Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
John Nyerere, mtoto wa nne wa Mwalimu Julius Nyerere, amefariki dunia usiku huu katika hospitali ya rufaa ya Muhimbili.
Sasa Hapo Kuna Nini Tena? Wataalam Wa Photojournalism Wanakuambia " A Picture Speaks Thousands Words ". ITAFAKARI Kwa KINA.
Gentamycin ni nini mbaya na wewe baba kayayii ? Mbona umeshupalia hivyo kwani enzi za usoja wake alishawahi kukupigisha kwata nini manake mmhhh!?.
UMECHEKA KWENYE MSIBA??
-BASI KUMBE NAWE UNA KAUGOMVI BINAFSI NA YERICKO NYERERE NA KWA KAULI HII NAAMINI KUWA #YERICKO NI MTOTO WA NJE WA MWL. NYERERE ILA ANAMINYWA KWA HESHIMA YA MZEE NA TAIFA KWA UJUMLA.
**kauli zako tata na zenye majigambo zinakutanabaisha sisi tilio pembeni tuanze kuulizia?
*JE NA WEWE NI MTOTO WA MZEE NYERERE?
Ratiba ya Mazishi ya Mpendwa wetu John Nyerere kesho 11/5/2015
View attachment 250811
John Nyerere, mtoto wa nne wa Mwalimu Julius Nyerere, amefariki dunia usiku huu katika hospitali ya rufaa ya Muhimbili.
mwanga wa kristu umuangazie...apumzike kwa amani.
Hata mimi kuna siku nikiwa na msoma Yericko nikamuona yupo nondo kama mwalimu kuliko huyo the so called Andrea, na hata ukiangalia picha fulani mkuu Yericko kaipiga upande wa shavu la kushoto hivi yaani duh! Mshua teacher huyu hapa, imetoka kama zile picha za mshua kwenye sarafu. Lakini Yericko alipotoa ufafanuzi hapa basi nikamkubalia. Japo sikujua kama nae kanivalisha kubazi au vipi.Queen Esther umeongea jambo la maana sana binafsi hili suala la yericko linanichanganya sana maana kasura kanakuja kuja halafu kuna kipindi Yericko aliichambua ikulu kama alishawahi kukaa mule nahisi kuna bifu kati ya Andrew na yericko.
R.I.P John N.