Uchaguzi 2020 John Mnyika: CHADEMA haijakaa na Tume ya Uchaguzi(NEC) na haina mpango wa kuteua wabunge Viti Maalum

Uchaguzi 2020 John Mnyika: CHADEMA haijakaa na Tume ya Uchaguzi(NEC) na haina mpango wa kuteua wabunge Viti Maalum

Waliowaharibia ni wale waliotengeneza hizo kura fake, wakazipeleka kituoni, halafu wakazikamata, kisha wakazichoma moto na kugoma kupeleka malalamiko yao NEC
Kwahiyo Chadema walitengeneza kura feki halafu wakawapa polisi wawahifadhie?!

Nahisi mzazi wako alikuwa anakutandika sana ukiwa mtoto, sio kwa utundu huu!.
 
Mababiliko unayoyazungumzia ni yapi,kwasababu kwa akili za kawaida iko wazi kua cdm hawana shida bali shida iko kwa mshindani wao aliyerithi nchi toka kwa mkoloni.
 
Chadema hawana ujasiri wa kukataa ruzuku, ni issue ya muda tu na kupanga maneno laini ya kuwalainisha wahafidhina wao na mwishowe wa siku watapeleka majina ya Mahawara zao

Yes ni busura pia coz kama hawatapeleka means

Chama chao hakitasikika kwa miaka 5
 
Chadema hawana ujasiri wa kukataa ruzuku, ni issue ya muda tu na kupanga maneno laini ya kuwalainisha wahafidhina wao na mwishowe wa siku watapeleka majina ya Mahawara zao
Ruzuku? ...inahusianaje na special seats women?
 
Ndio ipo hivyo. Sijajua idadi halisi ya kura za chadema walizopata kwenye ubunge ila nahisi wanavuka 10%, hivyo wanaweza kuwa na wabunge wasiopungua 15.
Shida ilipo ni, majina ya wagombea viti maalum yalishapelekwa hivyo kinachofanyika ni sasa hivi kamati kuu kuamua katika yale majina ni kina nani wapite. Sasa inavyoonekana ni kama kuna watu wanatakiwa kupitishwa ilihali hawakugombea viti maalum
Wa kwanza viti maalum ambaye amepita ni halima mdee, sababu ya nafasi yake ya mwenyekiti bawacha. Hii nafasi unapata viti maalum moja kwa moja
Hii issue inaenda kuleta doa Chadema, now the best way ni kutochagua yeyote wa kumpeleka huko, hao wenye majina yaliyopelekwa wakafanye mambo yao mengine. Wakose wote.

Kuna mkono wa serikali kwenye hili, waliwaondoa bungeni kwa makusudi wale wabunge machachari wa Chadema (hasa wa kiume), halafu waje kuwaweka wabunge wanaotaka wao kwa njia ya viti maalum, Chadema hapa wasipoangalia wajue wanatumiwa na serikali.
 
Mbona kelele km zote mkuu. Kwani tatizo ni nini hapo. Uchaguzi umeisha, washindi wametangazwa. NEC wamefanya kazi yao vizuri kabisa na kupongezwa. Bunge la kijani ndilo lilikuwa takwa la msingi na limetimia. Sasa NEC kutuhumiwa kughushi , tena kwa niaba ya waliokataliwa na wananchi inakuwaje hapo? Nashauri bunge liendelee tu , kusiwe na mpango wowote wa kuteua wakwamisha maendeleo wa nchi hii kuvuruga Bunge letu tukufu. Kijani 99.9% ipo sawa. Tuachane na ulaghai .
You nailed it
 
Akili zako bado ni ndogo sana wewe.Inaonekana wewe ni mnufaika wa huu ujinga ndo maana unasema hivyo.ila kaa ukijua hii nchi itakuepo miaka mingi sana ijayo sasa angalia kizazi chako kisije kujuta kua na mzazi kilaza kama wewe.

Unaweza kuona akili zangu kuwa ndogo sababu ya uwezo mdogo wa kufikiri ulionao.

Kwa akili zako uliamini kile mlichokiita kuweka dhamana madini ya nchi hii kwa wale mabwana ili wawapatie pesa za kuendesha nchi nilikua na maslahi kwa vizazi vijavyo???

Hebu tumia akili zako zote kuwaza sawasawa buana unaniaibisha
 
Kwahiyo Chadema walitengeneza kura feki halafu wakawapa polisi wawahifadhie?!

Kwani zile kura walizihifadhi police au kwenye kituo cha wapiga kura?

Halafu uchaguzi mwingine usikubali kushikiwa akili hapa JF na tweeter, uaendage field ukawe wakala ili kushuhudia mnavyoshindwa😁😁😁
 
Ok, nimekupata, kumbe ni kura za ubunge jumla kwa majimbo yote ya ubunge nchi nzima, nilidhani ni kwa lile jimbo waliloshinda pekee.
Pole sana. You are too low
 
Unaposema unyumbu lazima ufike mwisho unamaanisha nini?.Kwasababu hizo sababu ulizozitaja wala hazikua na shida yoyote kwa yale yaliyotokea kwenye kituko cha uchaguzi uliofanyika.kila mwenye akili timamu anajua kilichofanyika na tatizo liko wapi na linasimamiwa nakutekelezwa na nani.Au wewe kwa akili zako unaona mambo yako sawa nchi hii na kushindwa kwa chadema nikwasababu ulizozitaja?.Hebu tuliza kichwa kisha utafakari kwa kina.

