Chupayamaji
JF-Expert Member
- Sep 19, 2017
- 5,784
- 13,642
Mwanaume ana vichwa viwiliUongo tu... hamna kiumbe mwenye vichwa viwili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanaume ana vichwa viwiliUongo tu... hamna kiumbe mwenye vichwa viwili
Nimefika kwa kuchelewa kuna mengi yanaongelewa kwenye huo mkasa kuna ya uzushi na kuna ya kweli.. Nipe muda nitarejea na majibu mujarabuKwema ndugu yangu Mshana Jr mwandishi nguli wa habari za watu wa kuzimu.
Tafadhali naomba ufafanuzi wa hili...
Juzi kuna jengo la ghorofa lilidondoka na kupelekea kupoteza maisha ya vijana wetu wasiopungua 5 kwa mujibu wa ripoti za uchunguzi. Sikubahatika kufika kwa eneo la tukio lazima nikiri ya kuwa kila ninachokiandika hapa nimekisia kwa majirani.
Niliyoyasikia, mwenye jengo baada ya kupata taarifa ya kuwa jengo lilidondoka alikwea ndege na kukimbilia mkoani Kilimanjaro kuja kuokoa, Sina shida nae mie maana kama alikuja na akawa anazunguka nami kwenye gari huku nikiwa nimemficha wananchi wasimuone sina kosa mie.
Jingine hapo hapo palipo na ghorofa kunalo jingine huwezi amini lililopo hapo mwenye jengo huwa anakuja Kila tarehe 31 /12/2022 na kufanyiwa sherehe, uzuri wake kKila tarehe hiyo mwananchi yeyote ambaye huwa anaenda kumtembelea mwenye jengo ukiwa kabla ya saa kumi na mbili huwa anapewa 30,000 chap, ikifika saa moja unapewa 20,000 kunywa kulewa na kula juu yake bwana mkubwa
Mwaka huu alikuwa anajenga jengo jingine la kulia bata na wanakijiji wenzake.
Jengo limekataa kujengwa limedondoka na kuua watano, swali hapa majirani wanadai wakati wakiokoa watu walikutana na JOKA KUBWA chini ya msingi wa jengo. JOKA hilo la vichwa viwili, wakazi wa Kilimanjaro wanadai hawajawai kuyaona zaidi waliyaona kwenye TV.
Swali je ni nani aliliweka JOKA hilo na kwa lengo gani?
Mshana Jr popote ulipo naomba ufafanuzi
Bila PICHA Itakuwa ngumu mno kuaminiKwema ndugu yangu Mshana Jr mwandishi nguli wa habari za watu wa kuzimu.
Tafadhali naomba ufafanuzi wa hili...
Juzi kuna jengo la ghorofa lilidondoka na kupelekea kupoteza maisha ya vijana wetu wasiopungua 5 kwa mujibu wa ripoti za uchunguzi. Sikubahatika kufika kwa eneo la tukio lazima nikiri ya kuwa kila ninachokiandika hapa nimekisia kwa majirani.
Niliyoyasikia, mwenye jengo baada ya kupata taarifa ya kuwa jengo lilidondoka alikwea ndege na kukimbilia mkoani Kilimanjaro kuja kuokoa, Sina shida nae mie maana kama alikuja na akawa anazunguka nami kwenye gari huku nikiwa nimemficha wananchi wasimuone sina kosa mie.
Jingine hapo hapo palipo na ghorofa kunalo jingine huwezi amini lililopo hapo mwenye jengo huwa anakuja Kila tarehe 31 /12/2022 na kufanyiwa sherehe, uzuri wake kKila tarehe hiyo mwananchi yeyote ambaye huwa anaenda kumtembelea mwenye jengo ukiwa kabla ya saa kumi na mbili huwa anapewa 30,000 chap, ikifika saa moja unapewa 20,000 kunywa kulewa na kula juu yake bwana mkubwa
Mwaka huu alikuwa anajenga jengo jingine la kulia bata na wanakijiji wenzake.
