Uchaguzi 2020 John Pambalu ni nani, ametumia mbinu gani kuua CCM Mwanza?

Huyu kijana ni kama amemaliza kazi ya kuiteketeza ccm Mwanza , lakini amepata wapi uwezo huu ?

View attachment 1553031
Moja kati ya majiji tunayoenda kuyachukua kiulaini ni mwanza, dar, arusha, na mbeya ..kwa miji ni bukoba , moshi, iringa geita mjini shinyanga mjini musoma na njombe mji , sumbawanga bila kuisahau Tabora na mpanda
 
Kuichukua halafu muipeke wapi?. Halafu?, halafu?
Moja kati ya majiji tunayoenda kuyachukua kiulaini ni mwanza, dar, arusha, na mbeya ..kwa miji ni bukoba , moshi, iringa geita mjini shinyanga mjini musoma na njombe mji , sumbawanga bila kuisahau Tabora na mpanda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…