John Pambalu: 13/01/2025 Nastaafu rasmi kazi hii hatari ya Mwenyekiti wa Bavicha, Kwenye struggle ni lazima kuwa Real kwani imebeba Majonzi na Vilio!

Hizi ni fedha za umma hilo lipo wazi, kama anaweza kuwapa taifa star milioni 700 anashindwa nini kuchota bilioni 10 akaagiza mabasi ya chama, VOTE ya Ikulu haikaguliwi na mtu yoyote
Saa100 anatupiga, mnajisahau mnasema chadema,inapiga fedha!🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…