Johnthebaptist amevunjwa vunjwa miguu kama Tundu Lissu

Johnthebaptist amevunjwa vunjwa miguu kama Tundu Lissu

Then ukawa bize kumfuatilia yeye?

Tena unamwanzishia thread???

Kama una akili timamu ungemdharau, fact kuwa unamjua, kumkumbuka basi kakutawala akili


Hivi unataka kusema hawa watu humu na kutumia majina yao ya uongo wanateseka kiasi hicho?? unamjua sura? unajua kazi yake?

Habari ya Mwendazake sidhani kama unayesema alikuwa anampenda kushinda mimi

Nadhan una tatizo la msingi, una utoto wa ...gari lile langu, hilo lako, mzomeeni yuu...ebu kua kidogo utaona hiki ni kijiwe

JPM was real....ndio maana alikunyoosha na vyeti vyako feki...kwa nini usimchukie? kutoka kazi ya ukarani mpaka kuwa mlinzi ......sasa kwa thread hii umeonyesha wewe ni low life

Mkuu amepiga kwenye mshono mini? V kwa povu hilo
 
Tatizo chakubanga amefuta mgao wa posho pale Lumumba! Na watu wamerudishiwa akili zao
 
Niliuona uzi wake mmoja hivi karibuni nikamstua kuwa kuna mtu kaiteka nyara nafasi yake humu jamvini. Kafanya mabadiliko haraka sana.
 
Huyu bwana hapa JF kwa sasa anatia huruma. Huyu ilikuwa humwambii kitu kuhusu Mwendazake> Pamoja na siasa nzuri za ufuatiliaji mambo ila huyu bwana alikuwa too biased kiasi kwamba kwa sasa ni kama anatia huruma. Kwa sasa anajaribu kuwa neutral ili kumsoma Mhe. Samia Suluhu Hassan kama wataendana. Mpaka aeleweke atakuwa kishaugua ugonjwa wa huruma!
Hoja yako ni ipi?
 
Wapo wengi; mf
Pascal Mayalla na magu2016.
Tunaendelea kupiga kazi kama kawa! Ila tumepunguza kasi kwa sababu wapinzani wako hoi bin taabani sasa wamerudi wote CCM sasa wana mshangilia Rais wetu Mama Samia sijui wanafikiri yuko CDM? Tumekosa wapinzani wakutupinga sasa tutabaki humu muda wote kwa lipi jipya sasa wakati tumeshamaliza kazi ya kuwaangamiza wapinzani uchwara!!??
 
CCM ni chama kikubwa bwashee labda anashinda Chako ni Chako bar!
Mzee Msuya amewaonya mnaotaka kutofautisha kofia ya urais na uwenyekiti wa chama.

Nini mnahofia ndugu zangu?..Mama hatabiriki,mnaogopa anaweza kuwasagisha meno?.
 
Huyu bwana hapa JF kwa sasa anatia huruma. Huyu ilikuwa humwambii kitu kuhusu Mwendazake> Pamoja na siasa nzuri za ufuatiliaji mambo ila huyu bwana alikuwa too biased kiasi kwamba kwa sasa ni kama anatia huruma. Kwa sasa anajaribu kuwa neutral ili kumsoma Mhe. Samia Suluhu Hassan kama wataendana. Mpaka aeleweke atakuwa kishaugua ugonjwa wa huruma!
Tulimwabia humu hakusikia, wacha ale matapishi yake!
 
Mzee Msuya amewaonya mnaotaka kutofautisha kofia ya urais na uwenyekiti wa chama.

Nini mnahofia ndugu zangu?..Mama hatabiriki,mnaogopa anaweza kuwasagisha meno?.
Rais wa JMT ndio huwa Mwenyekiti wa CCM, hilo halina mjadala.

Rais Samia ndiye Mwenyekiti wa CCM.
 
Huyu bwana hapa JF kwa sasa anatia huruma. Huyu ilikuwa humwambii kitu kuhusu Mwendazake> Pamoja na siasa nzuri za ufuatiliaji mambo ila huyu bwana alikuwa too biased kiasi kwamba kwa sasa ni kama anatia huruma. Kwa sasa anajaribu kuwa neutral ili kumsoma Mhe. Samia Suluhu Hassan kama wataendana. Mpaka aeleweke atakuwa kishaugua ugonjwa wa huruma!
johnthebaptist tuko pamoja.

Binafsi Hayati JPM siamini kama kweli amekufa. Ameniacha na Donda moyoni.
 
John mnamsingizia tu, kuna dude linaitwa Waberoya, kuna kidemu kinaitwa Wakuvuavua, kuna mswahili anaitwa jingalao, kuna Mgogo anaitwa YEHODAYA aliambiwa azikwe na marehemu kama kweli alikuwa na mapenzi naye akatoroka kwa miguu Chato hadi Nyang'wale.
Hao ndo wanaoteseka kama Bashiru.
 
Back
Top Bottom