John Mnyika, Sio rahisi CHADEMA kuendelea kuwa chama kikuu cha upinzani na kinachochochea maendeleo bila kuzingatia haya

John Mnyika, Sio rahisi CHADEMA kuendelea kuwa chama kikuu cha upinzani na kinachochochea maendeleo bila kuzingatia haya

Huu ushauri ni hatari kwa Chama Chetu cha Mapinduzi, kwa nini watu wanapenda CHADEMA ifanikiwe wakati hawatoi ushauri huu kwetu CCM ili tufanikiwe zaidi na zaidi?

Sioni sababu ya kutoa ushauri mwema kwa CHADEMA wakati huyu mtu angetuletea huu ushauri kwa CCM kuwa boresheni bei ya mazao, wafanyakazi wapandishwe mishahara, kuondoa Gaps baina ya Mtumishi wa Taasisi A na B wanaofanya Kazi zinazofanana na wenye elimu sawa;
Yesu aliwahi kusema kwamba sio vema Chakula cha Watoto kupewa Mbwa------hapa alikuwa anamjibu Mwanamke Mkananayo aliyetaka uponyaji wakati yeye sio Myahudi;

Kwa hiyo basi watu wengine wakiwepo akina Pascal Mayalla waache kukishauri CDM badala yake walete huo ushauri kwa Chama Cha Mapinduzi ili kiweze kufanya bora zaidi kwa ajili ya wananchi wetu wote wakiwepo CDMACTCUFUDPNCCR
CCM haiwezi kuwa Bora bila kuwa na upinzani imara
 
Huu ushauri ni hatari kwa Chama Chetu cha Mapinduzi, kwa nini watu wanapenda CHADEMA ifanikiwe wakati hawatoi ushauri huu kwetu CCM ili tufanikiwe zaidi na zaidi?

Sioni sababu ya kutoa ushauri mwema kwa CHADEMA wakati huyu mtu angetuletea huu ushauri kwa CCM kuwa boresheni bei ya mazao, wafanyakazi wapandishwe mishahara, kuondoa Gaps baina ya Mtumishi wa Taasisi A na B wanaofanya Kazi zinazofanana na wenye elimu sawa;
Yesu aliwahi kusema kwamba sio vema Chakula cha Watoto kupewa Mbwa------hapa alikuwa anamjibu Mwanamke Mkananayo aliyetaka uponyaji wakati yeye sio Myahudi;

Kwa hiyo basi watu wengine wakiwepo akina Pascal Mayalla waache kukishauri CDM badala yake walete huo ushauri kwa Chama Cha Mapinduzi ili kiweze kufanya bora zaidi kwa ajili ya wananchi wetu wote wakiwepo CDMACTCUFUDPNCCR
CCM watakuwa Bora iwapo upinzani utakuwa makini Basi. Upinzani ukilegalega CCM itakuwa goigoi
 
Ukosefu wa tume huru NI dosari kubwa kwa taifa. Lakini kwanini nihangaike kushauri kitu kigumu kufanyiwa Kazi na sio kitu Muhimu kwa upinzani kufanya kuelekea uchaguzi usio huru. Upinzani unaitaji watu kuliko tume. Watu wote wakiwaelewa hakuna tume au police watakaoweza kuwazuia. Wajenge hoja za kutatua kero ata poliice na mahakama Wanatakiwa upande wao.
Hizo ni bla bla tu,baadhi ya yanayotendeka sasa ni kutokana na msukumo au nguvu kubwa ya upinzani imara ukiongozwa na CDM.Elimu bure,mafisadi n.k zilikuwa moja ya agenda ya CDM katika kampeni za 2010.Chama tawala imezichukuwa agenda hizo na kuzitekeleza(ambalo ni jambo jema) kwa kuwa waliona zilieleweka kwa wananchi.Japo inawezekana mkakati wa utekelezaji wa agenda hizo hauwezi ukawa sawa na walio ziasisi.
 
Hizo ni bla bla tu,baadhi ya yanayotendeka sasa ni kutokana na msukumo au nguvu kubwa ya upinzani imara ukiongozwa na CDM.Elimu bure,mafisadi n.k zilikuwa moja ya agenda ya CDM katika kampeni za 2010.Chama tawala imezichukuwa agenda hizo na kuzitekeleza(ambalo ni jambo jema) kwa kuwa waliona zilieleweka kwa wananchi.Japo inawezekana mkakati wa utekelezaji wa agenda hizo hauwezi ukawa sawa na walio ziasisi.
Iyo ilikuwa Chadema ya 2010, tunataka ya Sasa ifanye Kazi kwa Kasi ZAIDI sio kujipigania wao tu
 
Haitatokea mchagga akamate nchi haki yanani. Kwanza nyie ni wachochezi, wadini, ukabila. Japo ccm wana udhaifu wao lakini sio kama chaddema, yani haifai kwa usalama wa taifa hili

Ni heri CUF NA ACT waungane kiwe chama kimoja hapo sawa, lakini sio chadema.
Kwa upimbi wako lazima uwaze hivyo...ccm imeshaungana na Nccr cuf na tlp...tukutane October...sisi ni watu wa kusonga mbele tu
 
Huu ni waraka wazi kwa John Mnyika Kama katibu mkuu mpya wa CHADEMA, Katika mazingira yaliyopo kunakitu Chadema kimekosa na kinaitaji marekebisho kadhaa ili kwa uwazi kionekane ni chama Cha kuwasemea watu na sio kukosoa tu na hivyo kuonekana ni chama adui kwa jicho la usalama na ustawi wa nchi

Kuna vitu vitatu muhimu CHADEMA inapaswa kuchukua hatua ili kuwa chama chenye nguvu zaidi.

