Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Jana Mwenyekiti Wetu Taifa Baada Ya Hotuba Katangaza Mkesha Hadi AsubuhiHamna kitu hapo ccm ndio baba lao
Cha Ajabu Sasa Hakukuwa Na Mkesha Wowote
Uwanja Wa Jamhuri
Dodoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jana Mwenyekiti Wetu Taifa Baada Ya Hotuba Katangaza Mkesha Hadi AsubuhiHamna kitu hapo ccm ndio baba lao
Wachunguzi wanadai kwamba Wamachinga wa Mwanza ndio binadamu walionyanyaswa mno kwenye awamu ya 5 , inafananishwa na mateso yale ya zamani ya soweto , hii imerahisisha kifo cha ccm Mwanza .Pambalu aimalize ccm Mwanza?,are serious?,pathetic
Acha upimbi Wewe Ni awamu ipi Mwanza machinga wamejaa Kila Kona Hadi wanakera Mkuu!! Nimeondoka Mwanza week iliyopita tu naelewa ninachokisema matatizo ya wanaMwanza tunayajua sisi wenyewe,. Japo Mabula ni wahovyo Sana Ila Huyu Dogo Mfipa na Nimesoma nae Primary Hadi Sekondary hatoboi!!!Wachunguzi wanadai kwamba Wamachinga wa Mwanza ndio binadamu walionyanyaswa mno kwenye awamu ya 5 , inafananishwa na mateso yale ya zamani ya soweto , hii imerahisisha kifo cha ccm Mwanza .
Anasali kanisa gani ?Ni kijana machachari sana leo kanisani tulikuwa tunamuombea asiishie kupigwarisasi16 huku polisi wakiwa wanasaka dereva
Nipo Mwanza NYUMBANI Wamachinga Wamedhamiria wao na PAMBALUUU TUAcha upimbi Wewe Ni awamu ipi Mwanza machinga wamejaa Kila Kona Hadi wanakera Mkuu!! Nimeondoka Mwanza week iliyopita tu naelewa ninachokisema matatizo ya wanaMwanza tunayajua sisi wenyewe,. Japo Mabula ni wahovyo Sana Ila Huyu Dogo Mfipa na Nimesoma nae Primary Hadi Sekondary hatoboi!!!
RC na alikuwa mwenyekiti wangu TYCS nikiww FOMU TUUAnasali kanisa gani ?
Mabula kakosea sana, na sijui kwanini Wajumbe walimpitisha Ila sizani km Dogo janja atatoboaNipo Mwanza NYUMBANI Wamachinga Wamedhamiria wao na PAMBALUUU TU
TYCS mapendo Daima umenikumbusha nikiwa Shybush nimekuja Mwanza kumsaport Dogo PAMBALUUURC na alikuwa mwenyekiti wangu TYCS nikiww FOMU TUU
Lissu akipita Mwanza kazi tunamalizaMabula kakosea sana, na sijui kwanini Wajumbe walimpitisha Ila sizani km Dogo janja atatoboa
Umbea utakusaidia nini?Acha upimbi Wewe Ni awamu ipi Mwanza machinga wamejaa Kila Kona Hadi wanakera Mkuu!! Nimeondoka Mwanza week iliyopita tu naelewa ninachokisema matatizo ya wanaMwanza tunayajua sisi wenyewe,. Japo Mabula ni wahovyo Sana Ila Huyu Dogo Mfipa na Nimesoma nae Primary Hadi Sekondary hatoboi!!!
Ccm inateketezwa kwa picha unazotupia Jf huku ukiwa vingunguti? Yaani huyu nae aimalize Ccm?Huyu kijana ni kama amemaliza kazi ya kuiteketeza ccm Mwanza , lakini amepata wapi uwezo huu ?
View attachment 1553031
Dogo alikuwa anapenda dini aliwahi pia kuwa kiongozi wa TYCS jimbo la bukoba wakati huo akisoma EGM ihungo boys secondary schoolRC na alikuwa mwenyekiti wangu TYCS nikiww FOMU TUU
Yah hata vyama vya kitume alikuwa anashiriki namjua vilivyoTYCS mapendo Daima umenikumbusha nikiwa Shybush nimekuja Mwanza kumsaport Dogo PAMBALUUU
Siasa za chadema raha sana.Huyu kijana ni kama amemaliza kazi ya kuiteketeza ccm Mwanza , lakini amepata wapi uwezo huu ?
View attachment 1553031
Jifunze kukaa kimyaWewe uliyetuletea ukiwa humjui sisi tutamjuaje!
Mwanza pambalu Stanislaus mabula hawamtaki wanasema arudi kufanya kazi ya ulinzi ana kibuli na dharau kwa wananchi wake wamepanga wamwadhibu mwaka huu kwenye box LA kura kiujumla Mimi ni kijani lakini Stan amechokwa