Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni siasa.Chadema wakikubali kuteua wabunge wa viti maalum ndio watakuwa wamejizika rasmi! Sipendi hili litokee
Stress!Kazi mafii yako?
Mbusii weee!
How about you? Where are you? Still you are coward too hiding behind the keyboard!Kwa hili sitawalaumu Chadema hata kidogo.
Tundu Lissu na Chadema wamepigania pakubwa sana na ikafikia mahali ikabidi wa-mobilize maandamano nchi nzima, nani kajitokeza kuandamana?
Wale mamilioni waliokuwa wanahudhuria campaign rallies za Lissu wako wapi?
Hao kina Kigogo wako wapi? Wanapowaita Chadema wasaliti wao tuwaite nani?
Nonsense....they're all a bunch of cowards hiding behind keyboards goddamn it!
Halafu ukiwasikiliza ati wanakuambia wako tayari kushika dola, jamaa hawajui hata wabunge wanapatikanaje. Very sadKwanini mnatengeneza list nyie wenyewe na kuikataa?
Ona sasa mmesahau. Tume walisema majina 22
Huyu babu mbona analia sana. Hivi hakujua kuwa Waamerica walikuwa hawampendi waziwazi? Na huko Supreme Court ataangukia pua. Bora angekubali yaishe aendelee na biashara zake.
I don't blame any freaking body though, dude.How about you? Where are you? Still you are coward too hiding behind the keyboard!
Huyu babu mbona analia sana. Hivi hakujua kuwa Waamerica walikuwa hawampendi waziwazi? Na huko Supreme Court ataangukia pua. Bora angekubali yaishe aendelee na biashara zake.
Ukiwa mbinafsi kamwe huwezi kuwa mkweli 😁😁Halafu ukiwasikiliza ati wanakuambia wako tayari kushika dola, jamaa hawajui hata wabunge wanapatikanaje. Very sad
View attachment 1622251
Hivi ndio vigezo ambavyo ana amini ni sababu ya kumshinda biden