crocodile
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 3,864
- 2,955
Sawa sijui lakini naelewa maana ya uhuru wa kutoa maoni.Huelewi maana ya udikteta wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa sijui lakini naelewa maana ya uhuru wa kutoa maoni.Huelewi maana ya udikteta wewe.
Hahahaaaa....... Kazi Iendelee!Usimcheke, bali umhurumie. Maana nyakati nyingine tunalazimika kupitia kipindi kigumu.
Wacha iendelee sasaKazi Iendelee bwashee!
Huyo Bia yetu AKA Kawe Alumni sijui alikuwa anafanya kazi ya kutafuta mkate wake, sijui muda gani! Maanake, karibia kila thread, ya sifa kwa Jiwe, au kumponda, lazima aingie KUSIFU NA KUTUKUZA!Ambaye pia alijuakana kama 'Kawe Alumni'...
Huyo jamaa alikuja 'kuokoka' baada ya kupata fundisho humu JF.
Hmemsahau wapi idungude,chagu,baby d.John mnamsingizia tu, kuna dude linaitwa Waberoya, kuna kidemu kinaitwa Wakuvuavua, kuna mswahili anaitwa jingalao, kuna Mgogo anaitwa YEHODAYA aliambiwa azikwe na marehemu kama kweli alikuwa na mapenzi naye akatoroka kwa miguu Chato hadi Nyang'wale.
Hao ndo wanaoteseka kama Bashiru.
Hivi wapo kweli hawa kaka zetu. Nadhani bado wako na uchungu mkubwa venye baba aliondoka ghafla sana.Nakupa sifa kwa kubuni kichwa cha habari kinachovutia wasomaji.
Kwanza nilisita sana kubonyeza hapo kama kawaida yangu ilivyo kwa habari kama hizi; lakini sikuwa na namna, ilibidi niingie tu.
Ukimtaja huyo, nami ntamtaja YEHODAY, Jinga, Magonjwa,...n.k., n.k..
Badili heading, usimfananishe mheshimiwa Lissu na viibilisi vya ajabu ajabu kutoka lumumbaHuyu bwana hapa JF kwa sasa anatia huruma. Huyu ilikuwa humwambii kitu kuhusu Mwendazake> Pamoja na siasa nzuri za ufuatiliaji mambo ila huyu bwana alikuwa too biased kiasi kwamba kwa sasa ni kama anatia huruma.
Kwa sasa anajaribu kuwa neutral ili kumsoma Mhe. Samia Suluhu Hassan kama wataendana. Mpaka aeleweke atakuwa kishaugua ugonjwa wa huruma
Kada mwenzio huyo, Team chattle yonah mbatizajiLini nikawa na rafiki wa aina hiyo
Umenena vema!Wasihofu Samia na Magufuli ni kitu kimoja ila hawako sawa [emoji23][emoji23]
Dada neema unalalamika bungeni hupakuliwi vizuri,njoo kwangu nakupakua mpka pilauTunaendelea kupiga kazi kama kawa! Ila tumepunguza kasi kwa sababu wapinzani wako hoi bin taabani sasa wamerudi wote CCM sasa wana mshangilia Rais wetu Mama Samia sijui wanafikiri yuko CDM? Tumekosa wapinzani wakutupinga sasa tutabaki humu muda wote kwa lipi jipya sasa wakati tumeshamaliza kazi ya kuwaangamiza wapinzani uchwara!!??
What does that have to do with Magufuli gone?
There are so many ways of masking a bitter pill, aren't you aware of that?
Asee!find them, do it, dont take chances...this is just a platform and dont take to your heart
Huyu bwana hapa JF kwa sasa anatia huruma. Huyu ilikuwa humwambii kitu kuhusu Mwendazake> Pamoja na siasa nzuri za ufuatiliaji mambo ila huyu bwana alikuwa too biased kiasi kwamba kwa sasa ni kama anatia huruma.
Kwa sasa anajaribu kuwa neutral ili kumsoma Mhe. Samia Suluhu Hassan kama wataendana. Mpaka aeleweke atakuwa kishaugua ugonjwa wa huruma
Tuliwaonya mapema sanaHuyu bwana kapotea takriban tokea SABAYA na wapambe wake walipoingia kwenye 18 za wenye nchi. Labda yuko busy kumpelekea mlo kisongo.
Kuna IDs zinazofahamika kupotea tokea mwendazake kutwaliwa.
Fake ID hizi zina mambo!
🤣 🤣 🤣 🤣 huyo huyo. John kama JohnUnamzungumzia yule ndezi?