Joka la vichwa viwili ndani ya msingi wa jengo lililoanguka na kuua watano Marangu

Joka la vichwa viwili ndani ya msingi wa jengo lililoanguka na kuua watano Marangu

Kwema ndugu yangu Mshana Jr mwandishi nguli wa habari za watu wa kuzimu.

Tafadhali naomba ufafanuzi wa hili...

Juzi kuna jengo la ghorofa lilidondoka na kupelekea kupoteza maisha ya vijana wetu wasiopungua 5 kwa mujibu wa ripoti za uchunguzi. Sikubahatika kufika kwa eneo la tukio lazima nikiri ya kuwa kila ninachokiandika hapa nimekisia kwa majirani.

Niliyoyasikia, mwenye jengo baada ya kupata taarifa ya kuwa jengo lilidondoka alikwea ndege na kukimbilia mkoani Kilimanjaro kuja kuokoa, Sina shida nae mie maana kama alikuja na akawa anazunguka nami kwenye gari huku nikiwa nimemficha wananchi wasimuone sina kosa mie.

Jingine hapo hapo palipo na ghorofa kunalo jingine huwezi amini lililopo hapo mwenye jengo huwa anakuja Kila tarehe 31 /12/2022 na kufanyiwa sherehe, uzuri wake kKila tarehe hiyo mwananchi yeyote ambaye huwa anaenda kumtembelea mwenye jengo ukiwa kabla ya saa kumi na mbili huwa anapewa 30,000 chap, ikifika saa moja unapewa 20,000 kunywa kulewa na kula juu yake bwana mkubwa

Mwaka huu alikuwa anajenga jengo jingine la kulia bata na wanakijiji wenzake.
Jengo limekataa kujengwa limedondoka na kuua watano, swali hapa majirani wanadai wakati wakiokoa watu walikutana na JOKA KUBWA chini ya msingi wa jengo. JOKA hilo la vichwa viwili, wakazi wa Kilimanjaro wanadai hawajawai kuyaona zaidi waliyaona kwenye TV.

Swali je ni nani aliliweka JOKA hilo na kwa lengo gani?

Mshana Jr popote ulipo naomba ufafanuzi
Nimefika kwa kuchelewa kuna mengi yanaongelewa kwenye huo mkasa kuna ya uzushi na kuna ya kweli.. Nipe muda nitarejea na majibu mujarabu
 
Kwema ndugu yangu Mshana Jr mwandishi nguli wa habari za watu wa kuzimu.

Tafadhali naomba ufafanuzi wa hili...

Juzi kuna jengo la ghorofa lilidondoka na kupelekea kupoteza maisha ya vijana wetu wasiopungua 5 kwa mujibu wa ripoti za uchunguzi. Sikubahatika kufika kwa eneo la tukio lazima nikiri ya kuwa kila ninachokiandika hapa nimekisia kwa majirani.

Niliyoyasikia, mwenye jengo baada ya kupata taarifa ya kuwa jengo lilidondoka alikwea ndege na kukimbilia mkoani Kilimanjaro kuja kuokoa, Sina shida nae mie maana kama alikuja na akawa anazunguka nami kwenye gari huku nikiwa nimemficha wananchi wasimuone sina kosa mie.

Jingine hapo hapo palipo na ghorofa kunalo jingine huwezi amini lililopo hapo mwenye jengo huwa anakuja Kila tarehe 31 /12/2022 na kufanyiwa sherehe, uzuri wake kKila tarehe hiyo mwananchi yeyote ambaye huwa anaenda kumtembelea mwenye jengo ukiwa kabla ya saa kumi na mbili huwa anapewa 30,000 chap, ikifika saa moja unapewa 20,000 kunywa kulewa na kula juu yake bwana mkubwa

Mwaka huu alikuwa anajenga jengo jingine la kulia bata na wanakijiji wenzake.
Jengo limekataa kujengwa limedondoka na kuua watano, swali hapa majirani wanadai wakati wakiokoa watu walikutana na JOKA KUBWA chini ya msingi wa jengo. JOKA hilo la vichwa viwili, wakazi wa Kilimanjaro wanadai hawajawai kuyaona zaidi waliyaona kwenye TV.

Swali je ni nani aliliweka JOKA hilo na kwa lengo gani?

