John Mnyika: Watu wenye silaha wamemchukua Mwanachama wa CHADEMA, Mdude Nyagali (Mdude CHADEMA)

W
watanzania bwana,kwa hiyo mwenzao amepakiwa kwenye buti wao huku wanakimbia wakiogopa risasi? Kwamba wamemuona Mdude hana miguu ya kukimbia- kwa style hii tutaendelea kufa na kupotea Sana tu
 
Hivi wewe polisi wakimkamata mtu ni lazima watoe taarifa kwa umma kwamba tunaenda kumkamata mtu fulani? Hivi akili zenu huwa zinafikiria nini? Isitoshe huko arusha waliokamatwa walikua tisa including huyo wakili, lakini cha kushangaza anaepigiwa kelele ni huyo wakili. Kwasbbu tu anajihusisha na itikadi za chama fulani
 
Halafu bado wameenda kuripoti polisi. [emoji16][emoji16][emoji16] daah
 
Wana Arusha wamepiga kelele ndo wakili ikajulikna ameshikilia,watu wasipopiga kelele atapotea Jumla.
Kabisa,nilijua ipo siku atakamatwa au kutekwa maana serikali ya sasa haipendi watu wa aina yake
 
W
watanzania bwana,kwa hiyo mwenzao amepakiwa kwenye buti wao huku wanakimbia wakiogopa risasi? Kwamba wamemuona Mdude hana miguu ya kukimbia- kwa style hii tutaendelea kufa na kupotea Sana tu

Ingekuwa Tarime wasiojulikana wasingetoka wale wa zakaria wawashukuru sana polisi walishawekwa MTU kati ili watahiriwe nyepesi nyepesi mmoja alishavuta.
 

Soma Sheria za ukamataji we buku saba polisi wakikutaka awakukwapui,wakwapuaji ni wazee wa Nissan kila MTU anajua.
 
Soma Sheria za ukamataji we buku saba polisi wakikutaka awakukwapui,wakwapuaji ni wazee wa Nissan kila MTU anajua.
Wewe usidhani kila ni zwazwa kama wwe. Nimeuliza taarifa inatolewa kwa umma au kwa anaekamatwa?
 
Tarehe 24 mwezi March kijana mmoja aitwaye Abusadik Banzi alimtumia ujumbe ndugu Mdude kupitia ukurasa wa Facebook akimtishia maisha.

Baada ya vitisho hivyo Mdude aliripoti kituo cha Polisi Vwawa lakini polisi walisema hawamfahamu mtu huyo, na hawajui kama majina analotumia ni majina yake halisi, hivyo hawawezi kufungua jalada la uchunguzi.

Ikabidi Mdude na marafiki zake wachache kuingia kazini ili kuisaidia polisi. Baada ya wiki kadhaa tukapata 'clues' ambazo zingesaidia polisi kumkamata mtu huyo.

Ilibainika kwamba Abusadik Banzi ni majina halisi ya mtu huyo, na anaishi mjini Arusha, maeneo ya Kijenge juu (karibu na Matindigani). Kabila ni Mdigo wa mkoani Tanga, wilaya ya Handeni. Amezaliwa mwaka 1985.

Mwaka 2007 alijiunga na mafunzo ya awali ya JKT, na baadae kupelekwa katika kambi ya uzalishaji Chita mkoani Morogoro kabla ya kufurushwa kutokana na utovu wa nidhamu.

Alirudi Arusha na kuajiriwa katika kampuni moja ya ulinzi. Mwaka 2012 aliondoka Arusha na kwenda mkoani Geita ambapo aliajiriwa kama mlinzi kwenye mgodi wa Geita Gold Minning kabla ya kuachishwa kazi mwaka 2016 na kurudi tena Arusha.

Kwa kipindi chote hicho Banzi ni mwanachama wa CCM na member wa kikosi cha ulinzi cha CCM kiitwacho Green Guard mwenye post code nambari 23106. Hata hivyo amekuwa akijitambulisha kuwa ni Afisa wa idara ya usalama wa taifa (TISS) maeneo mbalimbali ya jijini Arusha.

Polisi walipewa taarifa zote hizi lakini hawakuchukua hatua zozote, hadi leo Mdude alipotekwa na watu wasiojulikana. Inasikitisha sana. #BringBackMdudeAlive
 

Attachments

  • Screenshot_2019-05-04-22-20-29.png
    807.8 KB · Views: 21
Nawaambia hivi, imeandikwa haki huinua taifa, bali dhambi ni aibu ya watu wowote! Kuna namna utawala huu unaangamiza na kushusha taifa hili kwa matendo yao yasiyo haki!
 
Lakini wanachoendelea kukipanda watakivuna soon
 
Wewe usidhani kila ni zwazwa kama wwe. Nimeuliza taarifa inatolewa kwa umma au kwa anaekamatwa?

Inategemea kama ni MTU anayefahamika akizuiliwa na polisi umma ujulishwa,MTU wa kawaida uongozi wa mtaa na majirani ujua. Acheni kukwapua watu mtasaga meno mbele ni kujibu historia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…