Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha nimwite johnthebaptist
Tujifunze tu kuheshimu mitazamo tofauti ya wengine. Yaani unaanzisha kabisa mada sababu mtu ana mawazo tofauti na wewe!Huyu bwana hapa JF kwa sasa anatia huruma. Huyu ilikuwa humwambii kitu kuhusu Mwendazake> Pamoja na siasa nzuri za ufuatiliaji mambo ila huyu bwana alikuwa too biased kiasi kwamba kwa sasa ni kama anatia huruma.
Kwa sasa anajaribu kuwa neutral ili kumsoma Mhe. Samia Suluhu Hassan kama wataendana. Mpaka aeleweke atakuwa kishaugua ugonjwa wa huruma
What does that have to do with Magufuli gone?and CCM is reigning forever
swallow that pill, though is bitter
🤣 🤣 🤣 🤣 si utaniUnamzungumzia yule ndezi?
T
Tujifunze tu kuheshimu mitazamo tofauti ya wengine. Yaani unaanzisha kabisa mada sababu mtu ana mawazo tofauti na wewe!
Tunapinga udikteta lakini tunataka muda wote watu wawaze na kama sisi.
Wewe unaelewa?Huelewi maana ya udikteta wewe.
johnthebaptistHuyu bwana hapa JF kwa sasa anatia huruma. Huyu ilikuwa humwambii kitu kuhusu Mwendazake> Pamoja na siasa nzuri za ufuatiliaji mambo ila huyu bwana alikuwa too biased kiasi kwamba kwa sasa ni kama anatia huruma.
Kwa sasa anajaribu kuwa neutral ili kumsoma Mhe. Samia Suluhu Hassan kama wataendana. Mpaka aeleweke atakuwa kishaugua ugonjwa wa huruma
Jane LowassaPamoja na dada mmoja alikuwa anajiita janet Lowasa sijui kafia wapi
Ambaye pia alijuakana kama 'Kawe Alumni'...Usimsahau Bia Yetu
Kazi Iendelee bwashee!Kwani yeye john anasemaje?
Inaendelea John!Kazi Iendelee bwashee!
Huyu bwana hapa JF kwa sasa anatia huruma. Huyu ilikuwa humwambii kitu kuhusu Mwendazake> Pamoja na siasa nzuri za ufuatiliaji mambo ila huyu bwana alikuwa too biased kiasi kwamba kwa sasa ni kama anatia huruma.
Kwa sasa anajaribu kuwa neutral ili kumsoma Mhe. Samia Suluhu Hassan kama wataendana. Mpaka aeleweke atakuwa kishaugua ugonjwa wa huruma
Naona wamevaa viatu flat sole, kazi kazi hapo.