Ni Mwalimu tu kama mama yake.Amani iwe nanyi waungwana
Huyu John Pambalu ni kateksita, mchungaji au mwanasiasa?
Sioni mchungaji au kateksita au mwanasiasa wa kumfananisha naye
Kijana ana nondo ni balaa
Kamchana chana Mbowe kama karatasi
Anadai kama CHADEA wanaenda kumchagua kiongozi kwa sababu ya pesa Kuna umhimu gan wao kuwa wapinzan wakati pesa wameziacha CCM
Duh Magonjwa Mtambuka Lucas Mwashambwa chiembe
LONDON BOY
Naijua hii enzi za JPM.Tutashtakiwa MIGA.
Enzi za Magufuri walituibia kura zetu tunakumbuka sana wana mwanzaMabula kazi anayo round hii hapo nyamagana.
DuuhAmani iwe nanyi waungwana
Huyu John Pambalu ni kateksita, mchungaji au mwanasiasa?
Sioni mchungaji au kateksita au mwanasiasa wa kumfananisha naye
Kijana ana nondo ni balaa
Kamchana chana Mbowe kama karatasi
Anadai kama CHADEA wanaenda kumchagua kiongozi kwa sababu ya pesa Kuna umhimu gan wao kuwa wapinzan wakati pesa wameziacha CCM
Duh Magonjwa Mtambuka Lucas Mwashambwa chiembe
LONDON BOY