Johnthebaptist amevunjwa vunjwa miguu kama Tundu Lissu

Johnthebaptist amevunjwa vunjwa miguu kama Tundu Lissu

T
Huyu bwana hapa JF kwa sasa anatia huruma. Huyu ilikuwa humwambii kitu kuhusu Mwendazake> Pamoja na siasa nzuri za ufuatiliaji mambo ila huyu bwana alikuwa too biased kiasi kwamba kwa sasa ni kama anatia huruma.

Kwa sasa anajaribu kuwa neutral ili kumsoma Mhe. Samia Suluhu Hassan kama wataendana. Mpaka aeleweke atakuwa kishaugua ugonjwa wa huruma
Tujifunze tu kuheshimu mitazamo tofauti ya wengine. Yaani unaanzisha kabisa mada sababu mtu ana mawazo tofauti na wewe!
Tunapinga udikteta lakini tunataka muda wote watu wawaze na kama sisi.
 
Huelewi maana ya udikteta wewe.
T

Tujifunze tu kuheshimu mitazamo tofauti ya wengine. Yaani unaanzisha kabisa mada sababu mtu ana mawazo tofauti na wewe!
Tunapinga udikteta lakini tunataka muda wote watu wawaze na kama sisi.
 
Huyu bwana hapa JF kwa sasa anatia huruma. Huyu ilikuwa humwambii kitu kuhusu Mwendazake> Pamoja na siasa nzuri za ufuatiliaji mambo ila huyu bwana alikuwa too biased kiasi kwamba kwa sasa ni kama anatia huruma.

Kwa sasa anajaribu kuwa neutral ili kumsoma Mhe. Samia Suluhu Hassan kama wataendana. Mpaka aeleweke atakuwa kishaugua ugonjwa wa huruma
johnthebaptist
 
Kama Humphrey Polepole na Bashiru wamezimwa,sembuse huyu ''MATAGA'' Waheedi,mpiga zeze na zumari,buku7 wa Lumumba? 🤣 🤣 🤣
 
Siku hizi huyo bwana anatusumbua sana huku mtaani, kila mara dish linacheza tangu alivyoondokewa na Jiwe imekuwa tabu!
 
Huyu bwana hapa JF kwa sasa anatia huruma. Huyu ilikuwa humwambii kitu kuhusu Mwendazake> Pamoja na siasa nzuri za ufuatiliaji mambo ila huyu bwana alikuwa too biased kiasi kwamba kwa sasa ni kama anatia huruma.

Kwa sasa anajaribu kuwa neutral ili kumsoma Mhe. Samia Suluhu Hassan kama wataendana. Mpaka aeleweke atakuwa kishaugua ugonjwa wa huruma

Usimcheke, bali umhurumie. Maana nyakati nyingine tunalazimika kupitia kipindi kigumu.
 
Back
Top Bottom