Mshana Jr popote ulipo naomba ufafanuzi
Bila PICHA Itakuwa ngumu mno kuamini
 
Habari za MATAJIRI waulize MASKINI utapata info zote hata kama ni za uongo, utalazimishwa kuamini kua ni kweli.
 
  • Thanks
Reactions: HLM
Nimefika kwa kuchelewa kuna mengi yanaongelewa kwenye huo mkasa kuna ya uzushi na kuna ya kweli.. Nipe muda nitarejea na majibu mujarabu
Sawa mkuu wangu Uzi huu upo kwa ajili Yako nashangaaa mishikwambi inajitokeza
 
Uongo tu... hamna kiumbe mwenye vichwa viwili
Wapo sana na picha nyingi tu ingawa sijawahi kuwaona
Mbona spider [emoji887] wapo wenye macho manane?
Na kinyonga anaeangalia mbele na nyuma kila jicho likijitegemea

Hao nyoka ni bahati mbaya tu ila hawapo jamii hiyo
Two-headed-snake-Palm-Harbor.jpg
201022-two-headed-reptile-2x1-se-235p.jpg
Jumping-spider-Shutterstock.jpg
 
Kwema ndugu yangu Mshana Jr mwandishi nguli wa habari za watu wa kuzimu.

Tafadhali naomba ufafanuzi wa hili...

Juzi kuna jengo la ghorofa lilidondoka na kupelekea kupoteza maisha ya vijana wetu wasiopungua 5 kwa mujibu wa ripoti za uchunguzi. Sikubahatika kufika kwa eneo la tukio lazima nikiri ya kuwa kila ninachokiandika hapa nimekisia kwa majirani.

Niliyoyasikia, mwenye jengo baada ya kupata taarifa ya kuwa jengo lilidondoka alikwea ndege na kukimbilia mkoani Kilimanjaro kuja kuokoa, Sina shida nae mie maana kama alikuja na akawa anazunguka nami kwenye gari huku nikiwa nimemficha wananchi wasimuone sina kosa mie.

Jingine hapo hapo palipo na ghorofa kunalo jingine huwezi amini lililopo hapo mwenye jengo huwa anakuja Kila tarehe 31 /12/2022 na kufanyiwa sherehe, uzuri wake kKila tarehe hiyo mwananchi yeyote ambaye huwa anaenda kumtembelea mwenye jengo ukiwa kabla ya saa kumi na mbili huwa anapewa 30,000 chap, ikifika saa moja unapewa 20,000 kunywa kulewa na kula juu yake bwana mkubwa

Mwaka huu alikuwa anajenga jengo jingine la kulia bata na wanakijiji wenzake.
Jengo limekataa kujengwa limedondoka na kuua watano, swali hapa majirani wanadai wakati wakiokoa watu walikutana na JOKA KUBWA chini ya msingi wa jengo. JOKA hilo la vichwa viwili, wakazi wa Kilimanjaro wanadai hawajawai kuyaona zaidi waliyaona kwenye TV.

Swali je ni nani aliliweka JOKA hilo na kwa lengo gani?

Mshana Jr popote ulipo naomba ufafanuzi
Mnapenda kuleta ulongo bila picha
 
Kwema ndugu yangu Mshana Jr mwandishi nguli wa habari za watu wa kuzimu.

Tafadhali naomba ufafanuzi wa hili...

Juzi kuna jengo la ghorofa lilidondoka na kupelekea kupoteza maisha ya vijana wetu wasiopungua 5 kwa mujibu wa ripoti za uchunguzi. Sikubahatika kufika kwa eneo la tukio lazima nikiri ya kuwa kila ninachokiandika hapa nimekisia kwa majirani.

Niliyoyasikia, mwenye jengo baada ya kupata taarifa ya kuwa jengo lilidondoka alikwea ndege na kukimbilia mkoani Kilimanjaro kuja kuokoa, Sina shida nae mie maana kama alikuja na akawa anazunguka nami kwenye gari huku nikiwa nimemficha wananchi wasimuone sina kosa mie.

