TANZIA John Nyerere afariki dunia

TANZIA John Nyerere afariki dunia

Sasa Yeriko Nyerere na marehemju yupi mkubwa katika kuzaliwa kwa baba wa taifa JKN
 
Ratiba ya Mazishi ya Mpendwa wetu John Nyerere kesho 11/5/2015

john.jpg
 
Sasa Hapo Kuna Nini Tena? Wataalam Wa Photojournalism Wanakuambia " A Picture Speaks Thousands Words ". ITAFAKARI Kwa KINA.

Gentamycin ni nini mbaya na wewe baba kayayii ? Mbona umeshupalia hivyo kwani enzi za usoja wake alishawahi kukupigisha kwata nini manake mmhhh!?.
 
Gentamycin ni nini mbaya na wewe baba kayayii ? Mbona umeshupalia hivyo kwani enzi za usoja wake alishawahi kukupigisha kwata nini manake mmhhh!?.

Na Ukiona Nashupalia Kitu au Jambo Basi Ujue Kuwa Kina Walakini au Kuna Tatizo Na Watanzania Wana Allergy Ya Kuambiwa Ukweli!
 
UMECHEKA KWENYE MSIBA??
-BASI KUMBE NAWE UNA KAUGOMVI BINAFSI NA YERICKO NYERERE NA KWA KAULI HII NAAMINI KUWA #YERICKO NI MTOTO WA NJE WA MWL. NYERERE ILA ANAMINYWA KWA HESHIMA YA MZEE NA TAIFA KWA UJUMLA.
**kauli zako tata na zenye majigambo zinakutanabaisha sisi tilio pembeni tuanze kuulizia?
*JE NA WEWE NI MTOTO WA MZEE NYERERE?

Mdau hembu kama unayo picha ya Yericko Nyerere uiweke hapa tuichanganue wengine hatumjui kwa sura .
 
John Nyerere, mtoto wa nne wa Mwalimu Julius Nyerere, amefariki dunia usiku huu katika hospitali ya rufaa ya Muhimbili.

Bwana alitoa, na Bwana ametwaa, Jina la Bwana libarikiwe. Watoto wa Nyerere mmekuwa wana wa Tanzania kweli, mmeishi kama sisi, mnatibiwa kama sisi. Mungu awakumbuke watoto wote wa Mwl Nyerere.
 
RIP - John Guido Nyerere, poleni sana wafiwa na haswa MamaMaria.
 
Queen Esther umeongea jambo la maana sana binafsi hili suala la yericko linanichanganya sana maana kasura kanakuja kuja halafu kuna kipindi Yericko aliichambua ikulu kama alishawahi kukaa mule nahisi kuna bifu kati ya Andrew na yericko.
Hata mimi kuna siku nikiwa na msoma Yericko nikamuona yupo nondo kama mwalimu kuliko huyo the so called Andrea, na hata ukiangalia picha fulani mkuu Yericko kaipiga upande wa shavu la kushoto hivi yaani duh! Mshua teacher huyu hapa, imetoka kama zile picha za mshua kwenye sarafu. Lakini Yericko alipotoa ufafanuzi hapa basi nikamkubalia. Japo sikujua kama nae kanivalisha kubazi au vipi.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom