John Mnyika: Mambo CHADEMA tuliyozungumza na wenzetu wa CCM

Ona sasa SIASA haina uadui wa kudumu..hata sisi humu JF, wanazi wa sides zote kwanini tusifanye maridhiano? hivi tunagombania nini kwanza kwa faida ya nani.
 
Political giants kwa sasa JF hii ni CCM, CHADEMA NA SUKUMA GANG, fanyeni mauridhiano kuunga mkono maridhiano yanayoendelea..sabaya kuwa bailed out ni sehemu ya maridhiano pia na bado.
 
Kweli mwanasiasa ni mtu wa ajabu!!

Yote mliyojadili hasa ni ya miaka 6 iliyopita kuendelea kumchafua hayati ilihali mlilia hata kabla ya awamu ya 5 ila sa hivi mmeona hawezi kujitetea basi ni kama jalala mnatupa tu takataka, wafungwa wa kisiasa waachiwe huru. Mmeona wao ndo wanastahili kuwa huru hata kama walivunja sheria za nchi. Ko hali ya siasa ilikuwa njema before miaka 6 iliyopita. Kwa hiyo mnataka serikali iwalinde walioko uhamishoni na akitokea kibaka kawakaba muanze ugomvi kwa serikali.
 
Mbowe na Mnyika wapo Ikulu, Ndugai na genge lake wapo Kongwa
Wengine mishahara inaflow ila mwingine anavizia kahawa ikulu. Mwanaume wa kweli hatetereki acha litulie kongwa wa maridhiano ahudhurie ikulu, hivi documents za chadema taifa mnatunzia wapi maana naskia hamna ofisi za chama😁.
 
Mkataba wa kwanza aliosaini Mbowe mara ya kwanza Ikulu akiwa peke yake na Rais ni kuheshimiana

hizo lugha za kuita ma ccm wamebaki nazo Wakimbizi waliopo Ubelgiji na Canada

wa Tanzania wote ni ndugu na ndio sababu neno 'Wenzetu' alilotumia Ndugu John Mnyika ni neno Mujarrab kabisa
... "wenzetu" wa CCM? Hilo neno halijakaa sawasawa.
 
Kama nilivyosema ni mapema mno kutumia hiyo lugha given the experience with matendo ya CCM. Wanakuchekea lakini mioyoni wamejaa roho mbaya ya uuaji; uzoefu siku zote umeonesha hivyo.
 
Hongera Chadema, hongera Mnyika John John. Agenda zenu zimeshiba. Hata msipofanikisha zote, huo ni mwanzo mzuri.Muhimu mmedhihirisha kwamba nyie ni chama kikuu cha upinzani Tanzania na mnajitambua. Mmeweka mitego vizuri politically. Hiyo ndio siasa hai. Tanzania kwanza. Kila wakati. Hongera sana Rais kwa kusoma vyema alama za nyakati. Huo ndio uongozi sahihi. Tanzania kwanza.
 
Sasa mnazungumza na CCM wakati nyie nyote ni vyama vya siasa. Mnampaje tena madai yenu atekeleze ambapo wao ni wapinzani wenu kisiasa? Mnadhani watakupeni upendeleo ili muwe na upper hand?
 
... "wenzetu" wa CCM? Hilo neno halijakaa sawasawa.

Wote ni waTanzania, ni vyama vya siasa, ni wanaotofautiana!! “Wenzetu” haina maana ya kuwa wa aina moja au wanaofanana!!

Lakini kiukweli kabisa CCM na Chadema na hata vyama vingine wana mambo mengi yanayofanana kuliko wanayotofautiana!!
 
Maisha ni Dunia, alisikika siku moja akisema Askari mtoeni huyo Mara moja.Askari wakawa wanalinda heshima ya mbunge.Ndugai nyie ni askari kweli,toeni nje huyo.Meza pwapwapwaaaaaa.
"Mimi siyo wa mchezomchezo" watu huwa wananikadiria.
Ndugai ni kichaa ndiyo maana hospitali ya Mirembe ipo Dodoma
 
nakuonyesha tu hao unaowaabudu walivyo vinyonga hasa mbowe linapokuja suala la hela aisee ni noma ona sasa hivi kishaanza kuwafokea msiitukane serikali
You are too past Late
 
Mkuu
Hayo ni maandalizi ya serikali mseto!!!
TUSUBIRI
 
Great Words From Great Men
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…