Jingine hapo hapo palipo na ghorofa kunalo jingine huwezi amini lililopo hapo mwenye jengo huwa anakuja Kila tarehe 31 /12/2022 na kufanyiwa sherehe, uzuri wake kKila tarehe hiyo mwananchi yeyote ambaye huwa anaenda kumtembelea mwenye jengo ukiwa kabla ya saa kumi na mbili huwa anapewa 30,000 chap, ikifika saa moja unapewa 20,000 kunywa kulewa na kula juu yake bwana mkubwa

Mwaka huu alikuwa anajenga jengo jingine la kulia bata na wanakijiji wenzake.
Jengo limekataa kujengwa limedondoka na kuua watano, swali hapa majirani wanadai wakati wakiokoa watu walikutana na JOKA KUBWA chini ya msingi wa jengo. JOKA hilo la vichwa viwili, wakazi wa Kilimanjaro wanadai hawajawai kuyaona zaidi waliyaona kwenye TV.

Swali je ni nani aliliweka JOKA hilo na kwa lengo gani?

Mshana Jr popote ulipo naomba ufafanuzi

Hayo sijayasikia maana hilo jengo na kwetu home kabisa ni mita kama 60 hivi kwa kifuoi ni jirani kabisa .ni kuwa hilo jengo mafundi walikuwa wanabishana kutoa ile mirunda (iliyoshikilia slab waliominina)ili waipeleke juu wapige mbao na marin bord ili wafunge nondo wamwage slab ingine,kumbe inasemekana wengine (mafundi)walisema haijakauka vizuri wengine wanasema kitu tayari kimekauka wengine bado.sasa waliosema tayari ndio wakawa wanang'oa sasa ndio wakakipata wali chokitaka
 
  • Thanks
Reactions: HLM
Kwema ndugu yangu Mshana Jr mwandishi nguli wa habari za watu wa kuzimu.

Tafadhali naomba ufafanuzi wa hili...

Juzi kuna jengo la ghorofa lilidondoka na kupelekea kupoteza maisha ya vijana wetu wasiopungua 5 kwa mujibu wa ripoti za uchunguzi. Sikubahatika kufika kwa eneo la tukio lazima nikiri ya kuwa kila ninachokiandika hapa nimekisia kwa majirani.

Niliyoyasikia, mwenye jengo baada ya kupata taarifa ya kuwa jengo lilidondoka alikwea ndege na kukimbilia mkoani Kilimanjaro kuja kuokoa, Sina shida nae mie maana kama alikuja na akawa anazunguka nami kwenye gari huku nikiwa nimemficha wananchi wasimuone sina kosa mie.

Jingine hapo hapo palipo na ghorofa kunalo jingine huwezi amini lililopo hapo mwenye jengo huwa anakuja Kila tarehe 31 /12/2022 na kufanyiwa sherehe, uzuri wake kKila tarehe hiyo mwananchi yeyote ambaye huwa anaenda kumtembelea mwenye jengo ukiwa kabla ya saa kumi na mbili huwa anapewa 30,000 chap, ikifika saa moja unapewa 20,000 kunywa kulewa na kula juu yake bwana mkubwa

Mwaka huu alikuwa anajenga jengo jingine la kulia bata na wanakijiji wenzake.
Jengo limekataa kujengwa limedondoka na kuua watano, swali hapa majirani wanadai wakati wakiokoa watu walikutana na JOKA KUBWA chini ya msingi wa jengo. JOKA hilo la vichwa viwili, wakazi wa Kilimanjaro wanadai hawajawai kuyaona zaidi waliyaona kwenye TV.

Swali je ni nani aliliweka JOKA hilo na kwa lengo gani?

Mshana Jr popote ulipo naomba ufafanuzi
umesema joka chini ya msingi.Kwani jengo wakati linabomoka hadi msingi ulibomoka?
 
Maana yake, Jengo bado halijadondoka, Mwenye Jengo bado hajafika, na Joka bado halijaonekana, Mkuu umesafiri mbele ya Muda. 31/12/2022 Bado haijafika ila umetoa wasaa mzuri kwa wengine, kuja kushuhudia
*Jengo likianguka na ikiwezekana kunusuru maisha ya Vijana hao watano wasipoteze Maisha,
*Kuandaa Cameras kwa ajili ya kupiga picha za mnato hilo JOCKER, ama kurusha live hilo tukio.
* Umesema jamaa huwa anagawa 30000 na 20000? Sio 3000?

Punguza Kvant mkuu
Hahahahahah
 
Back
Top Bottom