Sio kweli, zungumzia Majimbo mengine yawezekana sababu mimi sikuwepo. Lakini nilifuatilia Jimbo la Hai zaidi ya miezi 8 kabla ya uchaguzi. Siku tatu kabla ya uchaguzi nilikuwa Hai na Bi Mkubwa wangu kwao ni Lyamungo Sinde.

Nilitembelea kata zote za Jimbo la Hai kuanzia Kashinsha, Ivaery, Masama Kusini, Masama Magharibi, Ng'uni, Matikoni, Uroki, Nkira, Aishi, Nshana, Mamba,Kalali, Uraa, Kisiki, Nkoraya, Sonu, Kyeeri, Nkuu, Kisereni, Mwowe, Nkwarungo, Nkweseko, Matikoni. Vijiji 162 kwa hiyo ni eneo kwanza nalijua, na linanihusu.
Hakuna matayarisho yeyote ya maana ya kuonyesha Mwenyekiti anagombea Jimbo hili. Kuanzia party organisation within constituency mpaka mawakala.
Mgombea ameondoka bila kutayarisha nani anawalipa mawakala.
Hakuna mafunzo ya Mawakala na wamechukuli chukuliwa randomly wengine hata sio wana Chadema. Na Bwana Mkuba kajikata hata kuwalipa hakuna. Mawakala 35 kwa Lyamungo Sinde na Mwowe Msikitini na Nkwarungo nilipa mimi bila kutayarishwa, lakini haini sumbui ndio Ukamanda.
Mengine ni usanii tuu. Tuache tutavuana nguo tuu, hapa sio mahala pake.
 
Sio kweli, zungumzia Majimbo mengine yawezekana sababu mimi sikuwepo. Lakini nilifuatilia Jimbo la Hai zaidi ya miezi 8 kabla ya uchaguzi. Siku tatu kabla ya uchaguzi nilikuwa Hai na Bi Mkubwa wangu kwao ni Lyamungo Sinde.

Nilitembelea kata zote za Jimbo la Hai kuanzia Kashinsha, Ivaery, Masama Kusini, Masama Magharibi, Ng'uni, Matikoni, Uroki, Nkira, Aishi, Nshana, Mamba,Kalali, Uraa, Kisiki, Nkoraya, Sonu, Kyeeri, Nkuu, Kisereni, Mwowe, Nkwarungo, Nkweseko, Matikoni. Vijiji 162 kwa hiyo ni eneo kwanza nalijua, na linanihusu.
Hakuna matayarisho yeyote ya maana ya kuonyesha Mwenyekiti anagombea Jimbo hili. Kuanzia party organisation within constituency mpaka mawakala.
Mgombea ameondoka bila kutayarisha nani anawalipa mawakala.
Hakuna mafunzo ya Mawakala na wamechukuli chukuliwa randomly wengine hata sio wana Chadema. Na Bwana Mkuba kajikata hata kuwalipa hakuna. Mawakala 35 kwa Lyamungo Sinde na Mwowe Msikitini na Nkwarungo nilipa mimi bila kutayarishwa, lakini haini sumbui ndio Ukamanda.
Mengine ni usanii tuu. Tuache tutavuana nguo tuu, hapa sio mahala pake.
Wanaoumia ni wafuasi ila viongozi wa chadema mioyoni mwao wanajua kabisa wameshindwa kihalali na mazingira ya kushindwa waliyaruhusu wao wenyewe
Sasa wako busy kuiaminisha mitaji yao kwamba waliibiwa
 
Hii issue inaenda kuleta doa Chadema, now the best way ni kutochagua yeyote wa kumpeleka huko, hao wenye majina yaliyopelekwa wakafanye mambo yao mengine. Wakose wote.

Kuna mkono wa serikali kwenye hili, waliwaondoa bungeni kwa makusudi wale wabunge machachari wa Chadema (hasa wa kiume), halafu waje kuwaweka wabunge wanaotaka wao kwa njia ya viti maalum, Chadema hapa wasipoangalia wajue wanatumiwa na serikali.
At least now you are coming back to your senses
 
Imefahamika kuwa hadi sasa hakuna kikao chochote kilichoketi kati ya Kamati Kuu ya Chadema na Tume ya uchaguzi, na hadi sasa hakuna majina yeyote ya viti maalumu yaliyopelekwa NEC.

Leo serikali ya CCM na NEC wanahaha kufoji saini ya Katibu Mkuu Chadema ili tu wawe na angalau wabunge wa upinzani bungeni, kama walijua hilo kwanini walikuwa wanawaengua.

CCM na serikali yake hawakujua kabla madhara ya kubaki peke yao bungeni kuwa hata wafadhili wa bajeti yetu WB, IMF, EU huangalia kwanza maoni ya kambi ya upinzani ndipo wachangie kiasi gani.

Jambo la msingi ni kuwa Chadema imeshalitambua hilo inasimamia msimamo wake wa kutoyatambua matokeo, na wote watakaoingia bungeni kwa tiketi ya Chadema iwe kwa kufoji au kuhongwa watambue watafutwa uanachama na watakuwa wabunge wa mahakama, na hilo halitakuwa tukio la kwanza kufanywa na Chadema.
 
Kwani zile kura walizihifadhi police au kwenye kituo cha wapiga kura?

Halafu uchaguzi mwingine usikubali kushikiwa akili hapa JF na tweeter, uaendage field ukawe wakala ili kushuhudia mnavyoshindwa[emoji16][emoji16][emoji16]
Ungejua nilichafua kidole changu kwa ule wino wenu, usingesema hivyo.
 
Back
Top Bottom