1. Kiache kuwa chama Cha kupiga majungu au kutoa ukosoaji au propaganda Bali kiwe NI chama kinachoweza kutoa na kuzitangaza Sera zake mbadala bila kukashifu au kutukana mtu.

Wanao wajenga Sera wazuri, pia watumie wataalamu kuona namna Bora ya kusimama na kueneza Sera zao vizuri. Sera zao zikiwa wazi, nzuri na zinazoeleweka kunakuwa hakuna haja ya kuwa na akina kigogo au kimambi hakika chama kitajitangaza chenyewe.

2. Kiwe na majibu ya kero za watu sio kulalamika bila kuweka suluhisho wazi. Lazma waoneshe watu vipi wanaweza kuongoza, Mfano kwenye swala la kikokotoo ni busara za Bulaya na Mnyika kutoa hoja bila kutukana Wala kukashifu ziliwasaidia wastafu kwani Raisi aliwasikia na kuchukua hatua.

Unapokuwa chama pinzani lazma ufurahie matatizo ya watu yakitatuliwa kupitia Kazi yako ya siasa na sio kufuraia watu kuumia ukijipa moyo eti ni mtaji wa kisiasa. Pamoja na matatizo mengi kufanyiwa Kazi lkn upinzani umekua Sana nchi za Magharibi sababu vyama vinajitangaza kwa Sera Safi. Sikufuraia kabisa jinsi mdee alivyozifunga hoja za umuhimu ya watoto wa kike kuendelea na masomo kwenye furushi la kashfa, zarau na kejeri kisa tu anaamini havunji Sheria

3. Kije na majibu ya kero zote za watu, Nchi zinazoendelea ata Kama kiongozi akiwa mzuri vipi kero hazikosekani na NI nyingi mno. Cha kushangaza CCM kimekuwa aware na kero na kujua maisha ya watu kuliko ata upinzani. Bei ndogo ya mazao, mifumo mibovu ya ununuzi mazao,Bei Kali za viwatilifu,pembejeo na mbegu.

Haiwewezekani Bei ya kg moja ya mbegu ya mahindi iwe ZAIDI ya Bei ya debe mbili au kg 40 za mahindi. Mnakuja na wazo gani hapo. Inakuwaje land Locked country Kama Uganda kuwa na Bei nzuri ya bidhaa za viwandani kutoka nje, Bei juu ya mazao Kama kahawa Hadi watanzania tuna karibu kupeleka kwao kimagendo. Nje na utafiti NI kwanini iko ivyo na mtabadili vipi Mambo....

4. Msije na Sera kwenye misaafu watanzania hawawezi kusoma misaafu. Andaeni vijarida vyenye maelezo machache na picha. Fanyeni Kama wamisionari walivyoandaa vijitabu v na vijarida vya hadithi za biblia ili watu ziwafikie kila Kona. Mfano mnaweza kuandaa vijarida vidogo Kama Ishirini tofauti vyenye vipande vya Sera kwenye kundi Fulani la watu.

Mfano watumishi wa umaa, wafanyakazi sekta binafsi, Wakulima wa mazao tofauti Kama pamba, tumbaku, kahawa, Michele, mahindi, korosho, choroko,alizeti. Mfano Chadema na Wakulima wa pamba, Mnaonesha kero zao,mfano kuanza kukopwa, urasimu wa ushirika, viwatilifu kuwa Bei juu na mbegu Bora. mlichopanga kuwafanyia kuondoa kero mfano Bei ya pamba kutajwa kabla ya kuanza kulima, kugawa viwatilifu na mbegu bure kwa kufidia kwenye tozo, kuruhusu wanunuzi huru bila kulazmisha ushirika, (Nasisitiza utafiti NI kitu Cha msingi hapa) na kuzitatua na kuzigawa sehemu wanakolima pamba.
Vijarida hivyo viwe huru kupigwa kopi na kugawiwa watu husika. Napenda upinzani unaoanika Sera sio mivutano kila siku.

5. Cha mwisho na muhimu kuliko vyote jaribu kuepuka hasira na visasi kwenye kampeni na kuhakikisha wagombea wenu ata moja hakatwi. Ukiongozwa na hasira Huwezi kufanya lolote.

Naamini kinachoweza kuwabeba sad NI Sera Safi na namna Bora ya kuzifikisha kwa walaji kwa kuzingatia Hali halisi.

