Kwa hiyo, uwepo wa Katibu mkuu usichukuliwe kuwa ni lazima ajionyeshe hadharani kila mara kujibu mapigo. Ndani ya CHADEMA wapo wengi tu wanaoweza kufanya kazi hiyo ya 'kujibu mapigo' bila ya kumhusisha katibu mkuu.

John wawili, wote wanaweza kuteuliwa kwa nafasi maalum ya kufanya kazi ya 'kujibu mapigo'.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu 'Molemo', ngoja nami nichangie mada hii ingawaje huenda nshachelewa.

Kama ni kweli, CHADEMA wameweza kuongeza namba ya wanachama wao hadi milioni sita hivi sasa; na kama juhudi hizo zinatokana na kazi anayofanya Katibu aliyepo sasa, hiyo sio kazi ya kubezwa harakaharaka.

Nakumbuka hata mimi nilishazungumzia ukimya wa katibu aliyepo sasa ngugu Mashinji, kwa sababu sote tumezoea siasa za matukio ya papo kwa hapo. Kama ni mtendaji mzuri, hata kama hasikiki mara kwa mara, sioni sababu ya kumuengua katika nafasi hiyo.

Badala yake, ni kwa chama kufanya utaratibu wa kumpata wa kujibu mapigo, kwa mfano Katibu Mwenezi - hivi CHADEMA hawana nafasi hii?

Jambo la pili ni hili. Inaonekana CHADEMA imebadilika sana na ndio sababu wengi wetu, hasa huku kwenye mitandao tunaona kama imedhoofika. Chama kinachoongeza wanachama hakiwezi kuitwa 'kimedhoofu', na hasa ukichukulia dhoruba zinazoelekezwa kukihujumu.
Wengi wetu bado tunataka damu zichemke kwa kila uchokozi unaofanywa juu ya chama; kwa mfano, zile bendera kushushwa, wengi wetu tungetaka mahali pale pasitoshe!

Ukiangalia jinsi Chama kilivyochukulia tendo lile, hata yule aliyeamrisha bendera zishushwe atakuwa anajisikia vibaya kabisa kwa kutopata alichodhamiria kitokee.
Kwa matendo kama haya, CHADEMA sasa inajipambanua kwa wananchi kuwa imekomaa. Wanaweza kuhimiri michokozo yote na wakaibadilisha kuwa ya faida kwao mbele za wananchi.

Wakati huu atakayefaidika zaidi kwa CHADEMA kufanya vurugu ni CCM, pamoja na kwamba CCM wanafanya hivyo maksudi ili wawamalize CHADEMA.

Kwa hiyo, uwepo wa Katibu mkuu usichukuliwe kuwa ni lazima ajionyeshe hadharani kila mara kujibu mapigo. Ndani ya CHADEMA wapo wengi tu wanaoweza kufanya kazi hiyo ya 'kujibu mapigo' bila ya kumhusisha katibu mkuu.

John wawili, wote wanaweza kuteuliwa kwa nafasi maalum ya kufanya kazi ya 'kujibu mapigo'.
Umeandika vyema hata sina cha kuchangia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafasi ya katibu mkuu wa chama siyo nafasi ya mtu wa kubwabwaja sana. Bali mtu mwenye busara, maono, mbunifu, mtendaji mahiri, mwenye kujiamini na kusimamia kanuni na sera za chama, na mwenye msimamo thabiti juu ya utekelezaji wa maamuzi mbalimbali ya chama.
Umesema ukweli mkuu
 
Back
Top Bottom