Uchaguzi 2020 John Mnyika: CHADEMA haijakaa na Tume ya Uchaguzi(NEC) na haina mpango wa kuteua wabunge Viti Maalum

Uchaguzi 2020 John Mnyika: CHADEMA haijakaa na Tume ya Uchaguzi(NEC) na haina mpango wa kuteua wabunge Viti Maalum

Bwana Myika chama chetu sasa hivi kinahitaji mabadiliko makubwa kiuendeshaji, Kiu tawala, na kiorganisation. Hatutaki maneno na usanii. Nyinyi manapata pesa migongoni kwetu sisi tunaishi bila furaha kwa kukubali mapungufu bila kupaza sauti.

Muda wa kukaa kimya umekwisha the Elephant in the room ni mapungufu yetu wenyewe.
1) Tunakwenda kwenye uchaguzi hata picha ya Presidential Candidate hatuna nchi nzima.
2) Hatuna bajeti ya Mawakala nchi nzima, kila mgombea anajifanyia mambo yake anavyo ona yeye mwenyewe inafaa.,

Mambo mengine ya kichama ni vizuri kumalizana ndani kwa ndani. Lakini usijiaminishe kuwa tutaendelea kuunga mkono baadhi ya maamuzi ya kipumbavu ambayo tunaweza tukayabadilisha.

Mapungufu ni mengi mnoo. UNYUMBU LAZIMA UFIKE MWISHO.
Watakwambia wewe sio kamanda, utapigwa vita
 
Ule haukuwa uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura full stop.
Ambapo kwa hiyari yenu mliamua kushiriki tena na kelele nyingi, sijui no hate no fear, mara tuvushe , mbeba maono! Mlivyokuwa mambumbumbu...
 
mkuu unajisumbua tu, majina ya wabunge wa viti maalum waliopendekezwa na chama yalishapelekwa, kilichobaki kwa tume ni kuwateua tu, viongozi wa chadema wanawadanganya sana wanachama wao. ukweli unajulikana, akina halima mdee watarudi bungeni.
Yalipelekwa lini ?
 
Unaongea utoto gani dogo? Wakati wa Dr. Slaa cdm ikiwa hai mbona haikuchukua hiyo nchi?
Alitengeneza ushawishi kwa Watanzania pia alishape structure nzuri ya kiongozi from grass root
 
Basi sawa...... kwakuwa mnyika kasema

1. Kamati Kuu @ChademaTz haijafanya uteuzi wa wabunge wa viti maalum mpaka sasa
2. Hivyo hakuna orodha iliyopelekwa na Katibu Mkuu kwa NEC.
3. Tumedokezwa wanataka kughushi saini na orodha @TumeUchaguziTZ ifanye uteuzi haramu na @bunge_tz likabariki.

Na kwakuwa hiki chama kimekua kikituhakikishia kwamba ni chama cha demokrasia na maendeleo nchini, na kwamba ni chama chenye misingi bora ya haki na demokrasia, na kwakuwa wamekua wakitulazimisha kuamini kuwa wananchi walio wengi wana imani na chama chao na kwa viongozi wao; ..............basi nategemea kuona hata hiyo orodha iliyoghushiwa itakapotolewa kukataliwa sio na viongozi pekee bali hata na hao ambao majina yao yatakua kwenye hiyo orodha.

Vinginevyo watanzania tutagonga mhuri kwamba chadema ni chama pekee cha viongozi madikteta Tanzania
Kama watakaopewa huo ubunge watakuwa ni wana-CCM waliomo ndani ya CDM, watakataaje matakwa ya dikteta boss wao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tukiwarushiwa ndizi na wazungu ni halali yetu.

Walifanya maamuzi ya kijinga kupora uchaguzi sasa wanaanza kuteseka.

Wabaki wenyewe kwenye hilo Bunge lao la chama kimoja(Bunge la Ma-CCM) lifanye kazi ya kusifu,kutukuza na kupongeza.
Andikeni barua rasmi kwa NEC na Bunge kudhibitisha haya!!! Msiongee tu!! Ambatanisha na ushahidi.
 
1. Kamati Kuu CHADEMA haijafanya uteuzi wa wabunge wa viti Maalum mpaka sasa

2. Hivyo hakuna orodha iliyopelekwa na Katibu Mkuu kwa NEC.

3. Tumedokezwa wanataka kughushi saini na orodha Tume ya Uchaguzi ifanye uteuzi haramu na Bunge likabariki.

By JJ MANYIKAView attachment 1621903
Ni maamuzi yenu na chama chenu, lakini tuliwashauri na tunawashauri mpeleke vichwa vyenu kwaajili ya chama chenu.
Ccm hawashindwi kuwaweka makada wao kwa jina la cdm.
Na hamtakuwa na la kuwafanya kwani hao wabunge watatumika sana kuwachafua nyie.

This time kutakuwa na kambi ya upinzani bungeni itakayokuwa ya ndiyooooo.
PELEKENI DEFENDERS WENU ENYI CDM.
 
Bwana Myika chama chetu sasa hivi kinahitaji mabadiliko makubwa kiuendeshaji, Kiu tawala, na kiorganisation. Hatutaki maneno na usanii. Nyinyi manapata pesa migongoni kwetu sisi tunaishi bila furaha kwa kukubali mapungufu bila kupaza sauti.

Muda wa kukaa kimya umekwisha the Elephant in the room ni mapungufu yetu wenyewe.
1) Tunakwenda kwenye uchaguzi hata picha ya Presidential Candidate hatuna nchi nzima.
2) Hatuna bajeti ya Mawakala nchi nzima, kila mgombea anajifanyia mambo yake anavyo ona yeye mwenyewe inafaa.,

Mambo mengine ya kichama ni vizuri kumalizana ndani kwa ndani. Lakini usijiaminishe kuwa tutaendelea kuunga mkono baadhi ya maamuzi ya kipumbavu ambayo tunaweza tukayabadilisha.

Mapungufu ni mengi mnoo. UNYUMBU LAZIMA UFIKE MWISHO.

Ungeweza kuandika huu utoto wako bila kujifanya mwanacdm, maana hakuna mwanacdm duwanzi wa sampuli yako. Ni kweli cdm inaweza kuwa na changamoto zake kama zilivyo taasisi nyingine zozote, lakini kilichotokea kwenye uchaguzi huu sio kwa sababu ulizotaja ww.

Uchaguzi huu umegubikwa na maagizo na matakwa binafsi ya rais aliye madarakani, kutokana na kiburi cha madaraka anayoyapata kupitia hii katiba mbovu inayamfanya rais ni Mungu.

Hizo namba moja na mbili zako, inabidi uziangalie kwa jicho la siasa za kichovu ndio uweze kuja na huo upuuzi ulioandika. Ni hivi, ule haukuwa uchanguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
 
Chadema ilipotea baada ya kumpa Mnyika ukatibu Mkuu huyu ni hopeless sasa CDM inajifia kifo cha mende
 
Andikeni barua rasmi kwa NEC na Bunge kudhibitisha haya!!! Msiongee tu!! Ambatanisha na ushahidi.

NEC ni sehemu rasmi ya huo wizi uwaandikie barua ya nini? Hao NEC wakati wa mchakato waliandikiwa barua nyingi lakini hakuna lolote la maana walifanya. Mahakama imeonyesha wazi kufanya kazi kwa kuhofia nguvu ya dictator.
 
CHADEMA ilikufa baada ya Dr slaa kuondoka Hawa wengine wanafanya siasa za majitaka na matukio kwa style hii watabaki kuwa chama Cha upinzani muda wote Ikulu wasahau
Soma hoja vyema na uielewe Kisha unaporeply majibu au mchango wako uendane na hoja iliyopo!
Hoja inahusu mapendekezo ya wabunge wa viti maalum na siyo kifo Cha cdm na kufufuka kwa Slaa! Elewa.
 
Chadema ilipotea baada ya kumpa Mnyika ukatibu Mkuu huyu ni hopeless sasa CDM inajifia kifo cha mende
Waweza kumlinganisha na Bashiru wenu? Leo hafai kwa kuwa maiumbua tume na mchakato wake wa kufoji? Ccm na nec yenu mnazidi kutia aibu!
 
Nilikuwa Wakala ilopofika saa 9 na nusu nilitolewa nikaambiwa naleta vurugu,na siku ya maandamano niliandamana


Hadi saivi na kesi ya kujibu mahakaman
Lazima ulileta vurugu kweli😀 si unaona hata maandamano uliambiwa uache ukakaidi🤨
 
Back
Top Bottom