Labda mjiulize kwenye utawala wa makaburu Mandela aliweza vipi kutoacha ajenda yake ya kupigania usawa. Unazani angeongozwa na hasira angehubiri Nini dhidi ya wazungu. Labda angehamasisha wazungu wachinjwe. Lakini hakuongozwa na hasira katu. Ata wazungu waliposikia hotuba zake walimuelewa vizuri. Au mnajifunza Nini kupitia kwa Martin Luther King kiongozi wa waafrika Marekani. Je aliweza vipi kutoa hoja za kudemaand usawa bila kuchochea chuki. Kwa speech alizokuwa akitoa aliwavuta adi wazungu kwa asilimia kubwa. Wazungu waliamini angeweza kuwa ata Raisi wa Marekani. Kwenye mazingira ambayo watu weusi walikuwa wakinyanyasika kabisa. VIP Luther aliweza kuzuia chuki zake na hasira zdhidi ya wazungu.
Unapokuwa unajitahidi kutafuta Lungu linalotumika kukupiga Kwanza usiwe na dhamira ya kutumia Lungu Hilo kuja kufanya kisasi, pili lazma uoneshe wazi kuwa huna Nia ya kuja kukomoa mtu. Lazma Chadema ioneshe viongozi wa CCM hasa maraisi wastafu Yani walioshika
Rungu watakuwa salama na kuheshimiwa
mno kipindi wao wakiingia madarakani.
mrejesho oktoba.
 
Issue mleta mada anampigia mbuzi gitaa.Hayo aliyoshauri chadema wameshauriwa Sana wakaziba pamba masikioni.Sasa watakumbuka shuka wakati kumekucha?

Chadema kilikuwa na agenda wakati wa Do slaa na kilijipambanua wazi kuwa chenyewe agenda Yao moja tu kupambana.na mafisad was pesa za ndani na nje.Kikajijenga wananchi wakakielewa.Slaa kuondoka chama.kikapoteza dira Sasa hivi imekuwa kinyume CCM ndio inapambana na mafisadi Chadema ndio.mtetea mafisadi na hawaeleweki hata wanasimamia Nini

Uroho wa kutaka Kuingia ikulu harakw haraka Waka absorb mafisadi kwenye chama ,uliwaponza hawajui kuwa ile Ni process ndefu inayotaka chama kiwe focused kwenye agenda inayokubalika na wengi kwa muda mrefu .Agenda ya kupambana na ufisadi ilikuwa sahihi wange stick Hapo hapo sababu ndipo papowapa political mileage na kukubalika na wananchi.CCM imebeba hiyo agenda wamebaki watupu hawaelewi hata pa kusimamia .Ufisadi umebski ndani ya chama Mbowe anatuhumiwa kulsmba bilioni nane!!! Moral authority ya kukemea Ufisadi Hakuna!!!

Stability ndani ya chama hamna , demokrasia.hamna watu wakiondoka yanatolewa majibu rahisi ohh wamenunuliwa na CCM !! Sasa wameanza kutimukia NCCR hawaelewi wasemaje!! Chama kinavyopukutika wao wanasema chadema Bado imara!!

Hiki chama kilijitaji sura mpya kukirudisha enzi za dk slaa kinaenda kuwafia akina Mbowe mikononi mwao na halima mdee wake
CCM imepambana na ufisadi upi? Hebu thibitisha? CCM sasa kuna ufisadi mkubwa haujawahi kutokea. Najua ufisadi unaofanyika sasa pengine utakuja kuwa wazi zaidi baadaye. Kumekuwa na nguvu kubwa ya kudhibiti media ili mambo haya yasiwe hadharani, lakini hayatazuiwa muda wote milele. Takukuru kila siku inawakamata watia nia ndani ya CCM wakipeana rushwa, huu nao ni ushahidi mwingine kwamba ndani ya CCM rushwa ni ibada! Kuitenga CCM na ufisadi nao ni ufisadi. Kinachotokea ni makelele ya majukwaani yanayobadili fikra za watu wanaofikiri polepole!

Mnapenda sana kumtumia Dk. Slaa mnapoizungumzia Chadema, na kuonyesha kuwa baada ya kuondoka imeyumba na kwamba angekuwepo yeye ndipo ingezidi kuimarika. Hii ni hoja ya kichovu, na inaweza kutolewa na mtu anayefikiri polepole. Mazingira ambayo Chadema imepitishwa na serikali hii ya wamu ya tano, ni kukosa uzalendo kutowapongeza viongozi wake akiwemo Mbowe. Niliwapowaona wakiimba 'tumeuona mkono wa Bwana!' baada ya Bunge kuahirishwa hivi karibuni, mimi pia niliiitikia kile kibwagizo. Ni kweli Chadema wameuona mkono wa Bwana. Hivi kwa mfano, Dk. Slaa na mkewe wangeweza kuvumilia madhila ambayo Mbowe na familia yake wamekumbana nayo katika utawala huu wa mkono wa chuma? Kanitafutie jibu!

