Ndio ipo hivyo. Sijajua idadi halisi ya kura za chadema walizopata kwenye ubunge ila nahisi wanavuka 10%, hivyo wanaweza kuwa na wabunge wasiopungua 15.
Shida ilipo ni, majina ya wagombea viti maalum yalishapelekwa hivyo kinachofanyika ni sasa hivi kamati kuu kuamua katika yale majina ni kina nani wapite. Sasa inavyoonekana ni kama kuna watu wanatakiwa kupitishwa ilihali hawakugombea viti maalum
Wa kwanza viti maalum ambaye amepita ni halima mdee, sababu ya nafasi yake ya mwenyekiti bawacha. Hii nafasi unapata viti maalum moja kwa moja