Then ukawa bize kumfuatilia yeye?
Tena unamwanzishia thread???
Kama una akili timamu ungemdharau, fact kuwa unamjua, kumkumbuka basi kakutawala akili
Hivi unataka kusema hawa watu humu na kutumia majina yao ya uongo wanateseka kiasi hicho?? unamjua sura? unajua kazi yake?
Habari ya Mwendazake sidhani kama unayesema alikuwa anampenda kushinda mimi
Nadhan una tatizo la msingi, una utoto wa ...gari lile langu, hilo lako, mzomeeni yuu...ebu kua kidogo utaona hiki ni kijiwe
JPM was real....ndio maana alikunyoosha na vyeti vyako feki...kwa nini usimchukie? kutoka kazi ya ukarani mpaka kuwa mlinzi ......sasa kwa thread hii umeonyesha wewe ni low life