Tuhuma zako dhidi ya Mbowe kulamba bilioni nane, sijui msingi wake ni nini? Najua ni tuhuma zilizotolewa na akina Lijuakali baada ya kufurushwa, lakini angalau mimi na wewe tunafahamu kwamba Chadema ni taasisi ambayo ipo chini ya uangalizi wa vyombo vya serikali, akiwemo CAG. Je, tumwamini Lijuakali tuanze kujadili tuhuma anazozitoa? BTW, baada ya Bunge kumalizika Lijuakali anaendelea kulia?

Mwisho unadai Chadema inapukutika? Na bila shaka unatumia sample za akina Lijuakali, Silinde, Wilfred Rwakatare, Selasini,....endelea kuhesabu. Kwenye chama wenye nguvu sio hao akina Lijuakali ambao kila mtu ahata mjinga, alijua nini wanatafuta. Mwisho wa siku wajinga kati ya viongozi wa Chadema na watu akina ya Lijuakali wataonekana. lakini kikubwa ni kwamba, Chadema kina watu wengi kuliko unavyofikira, kampeni zikianza naomba tukutane hapa!
 
Huu ni waraka wazi kwa John Mnyika Kama katibu mkuu mpya wa CHADEMA, Katika mazingira yaliyopo kunakitu Chadema kimekosa na kinaitaji marekebisho kadhaa ili kwa uwazi kionekane ni chama Cha kuwasemea watu na sio kukosoa tu na hivyo kuonekana ni chama adui kwa jicho la usalama na ustawi wa nchi

Kuna vitu vitatu muhimu CHADEMA inapaswa kuchukua hatua ili kuwa chama chenye nguvu zaidi.

1. Kiache kuwa chama Cha kupiga majungu au kutoa ukosoaji au propaganda Bali kiwe NI chama kinachoweza kutoa na kuzitangaza Sera zake mbadala bila kukashifu au kutukana mtu.

Wanao wajenga Sera wazuri, pia watumie wataalamu kuona namna Bora ya kusimama na kueneza Sera zao vizuri. Sera zao zikiwa wazi, nzuri na zinazoeleweka kunakuwa hakuna haja ya kuwa na akina kigogo au kimambi hakika chama kitajitangaza chenyewe.

2. Kiwe na majibu ya kero za watu sio kulalamika bila kuweka suluhisho wazi. Lazma waoneshe watu vipi wanaweza kuongoza, Mfano kwenye swala la kikokotoo ni busara za Bulaya na Mnyika kutoa hoja bila kutukana Wala kukashifu ziliwasaidia wastafu kwani Raisi aliwasikia na kuchukua hatua.

Unapokuwa chama pinzani lazma ufurahie matatizo ya watu yakitatuliwa kupitia Kazi yako ya siasa na sio kufuraia watu kuumia ukijipa moyo eti ni mtaji wa kisiasa. Pamoja na matatizo mengi kufanyiwa Kazi lkn upinzani umekua Sana nchi za Magharibi sababu vyama vinajitangaza kwa Sera Safi. Sikufuraia kabisa jinsi mdee alivyozifunga hoja za umuhimu ya watoto wa kike kuendelea na masomo kwenye furushi la kashfa, zarau na kejeri kisa tu anaamini havunji Sheria

3. Kije na majibu ya kero zote za watu, Nchi zinazoendelea ata Kama kiongozi akiwa mzuri vipi kero hazikosekani na NI nyingi mno. Cha kushangaza CCM kimekuwa aware na kero na kujua maisha ya watu kuliko ata upinzani. Bei ndogo ya mazao, mifumo mibovu ya ununuzi mazao,Bei Kali za viwatilifu,pembejeo na mbegu.

Haiwewezekani Bei ya kg moja ya mbegu ya mahindi iwe ZAIDI ya Bei ya debe mbili au kg 40 za mahindi. Mnakuja na wazo gani hapo. Inakuwaje land Locked country Kama Uganda kuwa na Bei nzuri ya bidhaa za viwandani kutoka nje, Bei juu ya mazao Kama kahawa Hadi watanzania tuna karibu kupeleka kwao kimagendo. Nje na utafiti NI kwanini iko ivyo na mtabadili vipi Mambo....

4. Msije na Sera kwenye misaafu watanzania hawawezi kusoma misaafu. Andaeni vijarida vyenye maelezo machache na picha. Fanyeni Kama wamisionari walivyoandaa vijitabu v na vijarida vya hadithi za biblia ili watu ziwafikie kila Kona. Mfano mnaweza kuandaa vijarida vidogo Kama Ishirini tofauti vyenye vipande vya Sera kwenye kundi Fulani la watu.

Mfano watumishi wa umaa, wafanyakazi sekta binafsi, Wakulima wa mazao tofauti Kama pamba, tumbaku, kahawa, Michele, mahindi, korosho, choroko,alizeti. Mfano Chadema na Wakulima wa pamba, Mnaonesha kero zao,mfano kuanza kukopwa, urasimu wa ushirika, viwatilifu kuwa Bei juu na mbegu Bora. mlichopanga kuwafanyia kuondoa kero mfano Bei ya pamba kutajwa kabla ya kuanza kulima, kugawa viwatilifu na mbegu bure kwa kufidia kwenye tozo, kuruhusu wanunuzi huru bila kulazmisha ushirika, (Nasisitiza utafiti NI kitu Cha msingi hapa) na kuzitatua na kuzigawa sehemu wanakolima pamba.
Vijarida hivyo viwe huru kupigwa kopi na kugawiwa watu husika. Napenda upinzani unaoanika Sera sio mivutano kila siku.

