Uchaguzi 2020 John Pambalu ni nani, ametumia mbinu gani kuua CCM Mwanza?

Uchaguzi 2020 John Pambalu ni nani, ametumia mbinu gani kuua CCM Mwanza?

Moja kati ya majiji tunayoenda kuyachukua kiulaini ni mwanza, dar, arusha, na mbeya ..kwa miji ni bukoba , moshi, iringa geita mjini shinyanga mjini musoma na njombe mji , sumbawanga bila kuisahau Tabora na mpanda
Endelea kujitekenya
 

Attachments

  • FB_IMG_1598701037519.jpg
    FB_IMG_1598701037519.jpg
    56.7 KB · Views: 7
Kama wanamwanza wenyewe hawamjui na wewe kada mtiifu wa jf humjui sisi tutamjuaje.
 
Ninavyojua Jimbo la Nyamagana wanmpa mtu kipindi kimoja tuu acga tuone mwaka huu itakuwaje
Mi ndio nasubiria nione kama historia itabadilika, Masha pamoja na kuwa waziri wa mambo ya ndani hakutoboa!
 
Huwajui vizuri Wasukuma wewe,pambalu hatoboi yule
 
Me niko Butimba wazee wenye jiji wanakuambia Mabula labda aibe kula ila ila pambalu atashinda tuu
 
Back
Top Bottom