Johnthebaptist amevunjwa vunjwa miguu kama Tundu Lissu

Johnthebaptist amevunjwa vunjwa miguu kama Tundu Lissu

Then ukawa bize kumfuatilia yeye?

Tena unamwanzishia thread???

Kama una akili timamu ungemdharau, fact kuwa unamjua, kumkumbuka basi kakutawala akili


Hivi unataka kusema hawa watu humu na kutumia majina yao ya uongo wanateseka kiasi hicho?? unamjua sura? unajua kazi yake?

Habari ya Mwendazake sidhani kama unayesema alikuwa anampenda kushinda mimi

Nadhan una tatizo la msingi, una utoto wa ...gari lile langu, hilo lako, mzomeeni yuu...ebu kua kidogo utaona hiki ni kijiwe

JPM was real....ndio maana alikunyoosha na vyeti vyako feki...kwa nini usimchukie? kutoka kazi ya ukarani mpaka kuwa mlinzi ......sasa kwa thread hii umeonyesha wewe ni low life
Mkuu wew una matatizo kama siyo msukuma, pole sana
 
Back
Top Bottom