John Mnyika: Watu wenye silaha wamemchukua Mwanachama wa CHADEMA, Mdude Nyagali (Mdude CHADEMA)

John Mnyika: Watu wenye silaha wamemchukua Mwanachama wa CHADEMA, Mdude Nyagali (Mdude CHADEMA)

Watawakana kumteka kisha baada ya mwezi waseme alikua anahojiwa.

Wiki nzima wakili wa arusha alikua anatafutwa bila mafanikio, baada ya jamii kuanza kupiga kelele ndo wanajitokeza kusema hakutekwa bali ana hojiwa .

Kama nia yao ni nzuri kwanini wawavizie katka ukamataji. ? . Kwanini iwe siri. ? kwanini watumie magari yasiyo na namba za utambulisho? .


Kwanini serikali isihusishwe na utekaji. ?
ukipata majibu haki unitag . hivi haya maswali yako umemuuliza nani vile ?
 
Duuh huyu jamaa atakuwa na shughuli, ana kauli fulani chafu anapomuongelea mkuu
 
Wasiojulikana kile kitengo maarufu cha Dikteta pale Ikulu ili kuwanyamazisha wanaomkosoa kwa kuwateka, kuwatesa na hata kuwaua kimeibuka tena kwa kasi ya kutisha.
Na wewe ukirudi lazima wakunyooshe sawasawa!
 
Nimesoma maandiko mengi yanayohusu utawala wa kagame . hivyo ndivyo wakosoaji wa kagame wanavyotoweshwa kusiko julikana. Kumbukeni kagame ni role model wa jiwe na ndiye rafiki take .twafwa
 
Mungu amlinde na arejee na afya!Watanzania hatuna namna!
 
"Ukishaonja nyama ya mtu huachi," aliwahi kusema Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (RIP). Kwa sasa idadi ya walioonja nyama ya Watanzania wenzao yaonekana inaongezeka kwa kasi ya kutisha awamu hii..je kwa kasi hii tutabaki salama?
 
Nimesoma maandiko mengi yanayohusu utawala wa kagame . hivyo ndivyo wakosoaji wa kagame wanavyotoweshwa kusiko julikana. Kumbukeni kagame ni role model wa jiwe na ndiye rafiki take .twafwa
kwa haya anayoamuru yafanyike yanamuondolea hata sifa ndogo ambayo angepata kama legacy.akimaliza utawala wake tutamkumbuka zaidi kwa ukatili tu wa kuua watu kuteka nk.wanakataa kua hawahusiki kwa yaliyomtokea Lisu lakini sasa watu wanazidi kuepata mwanga zaidi.udikteta haufai kama umeshindwa kuongoza si ubwage manyanga tu?
 
Back
Top Bottom