Ndio maana wananchi wameacha kuwapigia kura baada ya kugundua CDM sio chama cha siasa ila ni saccos ya Mbowe na wenzakeTunawasaidia tu kazi, maana mliwapora kura, acha na hao viti maalum wasiende ili mpate nafasi zaidi. Wapeni hivyo viti wabunge wa NCCR, CUF, TLP nk, maana wao ndio hawana watu, lakini wanawalamba miguu ccm. Cdm msiende kwenye hilo bunge la ccm.
Kongole
Kama mtateua ni kwa faida yenu, na kama hamtoteua ni kwa hasara yenu wenyewe full stop!
Tulipowashauri CCM wafute vyama vingine ili wabaki peke yao hawakutuelewa wavumilie haya matokeo yajayo ambayo hakuna kati yetu ambae hataona machungu yake.Tume wanahangaika nini ?? Siwalitaka CCM ibaki peke yake bungeni?
Kwann usihamie kwa Biden mkuuNilidhani una akili kumbe Bure mno! Uchaguzi wa USA unaulinganisha na wa bongo? Kisha unashangilia wizi na kujitapa hapa! Isiwe unasaka uteuzi maana hutopata! Anzeni kutubu maana Bidden hanaga kuremba kwenye haki zinazominywa na kunyimwa! Jipangeni kweli na anzeni kutubu!
Potelea mbali wananchi watachangia chama,kwani chama wakati kinaanza kulikua na ruzuku mbona kipo hapa, chama ni Imani, na Imani ni watu na watu ni chama basiChadema kina umri wa miaka 28 tangu kiasisiwe na miaka 25 tangu wabunge wake wa kwanza waingie bungeni akina rip Ndesamburo, rip Kaborou, Dr Slaa nk.
Swala la kutotambua matokeo ya uchaguzi linaendana na chama kupoteza haki yake ya kupata ruzuku na zawadi ya viti maalumu vya wabunge wanawake kwa mujibu wa katiba na sheria.
Chadema wananchi tunataka kujua msimamo wenu ni upi?
Je, mmesamehe ruzuku?
Maendeleo hayana vyama!
kama kawaida yao CHADEMA kutoa pre emptive statements ili kuwapoteza wafuasi wao.Tumedokezwa wanataka kughushi saini na orodha Tume ya Uchaguzi ifanye uteuzi haramu na Bunge likabariki.
Mkuu usidhani CCM wana raha hapo walipo !!, nao wanahangaika na kuhofia vivuli vyao, nafikiri umeona jinsi ambavyo wameshindwa hata kushangilia kama ilivyokuwa chaguzi zilizopita huko nyumaTume wanahangaika nini ?? Si walitaka CCM ibaki peke yake bungeni?
Hivi Mkuu wewe huwa wakala wa nani hasa ???.Chadema kina umri wa miaka 28 tangu kiasisiwe na miaka 25 tangu wabunge wake wa kwanza waingie bungeni akina rip Ndesamburo, rip Kaborou, Dr Slaa nk.
Swala la kutotambua matokeo ya uchaguzi linaendana na chama kupoteza haki yake ya kupata ruzuku na zawadi ya viti maalumu vya wabunge wanawake kwa mujibu wa katiba na sheria.
Chadema wananchi tunataka kujua msimamo wenu ni upi?
Je, mmesamehe ruzuku?
Maendeleo hayana vyama!
Hizo CCTV camera zenu huwa haziwezi kuwaona watekaji na wauwaji kama wale waliomshambulia kwa risasi Tundu Lissu pale Dodoma 2017??kama kawaida yao chadema kutoa pre emptive statements ili kuwapoteza wafuasi wao.
Kiutaratibu majina yanatakiwa yafike Tume kabla ya uchaguzi,kumbukeni tu kule tume kuna cctv camera,mtu wenu wa despatch ataonekana tu mkikataa
Haki ya nani Wana mbinu za kitoto sana,halafu wao hawafikiri kabla yakutenda ,ila wanatenda ndio wanafikiri saa hizi wanahaha tu,maana bunge la sasa ni batili kabisa kwa mujibu wa katibaHawa watu ni vichaa, mwisho wa siku raia watawadharau na mitutu yao ya bunduki.View attachment 1621896
Hakuna cha kushangilia, unashangilia ujinga? Jiwe hakufikisha hata asilimia 30 ana cha kufurahi? Yeye aendelee kumtaja MUNGU kutwa mara 20 atakipata anachokitafuta.Mkuu usidhani ccm wana raha hapo walipo !!, nao wanahangaika na kuhofia vivuli vyao, nafikiri umeona jinsi ambavyo wameshindwa hata kushangilia kama ilivyokuwa chaguzi zilizopita huko nyuma
Hata Maalim seif aliwahi kususa lakini Zanzibar ilisonga mbele, acheni ubabaishaji
Lengo ni CCM wawe pekeyao bungeni kwanini mnahitaji wawepo wapinzani?CDM ndio mnazidi kupotea hamtaki kuwapa haki wadada wa CDM kupata viti maalumu kisa Mbowe amekosa ubunge
Hiki chama kina ubinafsi sana
mnachanganya vitu viwili tofauti jabisa, hapa point ilikuwa inaongelea Viti maalumu sio Wabunge wa kuteuliwa na rais zile nafasi 10Rais huwa anayeua watanzania mkuu. Vyama havihusiki kabisa ktk wabunge 10 wa rais. Kinachoangaliwa ni wawe watanzania 5 wanawake na 5 wanaume. Baaasi!
Wewe akili yako sawa na ya Magu.CHADEMA ilikufa baada ya Dr slaa kuondoka Hawa wengine wanafanya siasa za majitaka na matukio kwa style hii watabaki kuwa chama Cha upinzani muda wote Ikulu wasahau
Kama imekufa mbona mnaing'ang'ania ilete wabunge wa viti maalumu?CHADEMA ilikufa baada ya Dr slaa kuondoka Hawa wengine wanafanya siasa za majitaka na matukio kwa style hii watabaki kuwa chama Cha upinzani muda wote Ikulu wasahau
Ndio inataka ipeleke wana CCM kwa mgongo wa CDMTume wanahangaika nini ?? Si walitaka CCM ibaki peke yake bungeni?
Sio chadema tu hata hao CCM wako pale kwaajili ya chambichambituCHADEMA hawana ujasiri wa kukataa ruzuku, ni issue ya muda tu na kupanga maneno laini ya kuwalainisha.
ipo siku utaelewa umuhimu wakeKwani CHADEMA ndo kitu gani hapa nchini,kwani kabla ya mfumo wa vyama vingi bunge liliendeshwaje? Hawa CHADEMA hawafai siku zote watakuwa wanakula jeuri yao