5. Cha mwisho na muhimu kuliko vyote jaribu kuepuka hasira na visasi kwenye kampeni na kuhakikisha wagombea wenu ata moja hakatwi. Ukiongozwa na hasira Huwezi kufanya lolote.

Naamini kinachoweza kuwabeba sad NI Sera Safi na namna Bora ya kuzifikisha kwa walaji kwa kuzingatia Hali halisi.

Labda mjiulize kwenye utawala wa makaburu Mandela aliweza vipi kutoacha ajenda yake ya kupigania usawa. Unazani angeongozwa na hasira angehubiri Nini dhidi ya wazungu. Labda angehamasisha wazungu wachinjwe. Lakini hakuongozwa na hasira katu. Ata wazungu waliposikia hotuba zake walimuelewa vizuri. Au mnajifunza Nini kupitia kwa Martin Luther King kiongozi wa waafrika Marekani. Je aliweza vipi kutoa hoja za kudemaand usawa bila kuchochea chuki. Kwa speech alizokuwa akitoa aliwavuta adi wazungu kwa asilimia kubwa. Wazungu waliamini angeweza kuwa ata Raisi wa Marekani. Kwenye mazingira ambayo watu weusi walikuwa wakinyanyasika kabisa. VIP Luther aliweza kuzuia chuki zake na hasira zdhidi ya wazungu.
Unapokuwa unajitahidi kutafuta Lungu linalotumika kukupiga Kwanza usiwe na dhamira ya kutumia Lungu Hilo kuja kufanya kisasi, pili lazma uoneshe wazi kuwa huna Nia ya kuja kukomoa mtu. Lazma Chadema ioneshe viongozi wa CCM hasa maraisi wastafu Yani walioshika
Rungu watakuwa salama na kuheshimiwa
mno kipindi wao wakiingia madarakani.

Post yako ina pointi za msingi sana, ila ujumbe halisi wa post yako ni hapo paragraph ya mwisho.
 
Lugha ya mgonjwa ni moja tu kumfaliji ingali kila mtu anajua natima ya mgonjwa wao mpo wengi sawa lkn productive [emoji362] hakuna kutokana na muunganiko mbaya na vijikundi ndani kwa ndani pia chama mmekifanya ni cha watu flani hii mbaya toeni chama kwenye mikono ya watu leteni kwa wananchi wote Tanzania kada weng wana ideas but nothing can hear them so cdm like private company. Toothless [emoji190]
Haijawahi kuwa "wewe ndiye mwananchi na wengine sio wananchi"! Mwenye mbwa angehangaika na mgonjwa?
 
Naomba mawasiliano ya Mnyika maana sijui

Sina mawasiliano yake maana mimi sio mwanachama wa cdm, wala rafiki wa karibu wa Myika, bali shabiki wa kutupwa wa cdm. Ila kuna verified user ya Tumaini Makene na ya Chadema. Jaribu kuingia Inbox uwaombe watakupatia iwapo wataridhia.
 
Shida ya Chadema nyingine kuu NI kuwa na watu waropokaji, wenye hasira, walizimishajj na sio wajenga hoja. Nje labda ya hasira zidi ya watawala Chadema imewezaje kuanika Sera na mitazamo inayoamini kwenye jamii yenye uelekeo wa kutatua kero zao ZAIDI ya kusema tunataka ikulu. Nje kwa hoja Kama wasomi sio hasira
Unapotoa hoja ukajibiwa kwa bunduki na kutekwa bado unahitaji kutumia hoja ?

Wewe unaweza kujenga hoja mbele ya bunduki na maji washa washa ya polisi?

Vijana wa ccm sijui huwa mnaongea mkiwa mmesahau vichwani vyenu chooni ?
 
Mkuu William Mushumbusi, bandiko lako hili, neno!. Kwanza naunga mkono hoja, na kukupongeza kuishauri Chadema kwa nia njema kabisa at this critical moment kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa rais na wabunge mwezi October mwaka huu ambapo ni miezi miezi 4 tuu imebaki kufikia uchaguzi.

Japo umependekeza mambo mengi makubwa na mazuri, lakini kwa muda uliobaki, it's already too little too late kwa Chadema kujiokoa na kuendelea kuwa chama kikuu cha upinzani kwa huku Tanzania bara, kwasababu ya kiburi tuu na jeuri yake kwa kutia pamba masikioni na kutosikiliza ushauri wa yeyote, hivyo kwa muda huu, kwa vile tayari imeisha ona dalili za kwenda kuwa wiped, katika kutapatapa kujiokoa labda this time wanaweza kusikia ushauri wako huu.

