google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,623
- 13,759
ukipata majibu haki unitag . hivi haya maswali yako umemuuliza nani vile ?Watawakana kumteka kisha baada ya mwezi waseme alikua anahojiwa.
Wiki nzima wakili wa arusha alikua anatafutwa bila mafanikio, baada ya jamii kuanza kupiga kelele ndo wanajitokeza kusema hakutekwa bali ana hojiwa .
Kama nia yao ni nzuri kwanini wawavizie katka ukamataji. ? . Kwanini iwe siri. ? kwanini watumie magari yasiyo na namba za utambulisho? .
Kwanini serikali isihusishwe na utekaji. ?
ukipata majibu haki unitag . hivi haya maswali yako umemuuliza nani vile ?
Labda amejiteka kama Abdul Nondo ?Mbunge wa Kibamba kupitia CHADEMA, John Mnyika kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa Kijamii wa Twitter amesema kuwa Chadema Mdude amechukuliwa na Watu wenye silaha
Aidha, yeye mwenyewe amesema CHADEMA inafuatiloa suala hilo na taarifa zaidi itatolewa muda si mrefu
View attachment 1088177
sawa tusubirie majibuNimewauliza wanaojiita wasio julikana.
Kumbe aliyataka mwenyewe!! Ngoja akirudi atatupasha taarifa kamili.Duuh huyu jamaa atakuwa na shughuli, ana kauli fulani chafu anapomuongelea mkuu
sawa tusubirie majibu
Kauli chafu haihalalishi kuondoa uhai wake,sasa endeleeni kumpa maneno matamu mkidhani anamfurahisha wakati mnazidi kumpoteza kwenye ramani.Duuh huyu jamaa atakuwa na shughuli, ana kauli fulani chafu anapomuongelea mkuu
nipe ishara nimjue tuIla Kuna mmoja kaisha jitokeza humu,
Na wewe ukirudi lazima wakunyooshe sawasawa!Wasiojulikana kile kitengo maarufu cha Dikteta pale Ikulu ili kuwanyamazisha wanaomkosoa kwa kuwateka, kuwatesa na hata kuwaua kimeibuka tena kwa kasi ya kutisha.
nipe ishara nimjue tu
Unagongwa na wachawi weweNissan ya Mbowe baada ya kumshughulikia Lisu kwa jina bandia imerudi kivingine tena?
Utanyooka tu!Awamu ya hovyo yenye kiongozi hovyo.
kwa haya anayoamuru yafanyike yanamuondolea hata sifa ndogo ambayo angepata kama legacy.akimaliza utawala wake tutamkumbuka zaidi kwa ukatili tu wa kuua watu kuteka nk.wanakataa kua hawahusiki kwa yaliyomtokea Lisu lakini sasa watu wanazidi kuepata mwanga zaidi.udikteta haufai kama umeshindwa kuongoza si ubwage manyanga tu?Nimesoma maandiko mengi yanayohusu utawala wa kagame . hivyo ndivyo wakosoaji wa kagame wanavyotoweshwa kusiko julikana. Kumbukeni kagame ni role model wa jiwe na ndiye rafiki take .twafwa