Uchaguzi 2020 John Pambalu ni nani, ametumia mbinu gani kuua CCM Mwanza?

Uchaguzi 2020 John Pambalu ni nani, ametumia mbinu gani kuua CCM Mwanza?

Elezea vizuri bas mbona kama umekurupushwa kuandika,kaiua vip hebu dadavua!
 
Wachunguzi wanadai kwamba Wamachinga wa Mwanza ndio binadamu walionyanyaswa mno kwenye awamu ya 5 , inafananishwa na mateso yale ya zamani ya soweto , hii imerahisisha kifo cha ccm Mwanza .
Acha upimbi Wewe Ni awamu ipi Mwanza machinga wamejaa Kila Kona Hadi wanakera Mkuu!! Nimeondoka Mwanza week iliyopita tu naelewa ninachokisema matatizo ya wanaMwanza tunayajua sisi wenyewe,. Japo Mabula ni wahovyo Sana Ila Huyu Dogo Mfipa na Nimesoma nae Primary Hadi Sekondary hatoboi!!!
 
Acha upimbi Wewe Ni awamu ipi Mwanza machinga wamejaa Kila Kona Hadi wanakera Mkuu!! Nimeondoka Mwanza week iliyopita tu naelewa ninachokisema matatizo ya wanaMwanza tunayajua sisi wenyewe,. Japo Mabula ni wahovyo Sana Ila Huyu Dogo Mfipa na Nimesoma nae Primary Hadi Sekondary hatoboi!!!
Nipo Mwanza NYUMBANI Wamachinga Wamedhamiria wao na PAMBALUUU TU
 
Acha upimbi Wewe Ni awamu ipi Mwanza machinga wamejaa Kila Kona Hadi wanakera Mkuu!! Nimeondoka Mwanza week iliyopita tu naelewa ninachokisema matatizo ya wanaMwanza tunayajua sisi wenyewe,. Japo Mabula ni wahovyo Sana Ila Huyu Dogo Mfipa na Nimesoma nae Primary Hadi Sekondary hatoboi!!!
Umbea utakusaidia nini?
 
RC na alikuwa mwenyekiti wangu TYCS nikiww FOMU TUU
Dogo alikuwa anapenda dini aliwahi pia kuwa kiongozi wa TYCS jimbo la bukoba wakati huo akisoma EGM ihungo boys secondary school
 
Mwanza pambalu Stanislaus mabula hawamtaki wanasema arudi kufanya kazi ya ulinzi ana kibuli na dharau kwa wananchi wake wamepanga wamwadhibu mwaka huu kwenye box LA kura kiujumla Mimi ni kijani lakini Stan amechokwa

unaweza kukuta hata pambalu humjui ila kwa kua tu unataka kuandika basi umewasemea wapiga kura
 
Back
Top Bottom