Joka la vichwa viwili ndani ya msingi wa jengo lililoanguka na kuua watano Marangu

Badala uulizie kama kulikuwa na mkandarasi, na ramani ilipitishwa l, na Kibali Cha ujenzi, umekuja kuuliza majoka tu, yaani machaga ya siku hizi yamekuwa mashirikina tu, tofauti na zamani walitafuta kwa maarifa.
 
Hakuna picha iliyopigwa ya mnato au video ya hilo joka? Au hakukua na mwananchi mwenye simu eneo hilo? Porojo za kufungia mwaka hizi Pole tajiri kwa kupoteza jengo lako yatapita.
Hao Nyoka wa kina Mshana Jr huwa picha zake hazitoki maana ni Nyoka wa kamati.
Ngoja aje mtaalamu wetu kutoka Kiwangwa atuelezee.
 
Kwa hiyo alitaka gorofa liishe kabla ya 31/12 wakawahisha na tope lake halijakauka
Nyoka wa vichwa viwili wapo ila ni one in a million tena huwa wadogo
 
Maana yake, Jengo bado halijadondoka, Mwenye Jengo bado hajafika, na Joka bado halijaonekana, Mkuu umesafiri mbele ya Muda. 31/12/2022 Bado haijafika ila umetoa wasaa mzuri kwa wengine, kuja kushuhudia
*Jengo likianguka na ikiwezekana kunusuru maisha ya Vijana hao watano wasipoteze Maisha,
*Kuandaa Cameras kwa ajili ya kupiga picha za mnato hilo JOCKER, ama kurusha live hilo tukio.
* Umesema jamaa huwa anagawa 30000 na 20000? Sio 3000?

Punguza Kvant mkuu
 

Wachaga ushirikina hata kuujua wanaujua kweli? Hata waganga hamna huko.
 
Dah.
 
Jifunze kuandika hata kidogo mkuu, hand writing yako ni mbaya sana
 
Watu wamekufa harafu unakuja na habari ya kutunga hizi Karma mbaya mnazitafuta kirahisi sana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…