John Mnyika: Kiongozi wa CHADEMA Mzee Ali Mohamed Kibao, adaiwa kushushwa kwenye Basi na kuchukuliwa na watu wasiyojulikana

Sasa watuchukuaje mtu kwenye basi halafu abiria wako mle mle? Na wamiliki wa basi wapo? Kwanini wasingeongozana mpaka kituo cha polisi ndio wakamuacha hapo? Kuna uwezekano watu wanatumia kivuli cha polisi kufanya utekaji na kulichafua jeshi la polisi.
 
Inashangaza sana
 
Huyu mzee picha yake haipo popote...?
 
Ngoja tusubiri labda polisi wameanzisha huduma ya kupokea watu kwenye vituo vya mabasi.
 
Wabadili mbinu!

Haiwezekani mtu mmoja anaumiza taifa Zima kwa kunyamazia wasiojulikana!
 
Fikiria kidunia zaidi

Ikiisha Teka Teka inakujaga chomachoma Shule we meku

Uwage mbele ya wakati meku 😂😂
Unasikitisha sana 'john'.
Wakati mwingine unaonekana kuwa kama mtu mwenye akili nzuri tu, na mtu mwenye kujuwa historia nzuri ya nchi hii; lakini mara moja bila kutabirika akili hiyo hiyo inabadilika na kuwa kama ya kichizi!

Mtu mzima, wa makamo sana; kama siyo mzee, utakuwaje na akili za aina hii?

Sasa kwa mfano angalia hayo uliyo andika hapo juu kama kuhalailisha ukichaa ulio kuingia ulipo weka habari tofauti kabisa na mada husika hapa.
WaTanzania kutekwa siyo jambo la kufanyia mzaha hata mara moja. Hata kama ni tofauti za kisiasa, hili haliwezi kamwe kuwa jambo la kufanyia dhihaka.

Niseme tu, unanisikitisha sana kuliko kunikasirisha.
 
Hajawahi kuwa na akili nzuri, Ni hivi hakuna Mwanaccm Mwenye akili nzuri
 
Chadema kwa kudeka, hivi makamanda wa wapi nyie
 
..Mnyika amesema Ali Mohammed Kibao, kiongozi wa Chadema, amekamatwa akiwa ktk basi la Tashrif la kutoka Dsm kwenda Tanga.

..bila shaka kuna wafanyakazi wa basi hilo, pamoja na abiria, wanaoweza kutoa taarifa zaidi kuhusu kilichotokea.
Hapo sasa!
 
Hajawahi kuwa na akili nzuri, Ni hivi hakuna Mwanaccm Mwenye akili nzuri
Hapana.

Mimi siamini hivyo hata mara moja.
Kuna waTanzania wengi sana ndani ya CCM ambao hawakubaliani na mambo ya namna hii; na uongozi wa hovyo kama huu.
 
mtu una dola una kila kitu bado unaogopa watu ambao hawana dola kisa maneno. afrika bado sanaaa ni dunia ya kima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…