Utawakuta jumapili kanisani kama kawaidwa hivi wanatumia Bibilia ipi?Haya niliyajua!! Kwa yale majibu yake na habar zake ni lazima yatokee!!
Sasa hapa tz uhuru uko wapi!?
Aheri yule mjomba avae tu gwanda za kijeshi, awe anatawala kijeda tujue moja.
Watu wanaituko jamani ! Nimecheka kwa nguvu😂😂😂😂😂😂
Kwahiyo mnaamua kumteka?Huyu kijana ana matusi sana..nadhan hakupata malezi mazuri
Mangese haya yamedanya usingizi wangu uwe mzito.
Hao vilaza wa Lumumba wakikosolewa husema wametukanwa, wanataka kusifiwa tuWeka hapa matusi aliyotukana. Kama kusema kitu tofauti na matamanio yenu inakuwa ni matusi Basi mtatukanwa sana.
Aisee naunga mkono hoja ...unakumbuka ile jamba jamba walimtia jiwe kwenye UKUTA ?Hakuna chama dhaifu na ovyo kama CHADEMA. Hii ifikie hatua wanachama wakiache maana hakina mikakati ya kuwapambania wanachama wake. Na kwa mwenendo huu mtaisha. Haiingii akilini mambo mnayotendewa mnakimbilia kulialia kwenye mitandao. Dawa ya moto ni moto
Mjaa laana wewe pamoja na wauaji wenzio mikono yenu imejaa damu, Mungu awalaani na vizazi vyenu wote mnaoshiriki kuumiza wapinzani!Nissan ya Mbowe baada ya kumshughulikia Lisu kwa jina bandia imerudi kivingine tena?
Ndiyo anajua kuwa yuko mikononi mwawatu wasiojulikana.Mbowe anajua alipo mdude
Kua mkamilifu ni kusifia ufipa? ukoje wewe kijana barubaru?mwanaume kamilifu hawezi kuwa hivi. Mtu mwanaume hanisi ndiye kila siku anaandika rubbish namna hii!! wewe ukoje?
Ndo maana nasema kuwa uwezo wa kufikiri kwa wanna CCM ni mdogo Sana, Sasa Kama mtu katukana ndo mmteke, mbona marehemu msiba natukana kila sikukuona lakini hajatekwa?Hao vilaza wa Lumumba wakikosolewa husema wametukanwa, wanataka kusifiwa tu