Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza jazbaWewe uliyetuletea ukiwa humjui sisi tutamjuaje!
Hii lugha kweli ilikuja kwa jahaziPambalu aimalize ccm Mwanza?,are serious?,pathetic
Hamna kitu hapo ccm ndio baba lao
Hii lugha kweli ilikuja kwa jahazi
Simiyu usitusahauMoja kati ya majiji tunayoenda kuyachukua kiulaini ni mwanza, dar, arusha, na mbeya ..kwa miji ni bukoba , moshi, iringa geita mjini shinyanga mjini musoma na njombe mji , sumbawanga bila kuisahau Tabora na mpanda
Ameiteketeza ccm kinamna gani, mbona hii habari haija kamila?Huyu kijana ni kama amemaliza kazi ya kuiteketeza ccm Mwanza , lakini amepata wapi uwezo huu ?
View attachment 1553031
Vipi kura utapiga maana kampeni yako ilipuuzwa!Hamna ccm kwa sasa, bali kuna vyombo vya dola na Tume ya uchaguzi.
Huyu kijana ni kama amemaliza kazi ya kuiteketeza ccm Mwanza , lakini amepata wapi uwezo huu ?
View attachment 1553031
Vipi kura utapiga maana kampeni yako ilipuuzwa!
Kwi Kwi KwiHii lugha kweli ilikuja kwa jahazi
Kwani kaenda wapi!Kama Lisu yupo napiga.
sera za kununua ndege mpya huku ajira hakuna ! ni zumbukuku pekee atakayewaelewaENDELEENI KUJIFARIJI MITANDAONI HUKU MKIKOSA SERA,
WENZENU TUKO FIELD NYIE ENDELEENI KUDANGANYANA.
NGOJA GWAJIMA NA GAMBO WAWATIE ADABU WALE MATUSI MACHINES WENU KWANZA. OCTOBER 28 View attachment 1553281
We kibwengu unaweza kuitisha hata mkutano wa mtaa wananchi wakaja......mijidume km 18 imepata ubunge kwa njia za kike....eti imepita bila kupingwaMoja kati ya majiji tunayoenda kuyachukua kiulaini ni mwanza, dar, arusha, na mbeya ..kwa miji ni bukoba , moshi, iringa geita mjini shinyanga mjini musoma na njombe mji , sumbawanga bila kuisahau Tabora na mpanda
Hata kama wajumbe wangemkataa isingesaidia maana huko Dodoma wangempitisha tu.Mabula kakosea sana, na sijui kwanini Wajumbe walimpitisha Ila sizani km Dogo janja atatoboa
Mkuu, subiri sanduku litakupa majibuHuyu kijana ni kama amemaliza kazi ya kuiteketeza ccm Mwanza , lakini amepata wapi uwezo huu ?
View attachment 1553031
Ninavyojua Jimbo la Nyamagana wanmpa mtu kipindi kimoja tuu acga tuone mwaka huu itakuwajeMwanza pambalu Stanislaus mabula hawamtaki wanasema arudi kufanya kazi ya ulinzi ana kibuli na dharau kwa wananchi wake wamepanga wamwadhibu mwaka huu kwenye box LA kura kiujumla Mimi ni kijani lakini Stan amechokwa