Jengo limekataa kujengwa limedondoka na kuua watano, swali hapa majirani wanadai wakati wakiokoa watu walikutana na JOKA KUBWA chini ya msingi wa jengo. JOKA hilo la vichwa viwili, wakazi wa Kilimanjaro wanadai hawajawai kuyaona zaidi waliyaona kwenye TV.
Swali je ni nani aliliweka JOKA hilo na kwa lengo gani?
Mshana Jr popote ulipo naomba ufafanuzi
Kuna nyoka hawana mkia wana kichwa kila upande wapo wengi tuUongo tu... hamna kiumbe mwenye vichwa viwili
Nyoka wapo wenye vichwa viwili yaani kila upande una kichwaUongo tu... hamna kiumbe mwenye vichwa viwili
Wapo sana na picha nyingi tu ingawa sijawahi kuwaonaUongo tu... hamna kiumbe mwenye vichwa viwili
Weee wanaume wote tunavyo viwiliUongo tu... hamna kiumbe mwenye vichwa viwili
Mnapenda kuleta ulongo bila pichaKwema ndugu yangu Mshana Jr mwandishi nguli wa habari za watu wa kuzimu.
Tafadhali naomba ufafanuzi wa hili...
Juzi kuna jengo la ghorofa lilidondoka na kupelekea kupoteza maisha ya vijana wetu wasiopungua 5 kwa mujibu wa ripoti za uchunguzi. Sikubahatika kufika kwa eneo la tukio lazima nikiri ya kuwa kila ninachokiandika hapa nimekisia kwa majirani.
Niliyoyasikia, mwenye jengo baada ya kupata taarifa ya kuwa jengo lilidondoka alikwea ndege na kukimbilia mkoani Kilimanjaro kuja kuokoa, Sina shida nae mie maana kama alikuja na akawa anazunguka nami kwenye gari huku nikiwa nimemficha wananchi wasimuone sina kosa mie.
Jingine hapo hapo palipo na ghorofa kunalo jingine huwezi amini lililopo hapo mwenye jengo huwa anakuja Kila tarehe 31 /12/2022 na kufanyiwa sherehe, uzuri wake kKila tarehe hiyo mwananchi yeyote ambaye huwa anaenda kumtembelea mwenye jengo ukiwa kabla ya saa kumi na mbili huwa anapewa 30,000 chap, ikifika saa moja unapewa 20,000 kunywa kulewa na kula juu yake bwana mkubwa
Mwaka huu alikuwa anajenga jengo jingine la kulia bata na wanakijiji wenzake.
Jengo limekataa kujengwa limedondoka na kuua watano, swali hapa majirani wanadai wakati wakiokoa watu walikutana na JOKA KUBWA chini ya msingi wa jengo. JOKA hilo la vichwa viwili, wakazi wa Kilimanjaro wanadai hawajawai kuyaona zaidi waliyaona kwenye TV.
Swali je ni nani aliliweka JOKA hilo na kwa lengo gani?
Mshana Jr popote ulipo naomba ufafanuzi
Uongo tu... hamna kiumbe mwenye vichwa viwili
Ngoja nao tupate mawazo yao[emoji3]Sawa mkuu wangu Uzi huu upo kwa ajili Yako nashangaaa mishikwambi inajitokeza
Kwema ndugu yangu Mshana Jr mwandishi nguli wa habari za watu wa kuzimu.
Tafadhali naomba ufafanuzi wa hili...
Juzi kuna jengo la ghorofa lilidondoka na kupelekea kupoteza maisha ya vijana wetu wasiopungua 5 kwa mujibu wa ripoti za uchunguzi. Sikubahatika kufika kwa eneo la tukio lazima nikiri ya kuwa kila ninachokiandika hapa nimekisia kwa majirani.
Niliyoyasikia, mwenye jengo baada ya kupata taarifa ya kuwa jengo lilidondoka alikwea ndege na kukimbilia mkoani Kilimanjaro kuja kuokoa, Sina shida nae mie maana kama alikuja na akawa anazunguka nami kwenye gari huku nikiwa nimemficha wananchi wasimuone sina kosa mie.