Hizi ni shauri mbalimbali kwa Chadema toka 2010 kwa ajili ya uchaguzi wa 2015, na 2015 kwa ajili ya uchaguzi wa 2020, na kila kwenye ushauri, niliweka faida za kufuata ushauri huo kwa kuonyesha matokeo chanya tarajiwa na pia kuweka angalizo la the consequences za kupuuza ushauri huo.

If you have time

Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?!.

CHADEMA msipuuzie ushauri hata kama ni kutoka kwa shetani!, S'times the devils does good deeds!.

CHADEMA ni sikio la kufa? Iambiwe vipi ili isikie? Masha ana hoja za msingi, zisikilizwe, zizingatiwe, zisipuuzwe!

CHADEMA Hamkujipanga, hamjajipanga, hamjipangi na hamtajipanga!-2015 ni CCM tena!

Wito CHADEMA: Kuweni na Shukrani, Punguzeni Kulalamika, Shukuruni kwa Yote. Ile Kesi Mbaya! Shukuruni Mahakama, Mashinji, CCM, Magufuli na Watanzania.

Upinzani Tanzania una matatizo? Vyama havina Succession Plan hivyo vina Usultani! CHADEMA kuna Usultani? Usultani huu Utakiinua au Utakiangamiza?

Uchaguzi wa 2020, Kukumbuka shuka kumekucha, is it too little too late kwa CHADEMA or better late than never?

Wish you all the best ushauri wako kufuatwa.
P.
Chadema kilinyimwa platform ya kujenga hizo hoja anazozitaka Alitaka wakajengee hoja zao vyumbani ?

Wewe Paschal ni mwandishi mkongwe unaona mazingira ya kisiasa ya serikali ya awamu ya tano yariruhusu hizo platform za wapinzani kusikika?

Kule Bungeni Speaker aliwashughulikia wabunge wa upinzani ikiwemo kuzuia hotuba zao zisisomwe au akazifanyie editing ziendane na anachokitaka hoja zao zingeweza kusikika vipi wakati walifungwa mdomo everywhere ?

Nje ya Bunge walishughulikiwa na polisi wengine kwa bunduki za watu wasiojulikana hizo hoja zao wangezitoa vipi at gun points ?

Mikutano ya siasa ya hadhara kwa wananchi walizuiwa na polisi wa ccm na hata vyombo vya habari vilipewa kibano kuwapa platform hizo hoja zao ulitaka waziwasilishe wapi na kwa njia gani ?

Vyombo vya habari vyote vilivyowapa platforms ama vimefungiwa au kufutiwa leseni hoja zao zingesikika vipi bila kuwa platform kama hii.?

Uchaguzi huu unakaribia kuanza vyama vya upinzani hasa CHADEMA wanafanyiwa hujuma za wazi ikiwemo bendera zao kushushwa na msajili wa vyama vya siasa yuko kimya, tume ya uchaguzi iko kimya, jeshi la polisi liko kimya mnataka wapinzani waanzishe vita ili muelewe kuwa mazingira ya kisiasa siyo rafiki kwa vyama vya upinzani ?

Hata kama ni makada wa ccm hamuoni hata aibu kupigana na mtu ambaye amefungwa kamba ??


Jaribuni kuwa objective walau hata kwa siku moja tu .
 
Issue mleta mada anampigia mbuzi gitaa.Hayo aliyoshauri chadema wameshauriwa Sana wakaziba pamba masikioni.Sasa watakumbuka shuka wakati kumekucha?

Chadema kilikuwa na agenda wakati wa Do slaa na kilijipambanua wazi kuwa chenyewe agenda Yao moja tu kupambana.na mafisad was pesa za ndani na nje.Kikajijenga wananchi wakakielewa.Slaa kuondoka chama.kikapoteza dira Sasa hivi imekuwa kinyume CCM ndio inapambana na mafisadi Chadema ndio.mtetea mafisadi na hawaeleweki hata wanasimamia Nini

Uroho wa kutaka Kuingia ikulu harakw haraka Waka absorb mafisadi kwenye chama ,uliwaponza hawajui kuwa ile Ni process ndefu inayotaka chama kiwe focused kwenye agenda inayokubalika na wengi kwa muda mrefu .Agenda ya kupambana na ufisadi ilikuwa sahihi wange stick Hapo hapo sababu ndipo papowapa political mileage na kukubalika na wananchi.CCM imebeba hiyo agenda wamebaki watupu hawaelewi hata pa kusimamia .Ufisadi umebski ndani ya chama Mbowe anatuhumiwa kulsmba bilioni nane!!! Moral authority ya kukemea Ufisadi Hakuna!!!

Stability ndani ya chama hamna , demokrasia.hamna watu wakiondoka yanatolewa majibu rahisi ohh wamenunuliwa na CCM !! Sasa wameanza kutimukia NCCR hawaelewi wasemaje!! Chama kinavyopukutika wao wanasema chadema Bado imara!!

Hiki chama kilijitaji sura mpya kukirudisha enzi za dk slaa kinaenda kuwafia akina Mbowe mikononi mwao na halima mdee wake
CCM ndiyo waliodidimiza nchi kwenye lindi la umaskini unataka CHADEMA wafuate ushauri wa watu waliofilisi nchi kwa ufisadi ?

