Pre GE2025 John Mrema: Wanataka kunifukuza uanachama. Wameshinda uchaguzi sasa hawataki wengine tuseme

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Kwani Mwamba hakuwa katuahidi yetu baada ya uchaguzi?

Au ilikuwa mkuki Kwa nguruwe?
 
john Mrema, kwani mtu hufukuzwa uanachama kama mbwa anayetaka kuiba nyama jikoni..?

Si kuna taratibu za kufuatwa ndugu kwa mujibu kanuni na katiba ktk kipengere cha mtu anawezaje kukoma/kuacha kuwa mwanachama..?

Kwanini una hofu hivyo? Kwanini unaanza kujihami kwa makelele ya mitaani tu..?

Cool down Mr John Mrema...

Kama kuna kosa lolote linaloweza wewe kufutiwa uanachama wako, basi subiri utajulishwa, utapata nafasi ya kujitetea na mwisho uamuzi utafanyika kwa haki kabisa...

I say again, CALM DOWN DUDE...
 

Najikumbusha ahadi za Mwamba kushughulika na waliomkwaza baada ya uchaguzi.

Ya kuwa mkuki kwa nguruwe?
 
Umeongea point
 
Tundu Lissu achana na mipango hii kama ni kweli.. wewe ndio mwenyekiti, wapigie simu walio chini yako muyamalize
 
Muda wa kuzungumza umeisha saiv ni vitendo tu, hutaki hama chama tubaki na pure soldiers
 
Kama ni kweli anachoongea Mrema basi ni makosa, CHADEMA tunatakiwa tuheshimu freedom of Speech kwa vitendo.

Hukuelewa ulipoambiwa kuwa Lissu hafai uongozi wa juu, ila utaanza kuelewa kidogo kidogo kwa vitendo
 
Kama ni kweli anachoongea Mrema basi ni makosa, CHADEMA tunatakiwa tuheshimu freedom of Speech kwa vitendo.
Naam.

Na aitwe kwenye vikao taratibu zifuatwe ikiwemo haki ya kusikilizwa kwanza na hatua zote zifanyike umma ukijulishwa sio tuhuma za hewani tu .
 
Naafiki. Kwa umri na nafasi alokuwa nayo alipaswa kujua kuwa demokrasia hamaanishi uholela. Uhuru wa kutoa maoni ni lazima uratibiwe, vinginevyo ni kukaribisha vurugu
 
wanasahau kuwa hiyo ni chaggadema na wewe ndio miongoni mwa wenye mali
 
Mbowe kasema CDM tusitukanane, na atakaetukana baada ya uchaguzi akione cha moto.
 
Kwani anataka kusema nini nayeye
 
Mkitaka ondokoni, mwende VACATION na mzee wenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…