Johnthebaptist amevunjwa vunjwa miguu kama Tundu Lissu

Johnthebaptist amevunjwa vunjwa miguu kama Tundu Lissu

Tehe tehe kichwa cha habari tu? Habari yenyewe je?
Mara nyingi kichwa cha habari hunipa takribani asili mia 60 kuhusu habari inayohusiana na kichwa cha habari; 40 ndiyo hubakisha kuipata toka habari yenyewe inayofuatia.
Ni mara chache hukosea uwiano huo, na hapa ni mfano mzuri wa kuingizwa chakani.
 
Huyu bwana hapa JF kwa sasa anatia huruma. Huyu ilikuwa humwambii kitu kuhusu Mwendazake> Pamoja na siasa nzuri za ufuatiliaji mambo ila huyu bwana alikuwa too biased kiasi kwamba kwa sasa ni kama anatia huruma. Kwa sasa anajaribu kuwa neutral ili kumsoma Mhe. Samia Suluhu Hassan kama wataendana. Mpaka aeleweke atakuwa kishaugua ugonjwa wa huruma!

Then ukawa bize kumfuatilia yeye?

Tena unamwanzishia thread???

Kama una akili timamu ungemdharau, fact kuwa unamjua, kumkumbuka basi kakutawala akili


Hivi unataka kusema hawa watu humu na kutumia majina yao ya uongo wanateseka kiasi hicho?? unamjua sura? unajua kazi yake?

Habari ya Mwendazake sidhani kama unayesema alikuwa anampenda kushinda mimi

Nadhan una tatizo la msingi, una utoto wa ...gari lile langu, hilo lako, mzomeeni yuu...ebu kua kidogo utaona hiki ni kijiwe

JPM was real....ndio maana alikunyoosha na vyeti vyako feki...kwa nini usimchukie? kutoka kazi ya ukarani mpaka kuwa mlinzi ......sasa kwa thread hii umeonyesha wewe ni low life
 
Huyu bwana hapa JF kwa sasa anatia huruma. Huyu ilikuwa humwambii kitu kuhusu Mwendazake> Pamoja na siasa nzuri za ufuatiliaji mambo ila huyu bwana alikuwa too biased kiasi kwamba kwa sasa ni kama anatia huruma. Kwa sasa anajaribu kuwa neutral ili kumsoma Mhe. Samia Suluhu Hassan kama wataendana. Mpaka aeleweke atakuwa kishaugua ugonjwa wa huruma!
Huyo pamoja na mambo yake amekuwa rafiki yangu humu jukwaani,ila kuna wakati yuko tayari kuelewa na kuukubali ukweli.
 
Unaona hao wawili wa mbele, wanakukata makofi kama mtoto mdogo
Hebu kwanza.

Hivi lengo la hawa walinzi ni kuzuia mama asishambuliwe, au kuna sababu nyingine? Au inayoambatana na huo ulinzi?

Kwa maana, kama sababu kubwa ni kuzuia mama kushambuliwa, si jamaa wenye miraba minne ndio wangefaa zaidi kuwa hapo?

Kama ni maswala ya akina mama binafsi, si lazima wawe mbelembele vile!

Sina maana ya kudharau uwezo wao kufanya kazi hiyo ya kulinda; lakini ni wazo tu lililochokoza akili.
 
wafukuza upepo wale, pepo za kusi zikiaza kuvuma na jahazi likishika kasi tanga limesimama maeneo ya gulf of aden lazima wazamie jahazi....
 
Then ukawa bize kumfuatilia yeye?

Tena unamwanzishia thread???

Kama una akili timamu ungemdharau, fact kuwa unamjua, kumkumbuka basi kakutawala akili


Hivi unataka kusema hawa watu humu na kutumia majina yao ya uongo wanateseka kiasi hicho?? unamjua sura? unajua kazi yake?

Habari ya Mwendazake sidhani kama unayesema alikuwa anampenda kushinda mimi

Nadhan una tatizo la msingi, una utoto wa ...gari lile langu, hilo lako, mzomeeni yuu...ebu kua kidogo utaona hiki ni kijiwe

JPM was real....ndio maana alikunyoosha na vyeti vyako feki...kwa nini usimchukie? kutoka kazi ya ukarani mpaka kuwa mlinzi ......sasa kwa thread hii umeonyesha wewe ni low life
Waberoya umeguswaaaa! Yaaniii!
 
Huyu bwana hapa JF kwa sasa anatia huruma. Huyu ilikuwa humwambii kitu kuhusu Mwendazake> Pamoja na siasa nzuri za ufuatiliaji mambo ila huyu bwana alikuwa too biased kiasi kwamba kwa sasa ni kama anatia huruma. Kwa sasa anajaribu kuwa neutral ili kumsoma Mhe. Samia Suluhu Hassan kama wataendana. Mpaka aeleweke atakuwa kishaugua ugonjwa wa huruma!
Hahahaaaa..... hahahaaaa...... Nilikuwa nafuturu bwashee!

Umeshtua wadau na wameanza kunipigia simu za pole wakizani wasiojulikana wamefanya yao.....wewe meku mtata sana!
 
Huyu bwana hapa JF kwa sasa anatia huruma. Huyu ilikuwa humwambii kitu kuhusu Mwendazake> Pamoja na siasa nzuri za ufuatiliaji mambo ila huyu bwana alikuwa too biased kiasi kwamba kwa sasa ni kama anatia huruma. Kwa sasa anajaribu kuwa neutral ili kumsoma Mhe. Samia Suluhu Hassan kama wataendana. Mpaka aeleweke atakuwa kishaugua ugonjwa wa huruma!
"AMELAANIWA MTU YULE AMTEGEMEAYE MWANADAMU "
 
Back
Top Bottom