Uchaguzi 2020 John Pambalu ni nani, ametumia mbinu gani kuua CCM Mwanza?

Uchaguzi 2020 John Pambalu ni nani, ametumia mbinu gani kuua CCM Mwanza?

ENDELEENI KUJIFARIJI MITANDAONI HUKU MKIKOSA SERA,
WENZENU TUKO FIELD NYIE ENDELEENI KUDANGANYANA.

NGOJA GWAJIMA NA GAMBO WAWATIE ADABU WALE MATUSI MACHINES WENU KWANZA. OCTOBER 28
FB_IMG_1598793638336.jpg
 
Moja kati ya majiji tunayoenda kuyachukua kiulaini ni mwanza, dar, arusha, na mbeya ..kwa miji ni bukoba , moshi, iringa geita mjini shinyanga mjini musoma na njombe mji , sumbawanga bila kuisahau Tabora na mpanda
Simiyu usitusahau
 
ENDELEENI KUJIFARIJI MITANDAONI HUKU MKIKOSA SERA,
WENZENU TUKO FIELD NYIE ENDELEENI KUDANGANYANA.

NGOJA GWAJIMA NA GAMBO WAWATIE ADABU WALE MATUSI MACHINES WENU KWANZA. OCTOBER 28 View attachment 1553281
sera za kununua ndege mpya huku ajira hakuna ! ni zumbukuku pekee atakayewaelewa
 
Moja kati ya majiji tunayoenda kuyachukua kiulaini ni mwanza, dar, arusha, na mbeya ..kwa miji ni bukoba , moshi, iringa geita mjini shinyanga mjini musoma na njombe mji , sumbawanga bila kuisahau Tabora na mpanda
We kibwengu unaweza kuitisha hata mkutano wa mtaa wananchi wakaja......mijidume km 18 imepata ubunge kwa njia za kike....eti imepita bila kupingwa
 
Mabula kakosea sana, na sijui kwanini Wajumbe walimpitisha Ila sizani km Dogo janja atatoboa
Hata kama wajumbe wangemkataa isingesaidia maana huko Dodoma wangempitisha tu.
 
Unajua Mabura alichemka sana ile miaka 5,alafu jamaa wakampitisha sasa wanalo limewaganda .

Pambalu kama siyo figisu figisu za Mkurugenzi mbona mapema tu.
 
Mwanza pambalu Stanislaus mabula hawamtaki wanasema arudi kufanya kazi ya ulinzi ana kibuli na dharau kwa wananchi wake wamepanga wamwadhibu mwaka huu kwenye box LA kura kiujumla Mimi ni kijani lakini Stan amechokwa
Ninavyojua Jimbo la Nyamagana wanmpa mtu kipindi kimoja tuu acga tuone mwaka huu itakuwaje
 
kabla hata sijasoma uzi nimecheka sana[emoji23], yani huyo msukuma “pambalu” ndio aue CCM mwanza[emoji23] mkuu leo umenichekesha
 
Back
Top Bottom