CCM ndiyo baba wa siasa chafu na za kipumbavu unataka chadema nao wafanye siasa hizi za kipumbavu kama za ccm?
 
Chadema kilinyimwa platform ya kujenga hizo hoja anazozitaka Alitaka wakajengee hoja zao vyumbani ?

Wewe Paschal ni mwandishi mkongwe unaona mazingira ya kisiasa ya serikali ya awamu ya tano yariruhusu hizo platform za wapinzani kusikika?

Kule Bungeni Speaker aliwashughulikia wabunge wa upinzani ikiwemo kuzuia hotuba zao zisisomwe au akazifanyie editing ziendane na anachokitaka hoja zao zingeweza kusikika vipi wakati walifungwa mdomo everywhere ?

Nje ya Bunge walishughulikiwa na polisi wengine kwa bunduki za watu wasiojulikana hizo hoja zao wangezitoa vipi at gun points ?

Mikutano ya siasa ya hadhara kwa wananchi walizuiwa na polisi wa ccm na hata vyombo vya habari vilipewa kibano kuwapa platform hizo hoja zao ulitaka waziwasilishe wapi na kwa njia gani ?

Vyombo vya habari vyote vilivyowapa platforms ama vimefungiwa au kufutiwa leseni hoja zao zingesikika vipi bila kuwa platform kama hii.?

Uchaguzi huu unakaribia kuanza vyama vya upinzani hasa CHADEMA wanafanyiwa hujuma za wazi ikiwemo bendera zao kushushwa na msajili wa vyama vya siasa yuko kimya, tume ya uchaguzi iko kimya, jeshi la polisi liko kimya mnataka wapinzani waanzishe vita ili muelewe kuwa mazingira ya kisiasa siyo rafiki kwa vyama vya upinzani ?

Hata kama ni makada wa ccm hamuoni hata aibu kupigana na mtu ambaye amefungwa kamba ??


Jaribuni kuwa objective walau hata kwa siku moja tu .
Pascal aibu iliishaga cku nyingi, ndo maana cku hz yuko kwenye list ya walamba viatu
 
Huu ni waraka wazi kwa John Mnyika Kama katibu mkuu mpya wa CHADEMA, Katika mazingira yaliyopo kunakitu Chadema kimekosa na kinaitaji marekebisho kadhaa ili kwa uwazi kionekane ni chama Cha kuwasemea watu na sio kukosoa tu na hivyo kuonekana ni chama adui kwa jicho la usalama na ustawi wa nchi

Kuna vitu vitatu muhimu CHADEMA inapaswa kuchukua hatua ili kuwa chama chenye nguvu zaidi.

1. Kiache kuwa chama Cha kupiga majungu au kutoa ukosoaji au propaganda Bali kiwe NI chama kinachoweza kutoa na kuzitangaza Sera zake mbadala bila kukashifu au kutukana mtu.

Wanao wajenga Sera wazuri, pia watumie wataalamu kuona namna Bora ya kusimama na kueneza Sera zao vizuri. Sera zao zikiwa wazi, nzuri na zinazoeleweka kunakuwa hakuna haja ya kuwa na akina kigogo au kimambi hakika chama kitajitangaza chenyewe.

2. Kiwe na majibu ya kero za watu sio kulalamika bila kuweka suluhisho wazi. Lazma waoneshe watu vipi wanaweza kuongoza, Mfano kwenye swala la kikokotoo ni busara za Bulaya na Mnyika kutoa hoja bila kutukana Wala kukashifu ziliwasaidia wastafu kwani Raisi aliwasikia na kuchukua hatua.

Unapokuwa chama pinzani lazma ufurahie matatizo ya watu yakitatuliwa kupitia Kazi yako ya siasa na sio kufuraia watu kuumia ukijipa moyo eti ni mtaji wa kisiasa. Pamoja na matatizo mengi kufanyiwa Kazi lkn upinzani umekua Sana nchi za Magharibi sababu vyama vinajitangaza kwa Sera Safi. Sikufuraia kabisa jinsi mdee alivyozifunga hoja za umuhimu ya watoto wa kike kuendelea na masomo kwenye furushi la kashfa, zarau na kejeri kisa tu anaamini havunji Sheria

3. Kije na majibu ya kero zote za watu, Nchi zinazoendelea ata Kama kiongozi akiwa mzuri vipi kero hazikosekani na NI nyingi mno. Cha kushangaza CCM kimekuwa aware na kero na kujua maisha ya watu kuliko ata upinzani. Bei ndogo ya mazao, mifumo mibovu ya ununuzi mazao,Bei Kali za viwatilifu,pembejeo na mbegu.

Haiwewezekani Bei ya kg moja ya mbegu ya mahindi iwe ZAIDI ya Bei ya debe mbili au kg 40 za mahindi. Mnakuja na wazo gani hapo. Inakuwaje land Locked country Kama Uganda kuwa na Bei nzuri ya bidhaa za viwandani kutoka nje, Bei juu ya mazao Kama kahawa Hadi watanzania tuna karibu kupeleka kwao kimagendo. Nje na utafiti NI kwanini iko ivyo na mtabadili vipi Mambo....

