John Mnyika: Kiongozi wa CHADEMA Mzee Ali Mohamed Kibao, adaiwa kushushwa kwenye Basi na kuchukuliwa na watu wasiyojulikana

John Mnyika: Kiongozi wa CHADEMA Mzee Ali Mohamed Kibao, adaiwa kushushwa kwenye Basi na kuchukuliwa na watu wasiyojulikana

Hii ndio Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu, John Mnyika kupitia ukurasa wake rasmi wa Mtandao wa X (Twitter)
---
John Mnyika kupitia ukurasa wake rasmi wa Mtandao wa X (Twitter) anaripoti:

Nimetaarifiwa usiku huu kuwa Mzee Ali Mohamed Kibao Mtaalamu katika Sekretariati CHADEMA amechukuliwa na watu walijitambulisha kuwa ni polisi(bila uniforms).
Walizuia basi la Tashrif alilokuwa amependa kutoka DSM kwenda Tanga kwa gari za kawaida wakaingia na kumfunga pingu.
Tunaendelea kufuatilia kupata taarifa kamili ikiwemo wamempeleka wapi. Nimetoa taarifa hii ya awali ili iwapo kuna yoyote alikuwepo kwenye basi au ana taarifa zozote kuhusu alipopelekwa atupatie au kutupa ushirikiano wa haraka.


 
Mtaalamu wa nini? Kamati ya ufundi? Maana kama ni Tanga line......
 
Hii ndio Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu, John Mnyika kupitia ukurasa wake rasmi wa Mtandao wa X (Twitter)
---
John Mnyika kupitia ukurasa wake rasmi wa Mtandao wa X (Twitter) anaripoti:

Nimetaarifiwa usiku huu kuwa Mzee Ali Mohamed Kibao Mtaalamu katika Sekretariati CHADEMA amechukuliwa na watu walijitambulisha kuwa ni polisi(bila uniforms).
Walizuia basi la Tashrif alilokuwa amependa kutoka DSM kwenda Tanga kwa gari za kawaida wakaingia na kumfunga pingu.
Tunaendelea kufuatilia kupata taarifa kamili ikiwemo wamempeleka wapi. Nimetoa taarifa hii ya awali ili iwapo kuna yoyote alikuwepo kwenye basi au ana taarifa zozote kuhusu alipopelekwa atupatie au kutupa ushirikiano wa haraka.

Watasema jeshi la polisi lilizuia mikusanyiko bila kibali, humo ndani ya basi alikutwa na watu wengine 65 wakitaka kufanya mkutano.
Jeshi la polisi halitavumilia uvunjifu wa amani.
 
Kwa mujibu wa katibu amesema Amechukuliwa hajatekwa hivyo tutulie vyombo husika vitatupa taarifa kamili
Ingelikuwa ni wa ccm taarifa ingelitoka hiyohiyo jana,ila kwa,vile waliofanya hivyo ni policcm na mlengwa ni kiongozi wa chadema hakuna chombo kitakachofanya hayo.
 
Hii taarifa yako ina uhusiano gani na taarifa iliyo wekwa kwenye mada?
Kwa kweli nadhani wewe unafanya kazi isiyo kuwa ya kibinaadam na kiungwana kabisa!
Taarifa yako unaiweka kwenye mada hii kwa sababu zipi hasa?
Hebu jaribu kujifikiria tu, wewe ni mtu mzima, hata kama utakuwa una changamoto kichwani!!
Fikiria kidunia zaidi

Ikiisha Teka Teka inakujaga chomachoma Shule we meku

Uwage mbele ya wakati meku 😂😂
 
Hii ndio Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu, John Mnyika kupitia ukurasa wake rasmi wa Mtandao wa X (Twitter)
---
John Mnyika kupitia ukurasa wake rasmi wa Mtandao wa X (Twitter) anaripoti:

Nimetaarifiwa usiku huu kuwa Mzee Ali Mohamed Kibao Mtaalamu katika Sekretariati CHADEMA amechukuliwa na watu walijitambulisha kuwa ni polisi(bila uniforms).
Walizuia basi la Tashrif alilokuwa amependa kutoka DSM kwenda Tanga kwa gari za kawaida wakaingia na kumfunga pingu.
Tunaendelea kufuatilia kupata taarifa kamili ikiwemo wamempeleka wapi. Nimetoa taarifa hii ya awali ili iwapo kuna yoyote alikuwepo kwenye basi au ana taarifa zozote kuhusu alipopelekwa atupatie au kutupa ushirikiano wa haraka.

DC aliyefukuzwa vipi karudi kwenye mapori yake ?
 
Hii ndio Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu, John Mnyika kupitia ukurasa wake rasmi wa Mtandao wa X (Twitter)
---
John Mnyika kupitia ukurasa wake rasmi wa Mtandao wa X (Twitter) anaripoti:

Nimetaarifiwa usiku huu kuwa Mzee Ali Mohamed Kibao Mtaalamu katika Sekretariati CHADEMA amechukuliwa na watu walijitambulisha kuwa ni polisi(bila uniforms).
Walizuia basi la Tashrif alilokuwa amependa kutoka DSM kwenda Tanga kwa gari za kawaida wakaingia na kumfunga pingu.
Tunaendelea kufuatilia kupata taarifa kamili ikiwemo wamempeleka wapi. Nimetoa taarifa hii ya awali ili iwapo kuna yoyote alikuwepo kwenye basi au ana taarifa zozote kuhusu alipopelekwa atupatie au kutupa ushirikiano wa haraka.

 

Attachments

  • IMG-20240906-WA0029.jpg
    IMG-20240906-WA0029.jpg
    169.7 KB · Views: 1
Hivi basi zima hakukuwa na BAVICHA? Kuna haja ya chadema kukopa falsafa ya jino kwa jino kutoka CUF.
Mama yenu si anaupiga mwingi?

Kwanza mnatekwa kwani Magufuli bado yupo?
 
Ujitokeze ww ili umfanye mfano kwa wengine.
Mkuu mamayo huyu anaupiga mwingi!
Siyo dhalimu kabisa!
Mungu amewafuta machozi, hao watu wantekwa na Magufuli
 
Ila wabongo sisi ni makondoo sana. Yaani pamoja na hali ya utekaji bado basi zima mnaweza kuruhusu mwenzenu achukuliwe na watu katika mazingira yasiyoeleweka?!

Mimi ndio maana husema kwa wananchi hawa tulionao hakuna haja ya kuwapambania. Unawapiganiaje watu ambao wao hawawezi kukupigania hata kwenye mazingira ya kawaida.
Nchi ya Wasiojitambua
 
Nikikumbuka mbwembwe za Chadema walivyo mpokea Samia wakati anaingia madarakani na kumpa tuzo juu;nachoka mimi!
 
Huu sasa ni ujinga.. basi linasimamishwa, mtu amafungwa pingu na watu wenye nguo za kiraia yeye anakubali tu? Abiria nao wanakubali tu?

Juzi dereva wa basi kauwawa huku abiria wake wakirekodi video wamekubali tu?

Watanganyika kwa ukondoo huu ni haki yenu kufanyiwa yanayofanywa na wenye mamlaka. Huu ni ujinga sio upole wala woga.
Hali inatisha. ....Nyumba nyeupeee kimyaaa!
 
Back
Top Bottom