Jingine hapo hapo palipo na ghorofa kunalo jingine huwezi amini lililopo hapo mwenye jengo huwa anakuja Kila tarehe 31 /12/2022 na kufanyiwa sherehe, uzuri wake kKila tarehe hiyo mwananchi yeyote ambaye huwa anaenda kumtembelea mwenye jengo ukiwa kabla ya saa kumi na mbili huwa anapewa 30,000 chap, ikifika saa moja unapewa 20,000 kunywa kulewa na kula juu yake bwana mkubwa
Mwaka huu alikuwa anajenga jengo jingine la kulia bata na wanakijiji wenzake.
Jengo limekataa kujengwa limedondoka na kuua watano, swali hapa majirani wanadai wakati wakiokoa watu walikutana na JOKA KUBWA chini ya msingi wa jengo. JOKA hilo la vichwa viwili, wakazi wa Kilimanjaro wanadai hawajawai kuyaona zaidi waliyaona kwenye TV.
Swali je ni nani aliliweka JOKA hilo na kwa lengo gani?
Mshana Jr popote ulipo naomba ufafanuzi
umesema joka chini ya msingi.Kwani jengo wakati linabomoka hadi msingi ulibomoka?Kwema ndugu yangu Mshana Jr mwandishi nguli wa habari za watu wa kuzimu.
Tafadhali naomba ufafanuzi wa hili...
Juzi kuna jengo la ghorofa lilidondoka na kupelekea kupoteza maisha ya vijana wetu wasiopungua 5 kwa mujibu wa ripoti za uchunguzi. Sikubahatika kufika kwa eneo la tukio lazima nikiri ya kuwa kila ninachokiandika hapa nimekisia kwa majirani.
Niliyoyasikia, mwenye jengo baada ya kupata taarifa ya kuwa jengo lilidondoka alikwea ndege na kukimbilia mkoani Kilimanjaro kuja kuokoa, Sina shida nae mie maana kama alikuja na akawa anazunguka nami kwenye gari huku nikiwa nimemficha wananchi wasimuone sina kosa mie.
Jingine hapo hapo palipo na ghorofa kunalo jingine huwezi amini lililopo hapo mwenye jengo huwa anakuja Kila tarehe 31 /12/2022 na kufanyiwa sherehe, uzuri wake kKila tarehe hiyo mwananchi yeyote ambaye huwa anaenda kumtembelea mwenye jengo ukiwa kabla ya saa kumi na mbili huwa anapewa 30,000 chap, ikifika saa moja unapewa 20,000 kunywa kulewa na kula juu yake bwana mkubwa
Mwaka huu alikuwa anajenga jengo jingine la kulia bata na wanakijiji wenzake.
Jengo limekataa kujengwa limedondoka na kuua watano, swali hapa majirani wanadai wakati wakiokoa watu walikutana na JOKA KUBWA chini ya msingi wa jengo. JOKA hilo la vichwa viwili, wakazi wa Kilimanjaro wanadai hawajawai kuyaona zaidi waliyaona kwenye TV.
Swali je ni nani aliliweka JOKA hilo na kwa lengo gani?
Mshana Jr popote ulipo naomba ufafanuzi
Hahahahahahahah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji13][emoji13]we jamaa mwongo sana asa anakujaje kila tarehe 31/12/2022
HahahahahahMaana yake, Jengo bado halijadondoka, Mwenye Jengo bado hajafika, na Joka bado halijaonekana, Mkuu umesafiri mbele ya Muda. 31/12/2022 Bado haijafika ila umetoa wasaa mzuri kwa wengine, kuja kushuhudia
*Jengo likianguka na ikiwezekana kunusuru maisha ya Vijana hao watano wasipoteze Maisha,
*Kuandaa Cameras kwa ajili ya kupiga picha za mnato hilo JOCKER, ama kurusha live hilo tukio.
* Umesema jamaa huwa anagawa 30000 na 20000? Sio 3000?
Punguza Kvant mkuu