Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
CCM wanajua Mbowe ni mlaini sn tofauti na Lisu pia wananchi wanamkubali sn Lisu kuliko Mbowe hivyo system haiwezi kukubaliTena ingemjengea heshima.
Sasa ona anavyodhalilishwa,Tena eti CCM ndio wanaomuunga mkono!!??
Daaa!
chama hiki 2010-2020 kwa ruzuku ile kingekuwa na apartments, kumbe, hotel n.k nyingi sn Dom lakini hela sijui ilikuwa inaenda wapiList manufaa anayoyapata na ushahidi
Wanalipa madeni Kwa Mbowe 😂chama hiki 2010-2020 kwa ruzuku ile kingekuwa na apartments, kumbe, hotel n.k nyingi sn Dom lakini hela sijui ilikuwa inaenda wapi
Hapa lazima kuna ufisadi mkubwa sn, tuweke utani pembeni kama chama kilikuwa kinapata ruzuku 400M+ kwa mwezi kilishindwaje kuwa na vitega uchumi vyake? yaani CHADEMA kingekuwa na hoteli Dom na kumbi mbali mbali na apartments kama 500 hivi leo yaani mishahara ya watumishi ingelipwa kupitia miradi pekee na kujenga ofisi za chama kila Wilaya.Wanalipa madeni Kwa Mbowe 😂
Yaani wamewachanganya mashabiki wao Hadi basiCCM wanajua Mbowe ni mlaini sn tofauti na Lisu pia wananchi wanamkubali sn Lisu kuliko Mbowe hivyo system haiwezi kukubali
Kuna shida pale CHADEMA"Nastaafu rasmi"
Mbowe asome hiyo
Sahihi wanajua udhaifu wa Mbowe CCM hawamtaki Lisu hata kwa dawaYaani wamewachanganya mashabiki wao Hadi basi
Yapo mengiMwenyekit wa Bavicha mwalimu John Pambalu atastaafu rasmi 13 January, 2025 baada ya sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar
Ameandika ukurasani X
View attachment 3186891
Sabato njema
Mbowe kasema Bob Makani 67, na Mzee Mtei 68. Na yeye baada ya mitano tena atakuwa na 68.Amepiga hesabu vizuri Sana atakuwa na 35 yrs.
Atakuwa na muda mzuri wa kufanikisha mambo mengine muhimu na Kama sio Magufuli angekuwa Mbunge huyo kijana
Na nahisi huyu lisu ni mpinzani wa kweli japo sijui undani wakeSahihi wanajua udhaifu wa Mbowe CCM hawamtaki Lisu hata kwa dawa
Hata CCM Kuna shida,wameshindwa kumchagua Makamu mwenyekiti Bara!Kuna shida pale CHADEMA
"Ni muhimu kuwa real kwenye struggle kwani imebeba majonzi na vilio vya wengi"Mwenyekit wa Bavicha mwalimu John Pambalu atastaafu rasmi 13 January, 2025 baada ya sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar
Ameandika ukurasani X
View attachment 3186891
Sabato njema
Watu wa system wanamuogopa balaa sababu hahongekiNa nahisi huyu lisu ni mpinzani wa kweli japo sijui undani wake
TAL hata familia imeshindwa kumuelewa sembuse wewe"Ni muhimu kuwa real kwenye struggle kwani imebeba majonzi na vilio vya wengi"
Kuna shida huko chadema. Kuna watu hawapo real. Nazidi kumuelewa Lissu
CCM inabebwa na dola hivyo haiwezi kufaHata CCM Kuna shida,wameshindwa kumchagua Makamu mwenyekiti Bara!
Ila wabara wamepiga kimya,hawana habari ni haki yao kuwa na makamu mwenyekiti.
Na hata ofisi za mashinani ni michango ya wadau. Hiki chama naanza kuamini ni mradi wa watu flanichama hiki 2010-2020 kwa ruzuku ile kingekuwa na apartments, kumbe, hotel n.k nyingi sn Dom lakini hela sijui ilikuwa inaenda wapi
Kama baba Mkwe 😂Mbowe kasema Bob Makani 67, na Mzee Mtei 68. Na yeye baada ya mitano tena atakuwa na 68.
Yeriko na Ntobi hao si wamechukua rushwa kutoka kwa watu wa system"Ni muhimu kuwa real kwenye struggle kwani imebeba majonzi na vilio vya wengi"
Kuna shida huko chadema. Kuna watu hawapo real. Nazidi kumuelewa Lissu
Hata yesu hakueleweka kwa familia yale. So kaa kwa kutulia.TAL hata familia imeshindwa kumuelewa sembuse wewe