Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Iloilo mnalolilia nyinyi kutokuwemo.
Umeuona kwenye comments zetu halafu tukibembeleza kuwepo huko bungeni? Kwenye hilo bunge kibogoyo cdm huenda kwa ridhaa ya wananchi na sio kwa mbeleko. Hii ndio sababu wakiwa humo hawana muda wa kumfagilia Yesu wa ccm. Hapa hatulili kwenda bungeni kwa hisani ya yesu kama walivyo wanaccm, bali tunataka maamuzi ya wananchi ya heshimiwe na sio kuchezewa na wahuni wa tume ya ubaguzi na vyombo vya dola.