4. Msije na Sera kwenye misaafu watanzania hawawezi kusoma misaafu. Andaeni vijarida vyenye maelezo machache na picha. Fanyeni Kama wamisionari walivyoandaa vijitabu v na vijarida vya hadithi za biblia ili watu ziwafikie kila Kona. Mfano mnaweza kuandaa vijarida vidogo Kama Ishirini tofauti vyenye vipande vya Sera kwenye kundi Fulani la watu.

Mfano watumishi wa umaa, wafanyakazi sekta binafsi, Wakulima wa mazao tofauti Kama pamba, tumbaku, kahawa, Michele, mahindi, korosho, choroko,alizeti. Mfano Chadema na Wakulima wa pamba, Mnaonesha kero zao,mfano kuanza kukopwa, urasimu wa ushirika, viwatilifu kuwa Bei juu na mbegu Bora. mlichopanga kuwafanyia kuondoa kero mfano Bei ya pamba kutajwa kabla ya kuanza kulima, kugawa viwatilifu na mbegu bure kwa kufidia kwenye tozo, kuruhusu wanunuzi huru bila kulazmisha ushirika, (Nasisitiza utafiti NI kitu Cha msingi hapa) na kuzitatua na kuzigawa sehemu wanakolima pamba.
Vijarida hivyo viwe huru kupigwa kopi na kugawiwa watu husika. Napenda upinzani unaoanika Sera sio mivutano kila siku.

5. Cha mwisho na muhimu kuliko vyote jaribu kuepuka hasira na visasi kwenye kampeni na kuhakikisha wagombea wenu ata moja hakatwi. Ukiongozwa na hasira Huwezi kufanya lolote.

Naamini kinachoweza kuwabeba sad NI Sera Safi na namna Bora ya kuzifikisha kwa walaji kwa kuzingatia Hali halisi.

Labda mjiulize kwenye utawala wa makaburu Mandela aliweza vipi kutoacha ajenda yake ya kupigania usawa. Unazani angeongozwa na hasira angehubiri Nini dhidi ya wazungu. Labda angehamasisha wazungu wachinjwe. Lakini hakuongozwa na hasira katu. Ata wazungu waliposikia hotuba zake walimuelewa vizuri. Au mnajifunza Nini kupitia kwa Martin Luther King kiongozi wa waafrika Marekani. Je aliweza vipi kutoa hoja za kudemaand usawa bila kuchochea chuki. Kwa speech alizokuwa akitoa aliwavuta adi wazungu kwa asilimia kubwa. Wazungu waliamini angeweza kuwa ata Raisi wa Marekani. Kwenye mazingira ambayo watu weusi walikuwa wakinyanyasika kabisa. VIP Luther aliweza kuzuia chuki zake na hasira zdhidi ya wazungu.
Unapokuwa unajitahidi kutafuta Lungu linalotumika kukupiga Kwanza usiwe na dhamira ya kutumia Lungu Hilo kuja kufanya kisasi, pili lazma uoneshe wazi kuwa huna Nia ya kuja kukomoa mtu. Lazma Chadema ioneshe viongozi wa CCM hasa maraisi wastafu Yani walioshika
Rungu watakuwa salama na kuheshimiwa
mno kipindi wao wakiingia madarakani.
Chama kitie sera zake wakati hata mikutano hakiruhusiwi kufanya?

Unamfunga kamba mtu mikono, unamuwekea sinia mbele yake, halafu unamwambia ale anavyotaka?
 
Wakina Mandela walifanya siasa kwenye utawala wa kikatili na wakibaguzi na waliweza kuleta mabadiliko. Dira kuu ya chama ikiwa NI kuyasemea matatizo na kero za watu, kusahau misukosuko ya kisiasa na kutokuwa na hasira. Ata polisi watakuwa upande wenu kwani mkifanya Kazi kiuchunguzi mtajua kero zao na mtakuwa sauti yao.

Mandela alisema kiongozi lazma ajifunze kutochukia. Mnachuki kubwa na utawala na ccm na hapo ndipo mlipozidiwa Akili. Mmeshindwa kuwasemea watu mnajipigania wenyewe tu. Hivyo ukweli ZAIDI ya 90 hawaelewi mitazamo yenu halisi Ila wapo kwenu kwa chuki binafsi dhidi ya Hali ya maisha. Lazma muadress changamoto za watanzania na namna ya kuzitatua swala la sijui tumepigwa risasi , tumefungwa viwe vibwagizo ttu vilivyosheheneshwa na hoja Nzito.
Hivi unajua ushindi wa Mandela ulichangiwa kwa kiwango kikubwa sana na civil disobedience na uungwaji mkono wa frontline states ?

Tatizo lenu mnapenda kutumia historia kujenga hoja potofu bila kujua hadhira unayoilenga inajua kuliko wewe.
 
Back
Top Bottom